baloteli15
Member
- Jan 1, 2014
- 38
- 8
Ninampenzi wangu ambae nimedumu nae kwa takribani miaka miwili sasa na tumesha panga mikakati yetu ya kuoana.
Llakini jambo la ajabu baba yake anamtaka kimapenzi na jambo la ajabu anampa mpaka vitisho na kumtumia mesegi za ajabu za kimapenzi na kila meseji anayomtumia ananifowadia namimi nazisoma mpaka hapa jamani nimeshindwa la kufanya na anamwambia kuwa mpenzi ulie nae nitafanya juu china kumfanya jambo lolote baya ili yeye awe nae
wana great thinkers naomba msaada wenu je niachane nae huyo mpenzi maana nina wakati mgumu sana kimawazo na kiukweli mimi na yeye tumetokea kupendana sana.
Llakini jambo la ajabu baba yake anamtaka kimapenzi na jambo la ajabu anampa mpaka vitisho na kumtumia mesegi za ajabu za kimapenzi na kila meseji anayomtumia ananifowadia namimi nazisoma mpaka hapa jamani nimeshindwa la kufanya na anamwambia kuwa mpenzi ulie nae nitafanya juu china kumfanya jambo lolote baya ili yeye awe nae
wana great thinkers naomba msaada wenu je niachane nae huyo mpenzi maana nina wakati mgumu sana kimawazo na kiukweli mimi na yeye tumetokea kupendana sana.