Baadhi ya kauli za wafuasi wa CHADEMA baada ya tarehe 28 Oktoba, 2020

Wakudadavuwa

JF-Expert Member
Feb 17, 2016
17,506
15,997
Ndugu zangu,

Kama kawaida baada ya uchaguzi tutakuwa tukipata matokeo moja kwa moja toka kwenye majimbo na kupitia Tume ya Taifa ya uchaguzi. Zifuatazo ni baadhi ya kauli tutakazozisikia kutoka kwa wafuasi wa CHADEMA;

1. "Sitapiga kura tena"
2."Watanzania hawajielewi"
3."Wagombea wa ACT wamesababisha Lema,Sugu,Mbowe,Msigwa,Mdee kuanguka.Zitto ni Yuda"
4."Idara ya habari Chadema ifutwe"
5."Watanzania waoga sana"
6."Sitatuma hela kijijini" utafikiri huwa anatuma
7."Magufuli sio Rais wangu"
8."Tundu sema chochote tuingie barabarani"
9."Siangalii Tv wakati Magufuli anaongea"
10."Mbowe sasa basi"

Unaweza kuongeza na wewe na wale wa jazba karibuni.
 
Ha ha ha Wana_Lumumba. Hamna hoja na sera na mmeshapoteana!. Kipindi Lowassa anagombea mwaka 2015 mlikuwa na hoja nyingi dhidi ya wapinzani kwenye hili jukwaa.
 
Kauli nyingine hii! CCM wezi sana wakisaidiwa na Polisi na NEC!

Kwani ni uongo? Mbona mnakataa uwepo wa Tume Huru ya Uchaguzi? Kwanini hamtaki uwepo wa Katiba Mpya ya Wananchi kama mnajiamini?

Mimi binafsi ukweli utabakia pale pale! Sikumchagua Magufuli mwaka 2015, na hata agombee mara 200 bado sitamchagua! Kwangu ni mtu asiyenifaa.

Mimi ni kati ya wale Watanzania tunao badili channel tumuonapo akijimwambafai! Na mwaka huu nilishasema kitambo kutokupiga kura. Mpaka aondoke kwanza madarakani huyu dikteta wenu uchwara.

Nitabakia kuwa muumini mwaminifu wa Mabadiliko ya kweli! Hivyo namuunga mkono Mh. Lissu kwa namna anavyo mnyoosha mgombea wenu na chama chenu.
 
Mimi ndo mana wala siwashangai humu ! Kwa sababu huu sio uchaguzi wa kwanza ,nasubiri tu baada ya 28 oct wapoteane! Thread zote watazikimbia.
Kuna nesi alipima ukimwi mbele ya staff wenzake kwa kujiamini sana kwa kuwa aliamini hana. Sijui nini kilitokea kile kipimo kikaonyesha +. Bahati mbaya presha ilipanda haja kubwa ikamtoka uniform ikabadilika rangi.

My point: Uwezekano mkubwa ni historia kujirudia na wapinzani wakaangushwa tena Ila Upinzani wamezoea kuangushwa, wana nguvu na uzoefu wa kuvumilia pale wanapoanguka.. Wasi wasi wangu upo kwa sisi ambao hatujawahi kuangushwa, hatufikirii kama hilo linaweza kutokea na hatujajiandaa kwa hilo. Mimi nashauri usidharau mwiba.
 
Kuna lile jisongi "BORA CORONA, KULIKO CCM" kama naliona likiipamba mitaa ya Wete mpaka Nyamagana na Tunduma mpaka Tarime.
 
Lissu anachochea moto hadi CCM mazaga yanapata moto, hapo hajapaka cha mkongo.
 
Ndugu zangu,

Kama kawaida baada ya uchaguzi tutakuwa tukipata matokeo moja kwa moja toka kwenye majimbo na kupitia Tume ya Taifa ya uchaguzi.Zifuatazo ni baadhi ya kauli tutakazozisikia kutoka kwa wafuasi wa CHADEMA;

1. "Sitapiga kura tena"
2."Watanzania hawajielewi"
3."Wagombea wa ACT wamesababisha Lema,Sugu,Mbowe,Msigwa,Mdee kuanguka.Zitto ni Yuda"
4."Idara ya habari Chadema ifutwe"
5."Watanzania waoga sana"
6."Sitatuma hela kijijini" utafikiri huwa anatuma
7."Magufuli sio Rais wangu"
8."Tundu sema chochote tuingie barabarani"
9."Siangalii Tv wakati Magufuli anaongea"
10."Mbowe sasa basi"

Unaweza kuongeza na wewe na wale wa jazba karibuni.View attachment 1582061
Mmetengeneza Uzi wa kufarijiana sio?


Tukutane 28/10/2020
 
Kwanini mnashiriki uchaguzi kama ni hivyo?
Kwani ni uongo? Mbona mnakataa uwepo wa Tume Huru ya Uchaguzi? Kwanini hamtaki uwepo wa Katiba Mpya ya Wananchi kama mnajiamini?

Mimi binafsi ukweli utabakia pale pale! Sikumchagua Magufuli mwaka 2015, na hata agombee mara 200 bado sitamchagua! Kwangu ni mtu asiyenifaa.

Mimi ni kati ya wale Watanzania tunao badili channel tumuonapo akijimwambafai! Na mwaka huu nilishasema kitambo kutokupiga kura. Mpaka aondoke kwanza madarakani huyu dikteta wenu uchwara.

Nitabakia kuwa muumini mwaminifu wa Mabadiliko ya kweli! Hivyo namuunga mkono Mh. Lissu kwa namna anavyo mnyoosha mgombea wenu na chama chenu.
 
Huyo nesi wa wapi kamanda?
Kuna nesi alipima ukimwi mbele ya staff wenzake kwa kujiamini sana kwa kuwa aliamini hana.. Sijui nn kilitokea kile kipimo kikaonyesha +. Bahati mbaya presha ilipanda haja kubwa ikamtoka uniform ikabadilika rangi....

My point: uwezekano mkubwa ni historia kujirudia na wapinzani wakaangushwa tena Ila Upinzani wamezoea kuangushwa, wana nguvu na uzoefu wa kuvumilia pale wanapoanguka.. Wasi wasi wangu upo kwa sisi ambao hatujawahi kuangushwa, hatufikirii kama hilo linaweza kutokea na hatujajiandaa kwa hilo. Mm nashauri usidharau mwiba.
 
Back
Top Bottom