Baba amtaka mwanae kimapenzi

Baba amtaka mwanae kimapenzi

wakati anaanza kumtaka kimapenzi ilikuwa mwaka jana mwezi wa tisa ,lkn baada ya hapo ilnibidi nimwambie amweleze mama yake ,na hata alpo fanya hivyo walkaa na wakaongea lakn jambo la ajabu haukupita muda mrefu akawa ameanza tena vitendo kama hivyo lakni baada ya hapo mpenzi wangu alkuwa haniambii lakini nilpo kutana na mpenz wangu kuangalia simu yake nazkuta meseji za kutoka kwa baba yake nikamwuliza kwann huwa huniambii akanijbu anaogopa mm ntamwacha jambo ambalo nmefkia mm nmeona bora nimwache kwan naogopa kama ntakuwa nagombanisha familia yao

Huna Jipya na Unafurahisha tu Baraza Nimekushtukia hivyo Nisanzuke na Niwaache Wengine Waendelee Nawe.
 
wakati anaanza kumtaka kimapenzi ilikuwa mwaka jana mwezi wa tisa ,lkn baada ya hapo ilnibidi nimwambie amweleze mama yake ,na hata alpo fanya hivyo walkaa na wakaongea lakn jambo la ajabu haukupita muda mrefu akawa ameanza tena vitendo kama hivyo lakni baada ya hapo mpenzi wangu alkuwa haniambii lakini nilpo kutana na mpenz wangu kuangalia simu yake nazkuta meseji za kutoka kwa baba yake nikamwuliza kwann huwa huniambii akanijbu anaogopa mm ntamwacha jambo ambalo nmefkia mm nmeona bora nimwache kwan naogopa kama ntakuwa nagombanisha familia yao




kwahiyo umeona bora umwache! Ushamwacha tayar?
 
acha ushamba wewe kumbe ata akili ya kufikiri huna namba ya baba ake unaijua? Ndo hyo ulioona mesej!? Kama sio muulize tupo wangap!?kama ni boy wake kamsevu jina baba!?
 
Back
Top Bottom