Baba alinikataa sasa naishi kwa huzuni

Chibudee

JF-Expert Member
Dec 28, 2016
1,775
2,397
NDUGU zangu Leo imekuwa siku ya hudhun kwangu wakati wenzangu wakifurahi na Kusherekea wakiusubir ujio wa Mwaka mpya lkn kwangu imekuwa tofauti kwan nimekuwa mtu wamajozi kila wakati Nikijana mwenye 20 yrs old mkazi wa arusha ila sasa niko dar es salaam kutafuta ridhki Nimelelewa na baby na bb yangu baada ya ma'ma yangu kuzaa na mwanaume ambae ni baba yangu alie nikataaa toka tumboni mwa mama yangu had umri hu nilio nao sijawah ona hata tabasam. La baba yangu families yaupande wa babu yangu imenilea mpaka nafika secondary lkn kwa bahati mbaya babu wangu ifariki nakukosa wakunisomesh nimezunguka sanaa kumtafuta babaangu lkn amekuwa akinihadaa nakuniona kam sio mwanae mama yangu kwa sasa anaishi na HIV kwaiyo mm ndie baba na mama ktk families yangu naukitizama elimu sina ajira ningum nimebaki kutanga tanga tu kwabahati nilipata mtu alie nisaidia na kukubali kuishi na mm lkn kawa mtu wakunisimanga hata bila kosa nakufikia maali yakunitishia kunifukuza kwake nawaza je nitaenda wap nitayaendeshaje maisha yangu?? Naumri wangu huu bila elimu nauliza snaa nakutafakari nilipi kosa langu kwa baba yangu
 
Pole sana. Ila simu uliyotumia kuingia humu ni mtaji tosha. Angalia mapungufu yako bila kujipendelea haiwezekan mtu akuchukie bila sababu labda umebweteka unachagua kazi za kufanya,ndio maana anakuchoka.
Nimekuwa mtu ninae msaidia kwakila hali sio kazi sio mauguzi lkn amekuwa nimtu asie nashukuran Huenda ningekuwa nakosea ningesema labda maudhi yangu kwake ndio sbb but nimt ambae nihulka yake nasiwakwanza mm huwa anaahidi kuishi Namtu vyema anapo ona uitaji wako haupo kwa wakati fulan anatumia fursa ya manyanyas ili uchoke na kuondoka
 
Pole sana. Ila simu uliyotumia kuingia humu ni mtaji tosha. Angalia mapungufu yako bila kujipendelea haiwezekan mtu akuchukie bila sababu labda umebweteka unachagua kazi za kufanya,ndio maana anakuchoka.
??
 
Siku ukiondoka ndio ataujua umuhimu wako. Cha msingi nuia moyon ipo siku mafanikio yatakua upande wako wakat huo ukichonga raman ya shughuli za kukuingizia kipato.
Nimekuwa mtu ninae msaidia kwakila hali sio kazi sio mauguzi lkn amekuwa nimtu asie nashukuran Huenda ningekuwa nakosea ningesema labda maudhi yangu kwake ndio sbb but nimt ambae nihulka yake nasiwakwanza mm huwa anaahidi kuishi Namtu vyema anapo ona uitaji wako haupo kwa wakati fulan anatumia fursa ya manyanyas ili uchoke na kuondoka
 
haya mambo mazito sana lakini alisema mtaishi kama mashetani sasa vilio vimetanda kila uchao leo mungu aturehemu 2017 iwe ya matumaini.....
 
Mkuu nitumie number yako ya Voda nikutumie hata laki moja ya soda wewe na mama . Number na jina lako kamili unalotumia kwenye Voda .

Poleni Sana mkuu. Ipo siku utashinda haya matatizo ni mapito tu.
Sina no za voda natumia tigo tu ndug 0712568893
 
Nimekaa hapa na familia yangu.
Nikaingia JF na kukutana na hii thread
Umenihuzunisha mno.

Kaza mwendo mkuu. Ipo siku utaona raha ya msisha. Kaa ukijua hauko peke yako nakutakia mwaka mwema kabisa wewe na mama yako. Mungu awatangulie.

Ps. Mimi ni mwanamke na Si Mr.

Ukipokea tu nijulishe mkuu.
Happy New Years.
Asante sanaa mama yangu
Nakushukur sanaa hakika nimeiyona. sinachakukulipa lkn mungu tu atakulipa nakuombea afya baraka namaisha marefu hakika ubarikiwe sanaa mama yangu asante sanaaa
 
Back
Top Bottom