joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 15,179
- 31,798
Endelea kulea mimba ya CHUKI aliyo kuachia Mwendazake na mimba za Chuki hata ule ndimu vip bado unayema mate hovyo hovyo.
Ila si shangai mnamzunguzia vibaya ,sababu kuna kundi la watu wengi wana mzungumzia vizuri najua mnaumia, ila legacy sio mzimu bali huji dhihirisha kwa watu kadri ya muda unavyo enda watu sasa hivi wanalinganisha hali ilivyokuwa na sasa wanagundua kuna utofauti mkubwa.
Najua na mimba yako ya chuki unaumia ila watu waliyaaona na kwa vinywa watazidi kuyaongea yaliyo bora ya Magu.
Ila si shangai mnamzunguzia vibaya ,sababu kuna kundi la watu wengi wana mzungumzia vizuri najua mnaumia, ila legacy sio mzimu bali huji dhihirisha kwa watu kadri ya muda unavyo enda watu sasa hivi wanalinganisha hali ilivyokuwa na sasa wanagundua kuna utofauti mkubwa.
Najua na mimba yako ya chuki unaumia ila watu waliyaaona na kwa vinywa watazidi kuyaongea yaliyo bora ya Magu.