Baba Askofu Gwajima nina wasiwasi na wewe

G4N

JF-Expert Member
Apr 6, 2014
1,439
3,538
Wasiwasi wangu unatokana na utajiri wako baba: Umenunua chopa, na sasa unataka kununua treni.

Baba hela ya kununua chopa na treni umeipata toka kwa waumini wako tu? Huuzi ngada?

Unataka kuniambia wewe ndiye mwenye waumini wengi sana kuliko Kadinali Pengo, Malasusa, Mwingira, Lwakatare, G. Davie, Mzee wa Upako, n.k?

Baba askofu, kweli sadaka ndiyo inakuwezesha kuwa unagharamia maafisa usalama wako, maafisa usalama wa Dr. Slaa kipindi kile mkiwa marafiki, kununua chopa na treni?

Serikali Ya Awamu Ya 5 Kwa Kujibana Sana, Ndo Imenunua Bomberdier 2. Mseveni Wa Uganda Nchi Yake Haina Ndege, Katumia Ndege Ya Kenya Kuja Tanzania Kufanya Ziara Ya Kiserikali. Sembuse Ww Gwajima??!!

Sadaka haitoshi baba askofu, na ndiyo maana hata jengo la kuabudia huna. Waamini wako wanapigwa jua, vumbi na mvua wakati wa ibada.

Baba nina wasi wasi na wewe kuwa huenda ni muuza ngada, ila hujagundulika tu.

Siku ukileta ushahidi wa vyeti vya D B uje pia na ushahidi kuwa sadaka yako inakupa kipato ulicho nacho.
 
Mbona ameweka wazi jamani utajiri wake tatizo la watu wana mihemko sana yaani. Tafuta clip zake zipo U tube ameanika kila kitu.. Mimi kwa sasa nina imani nae kwasababu kama angekuwa na ajenda mbaya au angekuwa anauza huo unga asingekuwa na ujasiri wa kuwafyatua wakuu namna hii..ila ninachooba kwa sasa wauza unga ndio wapo kimyaaa nahisi hata nchi wamekimbia
 
Wasiwasi wangu unatokana na utajiri wako baba: Umenunua chopa, na sasa unataka kununua treni.

Baba hela ya kununua chopa na treni umeipata toka kwa waumini wako tu? Huuzi ngada?

Unataka kuniambia wewe ndiye mwenye waumini wengi sana kuliko Kadinali Pengo, Malasusa, Mwingira, Lwakatare, G. Davie, Mzee wa Upako, n.k?

Baba askofu, kweli sadaka ndiyo inakuwezesha kuwa unagharamia maafisa usalama wako, maafisa usalama wa Dr. Slaa kipindi kile mkiwa marafiki, kununua chopa na treni?

Serikali Ya Awamu Ya 5 Kwa Kujibana Sana, Ndo Imenunua Bomberdier 2. Mseveni Wa Uganda Nchi Yake Haina Ndege, Katumia Ndege Ya Kenya Kuja Tanzania Kufanya Ziara Ya Kiserikali. Sembuse Ww Gwajima??!!

Sadaka haitoshi baba askofu, na ndiyo maana hata jengo la kuabudia huna. Waamini wako wanapigwa jua, vumbi na mvua wakati wa ibada.

Baba nina wasi wasi na wewe kuwa huenda ni muuza ngada, ila hujagundulika tu.

Siku ukileta ushahidi wa vyeti vya D B uje pia na ushahidi kuwa sadaka yako inakupa kipato ulicho nacho.
# Bashite! Pole sana.
Najua unashangaa umri wako unavyoenda kasi na huna hata baiskeli ya mbao.
 
Uongo mkuu alianika utajiri wake na jinsi alivyoupata ila hapo kwenye ma costa hamna kitu kama hicho msituseme wachungaji vibaya
Hawa watu waache tu ndugu yangu tukianza kuwasema mapadre wao wanaozini na kubaka watoto wetu kila siku wanatokwa povu jiiiiingiiiiii gwajima ameshaeleza kila kitu na amefanyiwa ukaguzi na vyombo vyote na akaunti zote hakuna mahali pameonekana na dosari.
 
Wasiwasi wangu unatokana na utajiri wako baba: Umenunua chopa, na sasa unataka kununua treni.

Baba hela ya kununua chopa na treni umeipata toka kwa waumini wako tu? Huuzi ngada?

Unataka kuniambia wewe ndiye mwenye waumini wengi sana kuliko Kadinali Pengo, Malasusa, Mwingira, Lwakatare, G. Davie, Mzee wa Upako, n.k?

Baba askofu, kweli sadaka ndiyo inakuwezesha kuwa unagharamia maafisa usalama wako, maafisa usalama wa Dr. Slaa kipindi kile mkiwa marafiki, kununua chopa na treni?

Sadaka haitoshi baba askofu, na ndiyo maana hata jengo la kuabudia huna. Waamini wako wanapigwa jua, vumbi na mvua wakati wa ibada.

Baba nina wasi wasi na wewe kuwa huenda ni muuza ngada, ila hujagundulika tu.

Siku ukileta ushahidi wa vyeti vya D B uje pia na ushahidi kuwa sadaka yako inakupa kipato ulicho nacho.

Fanya simple mathematics!
Gwajima ana waumini wapatao 70,000 assume kila jpil kila mmoja anatoa sh1000/=
700,00*1000=70,000,000/= kwa jumapili moja!
Kwa mwezi 70,000,000*4=280,000,000/=
Kwa mwaka 280,000,000*12=3,360,000,000/=
Jamaa kwa mwaka anapata zaidi ya 3bn!
Bei ya helicopter kama ile yake ni around 2.8bn! Sasa yeye kaanza kuhubiri lini?
Kwa wastani wa makusanyo hayo atashindwa kununua treni...?
 
Mbona ameweka wazi jamani utajiri wake tatizo la watu wana mihemko sana yaani. Tafuta clip zake zipo U tube ameanika kila kitu.. Mimi kwa sasa nina imani nae kwasababu kama angekuwa na ajenda mbaya au angekuwa anauza huo unga asingekuwa na ujasiri wa kuwafyatua wakuu namna hii..ila ninachooba kwa sasa wauza unga ndio wapo kimyaaa nahisi hata nchi wamekimbia
 
Wewe hujui tu kuwa wachungaji wa kiafrica wanaongoza kwa utajiri, sasa wewe ka uki guess
 
Back
Top Bottom