Baba ambaka mwanae na kumpa ujauzito

Baba ambaka mwanae na kumpa ujauzito

MstahikiMeya

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2014
Posts
1,633
Reaction score
561
Mkazi wa Temeke Wailes Khamis Sakaya anadaiwa kumbaka mwanaye (jina linahifadhiwa) na kumpa ujauzito hali iliyopeleka binti huyo kuacha shule kwa
ujauzito aliopata.

Sakata anadaiwa kumbaka binti huyo mwenye umri wa miaka 18 ambaye ni mwanafunzi wa kidato cha pili katika Shule ya Sekondari Al Amin iliyoko mkabala uwanja wa Taifa.

Chanzo: EATV
 
Igekuwa shinyanga wapambe ugewaona tu. haya na hapa semeni sasa vyooooo!
 
Kwanini?

Inawezekana vipi?

Wanawake wote hawa waliojaa!

Hata kama ni Ngale nakataa.

Ni kukosa ubinaadam, hapo sawa
 
Kwenye mada kama hizi tuweke tofauti zetu kando na kujadili namna gani tutainusuru jamii yetu, mizaha na kejeli haitusaidii, na baadhi ya members humu waweza kuwa na mapungufu kama huyo tunaye mjadili hapa.isipokuwa tu hawajabainika, kubakia kwenye mada ndiyo msingi wa kupanda jukwaani and not otherwise
 
F7MSb.gif
 
inashangaza na kusikitisha kweli siku za mwisho maasi yatakuwa mengi

mtoto wa kumzaa mwenyewe mtoto uliyemwogesha, ukampeleka chooni akiwa mdogo
leo hii amekuwa mjamzito sasa huyo kichanga atakayezaliwa atakwitaje wewe baba wa huyo binti?

inabidi taifa limrudie muumba wake na litubu dhambi hizi jamani
 
inashangaza na kusikitisha kweli siku za mwisho maasi yatakuwa mengi

mtoto wa kumzaa mwenyewe mtoto uliyemwogesha, ukampeleka chooni akiwa mdogo
leo hii amekuwa mjamzito sasa huyo kichanga atakayezaliwa atakwitaje wewe baba wa huyo binti?

inabidi taifa limrudie muumba wake na litubu dhambi hizi jamani

Ameeeen
 
Isije kuwa huyo binti ni sampuli ya kina Sitti wanaokaa nusu uchi mbele ya wazee wao na wao wameshakuwa.

Akalambwe miaka 30 tu.
Sitetei nusu uchi ila nauliza tu.

Hata kama yupo nusu uchi nitashawishika vipi na kumtamani mwanangu?

Haiingii akilini hata kidogo
 
best huyo baba ana pepola ngono si bure huwezi kumtamani bintiyo wa kumzaa wewe mwenyewe ambaye alipokuwa mdogo ulimwogesha ulimtawaza, na ulimpeleka hospitali pindi akiwa yu mgonjwa iweje sasa utamani uzao wako si ni pepo tu limeaamua kuharibu taifa letu cha kufanya ni kuomba tu haya mapepo yatoke kwetu kwani yako hadi kule kwa viiongozi wa serikali dini na kila eneo siku hizi yamevamia best hakuna cha kufanya zaidi ya maombi tu
Sitetei nusu uchi ila nauliza tu.

Hata kama yupo nusu uchi nitashawishika vipi na kumtamani mwanangu?

Haiingii akilini hata kidogo
 
sunna za.... kafuata nyayo, mbona yeye alioa kabinti kenye umri wa miaka 9 baadae akaanza kukaingilia kakiwa na umri wa miaka kumi na tatu.
 
Sitetei nusu uchi ila nauliza tu.

Hata kama yupo nusu uchi nitashawishika vipi na kumtamani mwanangu?

Haiingii akilini hata kidogo

Anaweza akakushawishi kama wewe ni Mnywaji mzuri wa maji ya Ilala.
 
sunna za.... kafuata nyayo, mbona yeye alioa kabinti kenye umri wa miaka 9 baadae akaanza kukaingilia kakiwa na umri wa miaka kumi na tatu.

Ha ha ha mkuu ushatolewa posa na Remote Vatcan wamepitisha m/ume kuolewa. Huoni Papa mwenyewe analiwa na kasisi wake. Ha ha ha ha
 
Last edited by a moderator:
Isije kuwa huyo binti ni sampuli ya kina Sitti wanaokaa nusu uchi mbele ya wazee wao na wao wameshakuwa.

Akalambwe miaka 30 tu.

Binti akikaa uchi basi ni halali ya baba?
Fikiri zaidi ya hapa wewe..
 
Huyu khamisi sakaya ni yule baba wa mbunge wa cuf magdalena sakaya au mwingine.
 
Back
Top Bottom