Baba ana heshima kubwa

ustadhijuma

JF-Expert Member
Jul 20, 2015
3,020
1,968
Heshima Mtoto kaona nyeti ya baba yake, Akauliza "nini hii"? Baba,akajibu "ni Heshima", kesho yake wakaja wageni, baba akamwambia mtoto, "toa heshima kwa wageni", mtoto akatoa Nyeti yake, akaonesha, wageni wakashangaa! mtoto akasema "mnashangaa haka kadogo, baba anayo heshima kubwaaa......!
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…