Samwel Ngulinzira
JF-Expert Member
- Aug 5, 2017
- 1,829
- 1,958
Kula LIKE mkuu kuna watu wanawaza ushabiki was kisiasa masaa yote. Hats ukifanya jambo la faida wao ni siasa tu.Unapoleta habari usilete habari kiushabiki.
Swala la kuhamisha wanyama sio jambo geni wala jipya katika maswala ya ikolojia na uhifadhi.
Na kuweka kumbukumbu sawa, mbuga za taiga zilizotangazwa na TANAPA ni mbili zikitokana na kuunganishwa kwa baadhi ya jumuiya (WMA). Hivyo mbuga zikizoanzishwa ni BURIGI-CHATO NATIONAL PARK na IBANDA-KYERWA NATIONAL PARK. Hivyo kuna baadhi ya wanyama watahamishwa pia kupelekwa Ibanda-Kyerwa itakapobidi, sasa tujiulize kutakua na ubaya au.? au kwa kuwa wamepelekw chato
Rai yangu tusiwe watu wa kuongozwa na hisia bila kuyajua mambo kwa undani wake. Swala la kuanzisha national park husimamiwa na TANAPA na si IKULU.
Unatuletea chapa hapa wakati Sisi Tunajua ilipo.
Hivi Maguzu akili yake ikoje jamani, loh anatuchosha!Ndugu zangu tuwe makini tusije kuamka kesho tukasikia mlima Kilimanjaro unahamishiwa wilaya pendwa, maana hifadhi za wanyamapori zimeanza kuhamishiwa wilaya pendwa.
Mkuu endeles na ubishi wakoUnatuletea chapa hapa wakati Sisi Tunajua ilipo.
Burigi ipo kagera sio chato na siku hiz ni national parkView attachment 1125895
Kwanini iwe Chato tu na iwe Chato tu wakati huu?Watanzania sometimes tunapenda kulalamika bila kufanya uchunguzi na kujudge picha na video za kwenye mitandao,nilikuwa kwenye hiyo mbuga miezi miwili iliyopita na kweli kuna baadhi ya wanyama ambao ni wengi kwenye hiyo mbuga na baadhi kupunguzwa na kuhamishwa kwenye mbuga nyingine mpya,mbuga mpya imefunguliwa,wanyama wanaongezwa ili waende kuzaliana kwenye mbunga hiyo mpya .
Hayo ni maendeleo,kuna misitu mingi sana hii Tanzania na Mapori ambayo bado hazijaitwa mbuga na kuna wanyama wachache mno,,kuongeza wanyama au kuanzisha mbuga mpya ni akili nzuri sana.
Tuangalie hata baadhi ya mbuga za Africa kusini.
Serengeti ina nyumbu zaidi ya million moja na nusu,unaona wivu nyumbu kumi jinsia tofauti kukamatwa na kupelekwa kwenye mbuga mpya?swala wako wangapi mikumi?Twiga wapo wangapi?
We uko mkoa gani na ni pori gari ina wanyama waletwe karibu na kwenu?Kwanini iwe Chato tu na iwe Chato tu wakati huu?
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa Chato..
Mbuga za Wanyama Chato...
Kila kitu Chato!
Animal migration is natural happened,uwo uhamishaji wa magari unaonekana hujui unachokiandika ndugu
Go hang, arsehead!WWe uko mkoa gani na ni pori gari ina wanyama waletwe karibu na kwenu?
Go hang, arsehead!
Lilikuwa ni pori la akiba, niliwahi kuwaona kundi la tembo na pongo wachache tu, lkn kama ujuavyo sheria uwa sio Kali sana kwenye mapoli ya akiba kama zilivyo hifadhi hivyo kutokana na udhaifu huo wanyama wengi waliwindwa pia na Uhuru wa watu kudhurula polini ulikuwa mkubwa tofauti na sasa hiviKwahiyo Burigi walikuwa wanahifadhi nini?
Ziwa lenyewe pia ni hifadhi hakuna shughuli za kibinadamu zinazorusiwa humoBurigi ni ziwa liko kagera!
Na ziwa hilo limezungukwa na pori la buligi
Hiv hii hifadhi ya burigi ipo wap .Aug 11, 2019
Mkurugenzi halmashauri ya Chato azungumzia fursa zilizopo kama Utalii, Uwanja wa Kimataifa Chato , Hifadhi ya Bugiri, Barabara kiwango cha lami, umeme gridi ya taifa,