Baada ya Uchumi wa Tanzania kuporomoka, Bendi za muziki wa dansi zafa kibudu. Wanamuziki warudia umasikini wa enzi za Nyerere

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,703
218,236
Tunaposema uchumi umeporomoka hatudanganyi , nchi imekuwa kama Msiba , hakuna burudani kabisa , na ukitaka kuona bendi ya live basi labda uende kanisani jumapili ili ukaangalie kwaya ya kanisa lako .

Hakuna cha Twanga Pepeta , FM Academia , Msondo ngoma wala Sikinde , bendi zote ziko chali miguu juu , hata kutumbuiza tu kwa kiingilio cha soda ya fanta passion imeshindikana , nchi imeanguka anguko kuu .

Nakulilia Tanzania .
 
Bado kuna wale wapuuzi watakwambia eti “chaguo la mungu” kafanya makubwa sana anastahili kuendelea milele mpaka achoke mwenyewe. Upumbavu umetamalaki kupita kiasi. Masikini Nchi yetu 😓😓!!!

Tunaposema uchumi umeporomoka hatudanganyi , nchi imekuwa kama Msiba , hakuna burudani kabisa , na ukitaka kuona bendi ya live basi labda uende kanisani jumapili ili ukaangalie kwaya ya kanisa lako .

Hakuna cha Twanga Pepeta , FM Academia , Msondo ngoma wala Sikinde , bendi zote ziko chali miguu juu , hata kutumbuiza tu kwa kiingilio cha soda ya fanta passion imeshindikana , nchi imeanguka anguko kuu .

Nakulilia Tanzania .
 
Tunaposema uchumi umeporomoka hatudanganyi , nchi imekuwa kama Msiba , hakuna burudani kabisa , na ukitaka kuona bendi ya live basi labda uende kanisani jumapili ili ukaangalie kwaya ya kanisa lako .

Hakuna cha Twanga Pepeta , FM Academia , Msondo ngoma wala Sikinde , bendi zote ziko chali miguu juu , hata kutumbuiza tu kwa kiingilio cha soda ya fanta passion imeshindikana , nchi imeanguka anguko kuu .

Nakulilia Tanzania .
Hawa si ndio walikuwa wanaimba Magufuli Magufuli wamejazana airport wanapiga mangoma wanapokea Ndege?.
Waende wakaombe kazi kwenye mindege ile
 
Ukweli ni kwamba muziki wa dansi ulianza kupotezwa kabla ya Magufuli ile awamu ya pili ya Kikwete, Muziki wa Bongo Fleva umeopoteza kabisa Muziki wa dansi.

Wewe angalia inteview kibao za wanamuziki huko Youtube utaona, ulianza muziki wa taarabu kisha wa dansi ukafuata.

Hii Coronavirus ndiyo imekuja kuumalizia kabisa muzki wa live band.
Labda hivi walivyo ruhus kufunguliwa kumbi za starehe na mikusanyiko labda majasiri wasio ogopa corona wataenda kuburudika na live band.

Pia wale wagonga copy za miziki ya watu kwa kutumia live band wameuwa soko la wenye miziki yao kuburudisha live, wale wazee wa karioke nao wanaumiza hizi band.
 
Ukweli ni kwamba muziki wa dansi ulianza kupotezwa kabla ya Magufuli ile awamu ya pili ya Kikwete, Muziki wa Bongo Fleva umeopoteza kabisa Muziki wa dansi.

Wewe angalia inteview kibao za wanamuziki huko Youtube utaona, ulianza muziki wa taarabu kisha wa dansi ukafuata.

Hii Coronavirus ndiyo imekuja kuumalizia kabisa muzki wa live band.
Labda hivi walivyo ruhus kufunguliwa kumbi za starehe na mikusanyiko labda majasiri wasio ogopa corona wataenda kuburudika na live band.

Pia wale wagonga copy za miziki ya watu kwa kutumia live band wameuwa soko la wenye miziki yao kuburudisha live, wale wazee wa karioke nao wanaumiza hizi band.
Hata hizo bongo fleva hazipo live mkuu , labda zina nafuu kwa sababu ya mitandao
 
Hawa si ndio walikuwa wanaimba Magufuli Magufuli wamejazana airport wanapiga mangoma wanapokea Ndege?.
Waende wakaombe kazi kwenye mindege ile
Hahah ile Ndege iliyopokelewa pale Mwz Ally Choki nae alikua pale uwanjani anaimba sana kwa shangwe,mara paap wiki iliyopita anasema anarudi zake Dar kutafuta maisha Mwz kugumu.
 
Tunaposema uchumi umeporomoka hatudanganyi , nchi imekuwa kama Msiba , hakuna burudani kabisa , na ukitaka kuona bendi ya live basi labda uende kanisani jumapili ili ukaangalie kwaya ya kanisa lako .

Hakuna cha Twanga Pepeta , FM Academia , Msondo ngoma wala Sikinde , bendi zote ziko chali miguu juu , hata kutumbuiza tu kwa kiingilio cha soda ya fanta passion imeshindikana , nchi imeanguka anguko kuu .

Nakulilia Tanzania .
Kinachofanya muziki wa dansi ushuke si sababu za kiuchumi bali upepo umebadilika kama ulivyobadilika huku kwenye bongo movie, taarab etc... ikiwa kama sababu ni uchumi, mbona huku kwenye upande wa bongo flavor akina diamond, kiba, ommy dimpozz, konde boy, zuchu, madee, ney wa mitego, nandy etc wanapiga hela mjini na yao yanawaendea kwa uchumi huu huu uliowashinda hao akina mzee bitchuka, msafiri diof, ali choki etc? Some game linachange.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom