JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
..waTz tumekuwa na msimamo wa muda mrefu kwamba ardhi ya Tz itabakia kuwa ya waTz.
..msimamo huo umewafanya ndugu zetu ktk jumuiya ya afrika mashariki kutuchukulia kama wakwamishaji wa muungano na ustawi wa jumuiya yetu.
..nimefuatilia ziara ya Raisi Kenyatta Tanzania, na nimesikiliza hotuba yake na ile ya Raisi Magufuli.
..Picha niliyoipata ni kuwa huenda " tumeshawishiwa " kuachana na msimamo wetu wa awali kuhusu kulinda ARDHI yetu, na AJIRA za watu wetu.
..Huenda tunakwenda kufungua mipaka yetu ktk masuala ya ardhi, utalii, na soko la ajira.
..Je, muelekeo huo mpya una manufaa kwa waTz ,au utaleta maumivu kwetu?
Cc Malcom Lumumba,Nguruvi3, Pascal Mayalla, Magonjwa Mtambuka, Ngongo, Pohamba
..msimamo huo umewafanya ndugu zetu ktk jumuiya ya afrika mashariki kutuchukulia kama wakwamishaji wa muungano na ustawi wa jumuiya yetu.
..nimefuatilia ziara ya Raisi Kenyatta Tanzania, na nimesikiliza hotuba yake na ile ya Raisi Magufuli.
..Picha niliyoipata ni kuwa huenda " tumeshawishiwa " kuachana na msimamo wetu wa awali kuhusu kulinda ARDHI yetu, na AJIRA za watu wetu.
..Huenda tunakwenda kufungua mipaka yetu ktk masuala ya ardhi, utalii, na soko la ajira.
..Je, muelekeo huo mpya una manufaa kwa waTz ,au utaleta maumivu kwetu?
Cc Malcom Lumumba,Nguruvi3, Pascal Mayalla, Magonjwa Mtambuka, Ngongo, Pohamba