Baba alinikataa sasa naishi kwa huzuni

Illuminati ni wapi huko na Mimi nataka kwenda huko
Ingia google andika,
illuminati america.
illuminati south Africa,
illuminati U.K,

Mkuu......
Utafaidika sana na hii jamii ya illuminati.
Karibu sana.
 
Mkuu pole kwa yote, lakini ingekuwa vema kama ungesema unahitaji msaada usaidiwe, ila hautapa faida yoyote ukituambia matatizo yako tu bila kueleza kwanini umetaka tujue matatizo yako, pole utakazopewa hazitakukwamua kiuchumi. Waambie wana-jf unataka ushauri au msaada wa namna gani ukusaidie wewe na familia yako.
 
Pole sana,ukihisi una tatizo chukua muda, jaribu kuangalia wa chini yako walio na mengi zaidi yako.nina uhakika utapiga hatua nyingi mbele.
 
MOD's TAHADHALI

NAOMBA KUWENI MACHO NA THREAD KAMA HIZI ZENYE HARUFU ZOTE ZA UTAPELI NA KUTAFUTA PESA KWA KUTUMIA STORI ZA KUTUNGA.

AANAJIUNGA NA KUANZA KUTOA STORI ZA SHIGONGO ILI APATE PUBLIC SYMPATHY

WANAJAMVI KUWENI MAKINI SANA,
 
Usijali kijana umri wako bado ni mdogo mno hivyo unapaswa kijikaza kiume, kujituma na kuingalia familia yako,
Usitegemee cha mtu pambana mwenyewe hakika mwenyezi mungu atakujalia,

Niliwahi kuishi na tatizo kama lako nikiwa na umri wa miaka 17, lakini nilipambana hatiamaye ILLUMINATI ikawa kimbilio langu na msaada wangu na sasa nafarijika na kuwa na furaha muda wote baada ya kuyaona mafanikio.
Mkuu....
Karibu ILLUMINATI the baphomet.
Naamini tatizo lako litaisha.
Mkuu hiv illuminat ndio nn?
 
Mkuu hiv illuminat ndio nn?
illuminati ni Jamii inayosaidia watu kupata fedha kwa njia halali na kazi inayofahamika kisheria na kijamii pia....

Kwa msaada ingia Google andika
illuminati south Africa,
illuminati america,
illuminati u.k

Utapata majibu au kwa urahisi andika tu illuminati ( the baphomet ) utapata jibu kwa undani zaidi...
 
Back
Top Bottom