Baadhi ya mahitaji ya mume

Well said.
 
Mada yako ni perfect but kwa uzoefu mdogo nilio nao (niko radhi kukosolewa) mara nyingi (sio zote) kwenye mahusiano rasmi na hata yale ambayo sio rasmi, ukikuta mwanaume anaelewa nini maana ya kupenda mke huwa 'hajielewi' - yaani hatoi mrejesho positive. Na pia vivyo hivyo, ukikuta mwanamke ambaye anajua kupenda - utakuta mwanaume hajui thamani ya alichonacho..unakuta yupo yupo tu.....
 
Lait wanawake wote wangetekeleza haya hakuna ndoa,zngevunjika ovyo
 
Zote nisahihi tens naona zina back up ya vitabu vya dini ......makonde yenu hayo... Na Kyle kwingine ....enyi wake watiini/waheshimuni waume zenu.,,,,,waume wapendeni wake zenu..... !halo ndoa inatimilika!!! Viceversa Ni usaliti na michepuko...!
 
Upendo bila ya sababu wala kipimo toka kwa mme na make kutii yote mema ka kanisa limtiivyo Kristo!!!
 
Sawa,tumeskia mwingine unaweka kumfanyia hayo yote na tamaa ikabaki pale pale..
 
Namba mbili umeniacha hoi,


Shetani huwa yupo busy!??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…