Unamaanisha wenye wake wawili wote Ni vichaa siku hizi?Wee msikilize baba yako kwa usawa huu kama hujaanza kuongea peke yako huko njiani
Mzee kiasi huwa namuona Yuko relaxed.Mkuu uzoefu ungeupata kwanza kutoka kwa huyo baba konk
Umeyaunga mkono!!Fanyia kazi mawazo ya baba yako
Mkuu...ndo kusema kuwa na wake wawili unakosa busara...?Sio kila mzee ana busara, kumbuka wavulana wapumbavu nao huzeeka
Unamaanisha baba yake ni mvulana aliyekuwa mpumbavu na akazeeka na upumbavu wake?Sio kila mzee ana busara, kumbuka wavulana wapumbavu nao huzeeka
Sijasema hivyoUnamaanisha baba yake ni mvulana aliyekuwa mpumbavu na akazeeka na upumbavu wake?
kuna wanawake wengine wanaelewana."Mwanangu ukitaka kufurahia maisha ya ndoa, katu usiwe na mke mmoja tu".
Kisha akendelea , mke mmoja atapambana na wewe kila siku ila ukiwa na wawili watapigania wao kwa ajili yako kila siku.
Kwa kufanya hivyo , maisha yako yatakua rahisi Kama refa uwanjani.
Wakuu ebu naombeni uzoefu kwenye ili.
Mtafutie mtata mwenziehuyoo mmoja tu nikichomi unatamani uombe likizo.
Hawa ndo wazuri, wanakua hawana muda wa kuku nag ...every timekuna wanawake wengine wanaelewana.
AfadhaliSijasema hivyo
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unamaanisha baba yake ni mvulana aliyekuwa mpumbavu na akazeeka na upumbavu wake?
Balanced replyMsikilize baba yako ili siku ukiharibikiwa umlaumu yeye na utakapoona mambo ni mazuri umpe shukurani pia.
Kwani baba yake ni mzee wa CCM?Unamaanisha baba yake ni mvulana aliyekuwa mpumbavu na akazeeka na upumbavu wake?