Baadhi ya Mataifa yaamua rasmi kuachana na matumizi Sarafu ya Kimarekani

SNAP J

JF-Expert Member
Dec 26, 2013
7,079
7,976
Mchakato wa kuachana na matumizi ya US Dola(Dedollarization campaign) kama sarafu ya kimataifa katika biashara so far unaenda vizuri.

Mfano, mataifa hasimu wa nchi za magharibi kama vile Iran na Urusi wameshasaini makubaliano rasmi ya kuacha kutumia US Dola pale nchi hizo zitapofanya biashara.

Another example ni taifa la India ambalo nalo hivi karibuni limeshachukua hatua zinazofanana na hizo ambapo kwa mara ya kwanza imenunua nishati ya mafuta kutoka UAE kwa kutumia safaru yake ya rupee.

Hii ni habari mbaya kwa pro West because anguko la Dola li karibu.
IMG_20231228_101113.jpg
View attachment 2855286
 
Mchakato wa kuachana na matumizi ya US Dola(Dedollarization campaign) kama sarafu ya kimataifa katika biashara so far unaenda vizuri.

Mfano, mataifa hasimu wa nchi za magharibi kama vile Iran na Urusi wameshasaini makubaliano rasmi ya kuacha kutumia US Dola pale nchi hizo zitapofanya biashara.

Another example ni taifa la India ambalo nalo hivi karibuni limeshachukua hatua zinazofanana na hizo ambapo kwa mara ya kwanza imenunua nishati ya mafuta kutoka UAE kwa kutumia safaru yake ya rupee.

Hii ni habari mbaya kwa pro West because anguko la Dola li karibu. View attachment 2855287View attachment 2855286
Ndo hivyo Pro USA watakuja kukubisha kwanza dollars yenyewe imekuwa adim sana yaa ni kama inajimaliza yenyewe
 
Tumechoka na michakato yao ya kuachana na Dollar, tangu vimeanza vita vya warusi na Ukraine kumekuwa na huo mchakato wa kuachana na Dollar, kumbe bado wanaendelea na huo mchakato?

Hizo nchi ni za kijinga sana, ndio hayo alikuwa akizungumzia Magufuli yakila siku michakato!

Na sasa ni mataifa matatu tu tena na siyo muungano wao wa nchi masikini kasoro China??
 
Kila siku wanachana nayo hii salafu
De dolarization ni mchakato ambao unahitaji c chini ya miaka kumi
Pesa iloanza kutumika tokea mwaka 1950s huko haiwezi kuondoka kirahisi kama unavyotaka
Ila nikwamba mchakato unaenda vyema nenda katafte dola hapo nchini kwako uone utakavyoteseka kuipata sio kama kabla ya mwaka mmoja ama miwili nyuma
Sasa iran na Russia wana athali gani?,hao kama kuipiga vita dollar kipropaganda ingekuwa ushindi,basi dollar ingeshaanguka kitambo,lakini sio rahisi hivyo.
Hakuna sehem wamesema rahisi ndio mwanzo wapo kwa mchakato
Suala la kuitoa dola lina endelea vyema na litafanikiwa nisuala la muda tu
Iran alikua anawaambia muda waachane na dola wakawa wanamuona anawapigia kelele
Ila Russia alipokuja kuguswa pamoja na china wakaona waungane kufanikisha hilo suala
Suala la kuachana na dola sio rahisi ila maendeleo ya kuiacha inaendelea vyema mpaka sasa
 
Tumechoka na michakato yao ya kuachana na Dollar, tangu vimeanza vita vya warusi na Ukraine kumekuwa na huo mchakato wa kuachana na Dollar, kumbe bado wanaendelea na huo mchakato?

Hizo nchi ni za kijinga sana, ndio hayo alikuwa akizungumzia Magufuli yakila siku michakato!

Na sasa ni mataifa matatu tu tena na siyo muungano wao wa nchi masikini kasoro China??
Unadhani mchakato wakuachana na dola nikama wakutafuna na kumeza pole sana kijana
 
Mchakato wa kuachana na matumizi ya US Dola(Dedollarization campaign) kama sarafu ya kimataifa katika biashara so far unaenda vizuri.

Mfano, mataifa hasimu wa nchi za magharibi kama vile Iran na Urusi wameshasaini makubaliano rasmi ya kuacha kutumia US Dola pale nchi hizo zitapofanya biashara.

Another example ni taifa la India ambalo nalo hivi karibuni limeshachukua hatua zinazofanana na hizo ambapo kwa mara ya kwanza imenunua nishati ya mafuta kutoka UAE kwa kutumia safaru yake ya rupee.

Hii ni habari mbaya kwa pro West because anguko la Dola li karibu. View attachment 2855287View attachment 2855286
Porojo
 
De dolarization ni mchakato ambao unahitaji c chini ya miaka kumi
Pesa iloanza kutumika tokea mwaka 1950s huko haiwezi kuondoka kirahisi kama unavyotaka
Ila nikwamba mchakato unaenda vyema nenda katafte dola hapo nchini kwako uone utakavyoteseka kuipata sio kama kabla ya mwaka mmoja ama miwili nyumaHakuna sehem wamesema rahisi ndio mwanzo wapo kwa mchakato
Suala la kuitoa dola lina endelea vyema na litafanikiwa nisuala la muda tu
Iran alikua anawaambia muda waachane na dola wakawa wanamuona anawapigia kelele
Ila Russia alipokuja kuguswa pamoja na china wakaona waungane kufanikisha hilo suala
Suala la kuachana na dola sio rahisi ila maendeleo ya kuiacha inaendelea vyema mpaka sasa
Dunia inaelekea kwenye one Electronic currency cashless world hivyo si USD, wala currency nyingine yoyote sijui dirham, pound, yuan, rupee, ruble, zitakazosalimika. Ila kwa kuwa USD ndo most powerful currency lazima ianguke kwanza ikishaanguka currency zingine kuanguka ni kama kumsukuma mlevi tu.
 
De dolarization ni mchakato ambao unahitaji c chini ya miaka kumi
Pesa iloanza kutumika tokea mwaka 1950s huko haiwezi kuondoka kirahisi kama unavyotaka
Ila nikwamba mchakato unaenda vyema nenda katafte dola hapo nchini kwako uone utakavyoteseka kuipata sio kama kabla ya mwaka mmoja ama miwili nyumaHakuna sehem wamesema rahisi ndio mwanzo wapo kwa mchakato
Suala la kuitoa dola lina endelea vyema na litafanikiwa nisuala la muda tu
Iran alikua anawaambia muda waachane na dola wakawa wanamuona anawapigia kelele
Ila Russia alipokuja kuguswa pamoja na china wakaona waungane kufanikisha hilo suala
Suala la kuachana na dola sio rahisi ila maendeleo ya kuiacha inaendelea vyema mpaka sasa
Create artificial shortage huku ikiwa inahitajika kwa wingi na hivyo thamani yake kubakia kuwa juu.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom