Baada ya UDOM je Safari nyingine Zipo?

Baada ya UDOM je Safari nyingine Zipo?

AgentX

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2015
Posts
1,651
Reaction score
1,700
Habari zenu wakuu.




Naomba kujuzwa... Ndugu yangu amemaliza kidato cha nne mwaka jana. Ameenda UDOM special program ya ualimu wa Sekondari ktk masomo ya sayansi (phy/math). Kwa ngazi ya ordinary diploma. Kabla ya hapo alli apply vyuo baadhi vya afya kwenda kusomea maswala ya utabibu. Lakini amekosa huko.

Swali aliloniuliza nikashindwa kumjibu ni


"Je baada ya kwenda UDOM Nikamaliza kozi niliyochaguliwa.... Naweza nika apply tena vyuo vya afya? Na kwenda kusoma. Na kama nitakubaliwa vyuo vya afya baada ya kumaliza huko udom hiyo diploma. Huku kwenye afya (medical) nitaanza ngazi gani. Diploma au degree?


Ikiumbukwe kuwa ndugu yangu huyu ana credit. Ana daraja "C" kwa kila somo la sayansi pamoja na hesabu ktk matokeo yake ya NECTA mwaka jana.




Natanguliza shukrani zenu wakuu. Ndoto za huyu ndugu yangu ni udaktari. Pia ushauri wenu kwake ni muhimu.






KARIBUNI NYOTE KUCHANGIA.



Yours, Truly X.
 
Habari zenu wakuu.




Naomba kujuzwa... Ndugu yangu amemaliza kidato cha nne mwaka jana. Ameenda UDOM special program ya ualimu wa Sekondari ktk masomo ya sayansi (phy/math). Kwa ngazi ya ordinary diploma. Kabla ya hapo alli apply vyuo baadhi vya afya kwenda kusomea maswala ya utabibu. Lakini amekosa huko.

Swali aliloniuliza nikashindwa kumjibu ni


"Je baada ya kwenda UDOM Nikamaliza kozi niliyochaguliwa.... Naweza nika apply tena vyuo vya afya? Na kwenda kusoma. Na kama nitakubaliwa vyuo vya afya baada ya kumaliza huko udom hiyo diploma. Huku kwenye afya (medical) nitaanza ngazi gani. Diploma au degree?


Ikiumbukwe kuwa ndugu yangu huyu ana credit. Ana daraja "C" kwa kila somo la sayansi pamoja na hesabu ktk matokeo yake ya NECTA mwaka jana.




Natanguliza shukrani zenu wakuu. Ndoto za huyu ndugu yangu ni udaktari. Pia ushauri wenu kwake ni muhimu.






KARIBUNI NYOTE KUCHANGIA.



Yours, Truly X.



Tatizo moja la ualimu, ukishaingia huwezi kutoka,
 
No hawezi pata masomo ya afya kutokana na masomo anayo enda somea...ila ina wezekana kusoma dgr kty kingine..vinavyo hucu math n phyz...kwani magufuli ali anza vipi alianza hivhv n diplm y ualim afu baady aka soma masuala y uanakemia coz yy alisoma math na chmstry....co ina wezekana bty cio udaktr...coz kule udom wata soma masomo y advnc...kikubwa apige gpa nzr..thnx
 
Muulize yafuatayo..kama amekwenda kusoma iyo kozi UDOM kwa udhamini wa bodi basi atatakiwa kufanya kazi kwa miaka 3 hadi 5 kwa mujibu wa masharti ya bodi...akimaliza anaweza kusoma degree ya udaktari sio diploma tena.
 
Na ni vigumu kumaliza dp ya ed af usome degree ya udactar never ever
 
Muulize yafuatayo..kama amekwenda kusoma iyo kozi UDOM kwa udhamini wa bodi basi atatakiwa kufanya kazi kwa miaka 3 hadi 5 kwa mujibu wa masharti ya bodi...akimaliza anaweza kusoma degree ya udaktari sio diploma tena.

Kufanya hata miaka miwili..buty hawezi somea udaktr...broo
 
M wame nipanga Math n chmstry bty km ita wezekana dgr ni chukuee kty kingn..
 
Mkataba wahao madogo ni kufanya kazimiaka mitano then kama utaenda kusoma kitu kingine ni wewe tu.Udaktari inawezekana,lakinimaliza hiyo diplomaya miaka mitatu then tumikia miaka mitano ndo uachanena ualimu.
 
Usipotezeee mudaaa ukimaliza apply open univsty then unpga dgrii nyingineeee......uku ukiwa unafundishaaaa maana ukisubri..miaka mi 5 muda utakuwaa umeeenda saanaa
 
Muulize yafuatayo..kama amekwenda kusoma iyo kozi UDOM kwa udhamini wa bodi basi atatakiwa kufanya kazi kwa miaka 3 hadi 5 kwa mujibu wa masharti ya bodi...akimaliza anaweza kusoma degree ya udaktari sio diploma tena.

Awe na diploma ya Physics na Maths halafu ajiunge na kozi ya MD? chuo gani hicho kinakubali hizo qualifications?
 
Mkataba wahao madogo ni kufanya kazimiaka mitano then kama utaenda kusoma kitu kingine ni wewe tu.Udaktari inawezekana,lakinimaliza hiyo diplomaya miaka mitatu then tumikia miaka mitano ndo uachanena ualimu.
Ila tukubaliane kitu kimoja kuwa baada ya kuachana na ualimu hawezi kwenda MD, itabidi aanzie ngazi ya Clinical Officer kwanza...au siku hizi mambo yamerahisishwa?
 
Kwanza join instructions zimetoka? Wakuu maana naona wanaongeza mda 2 wa kuthibitisha baada ya kutoa fomu za kujiunga
 
Awe na diploma ya Physics na Maths halafu ajiunge na kozi ya MD? chuo gani hicho kinakubali hizo qualifications?

Huyu jamaa ndugu yangu matokeo yapo hivii




* Bios - C
*math - C
*Chem - C
*Phy - C .


Huo ndo mchanganuo wake ktk masomo ya sayansi. Hao UDOM ndo wamempanga tu. Kusomea hii kozi ya ed. (Phy/Math).

Karibu mkuu
 
Back
Top Bottom