Baada ya Uchumi wa Tanzania kuporomoka, Bendi za muziki wa dansi zafa kibudu. Wanamuziki warudia umasikini wa enzi za Nyerere

Hakuna cha bure siku hizi, yale ya kutaja papaaa Ta kamugisha unapewa milioni yamekwisha, nenda shamba ukalime uone kama hutapata pesa, pia jiangalie wewe mwenyewe uchumi wako umeshuka?
Wakulima wa korosho wanakuchek tu wanasema hiiiiiiiiiiiiiiiiii
 
Ukweli ni kwamba muziki wa dansi ulianza kupotezwa kabla ya Magufuli ile awamu ya pili ya Kikwete, Muziki wa Bongo Fleva umeopoteza kabisa Muziki wa dansi.

Wewe angalia inteview kibao za wanamuziki huko Youtube utaona, ulianza muziki wa taarabu kisha wa dansi ukafuata.

Hii Coronavirus ndiyo imekuja kuumalizia kabisa muzki wa live band.
Labda hivi walivyo ruhus kufunguliwa kumbi za starehe na mikusanyiko labda majasiri wasio ogopa corona wataenda kuburudika na live band.

Pia wale wagonga copy za miziki ya watu kwa kutumia live band wameuwa soko la wenye miziki yao kuburudisha live, wale wazee wa karioke nao wanaumiza hizi band.
Jana Twanga Pepeta wamepiga Magomeni na leo wanaamsha Kurasini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaposema uchumi umeporomoka hatudanganyi , nchi imekuwa kama Msiba , hakuna burudani kabisa , na ukitaka kuona bendi ya live basi labda uende kanisani jumapili ili ukaangalie kwaya ya kanisa lako .

Hakuna cha Twanga Pepeta , FM Academia , Msondo ngoma wala Sikinde , bendi zote ziko chali miguu juu , hata kutumbuiza tu kwa kiingilio cha soda ya fanta passion imeshindikana , nchi imeanguka anguko kuu .

Nakulilia Tanzania .
Mkuu umenifurahisha....'kufa kibudu'...!

Yote kwa yote, turudi kwenye topic.

Mkuu mbona hii dunia ya soko huria unaichukulia kimasihara sana?

Watu wanaenda kwa kasi ya 4g na sasa tunaelekea 5g!

Hivi leo waweza kuzungumzia kumbi za cinema watu wakakuelewa vizuri kabisa, hiki kizazi cha millenia!

Mkuu ume stuck, mungu tena!

Emb jitathimini buana.

Hata kama una mvi sawa, lakini nenda nao kwa kasi hiyo hiyo wanayokwenda nayo wao wasikuache hata single digit ya hatua.

Hayo ma live band yashabikie kwa kuya surf you tube, lakini kutoka hadharani na kuanza kunena kwa hisia, watasema umepitwa na wakati na hiyo yaweza kuwa mbaya zaidi, maana yaweza kukuuma.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
I think its nobody's faulty. Corona ni janga la dunia na kwa jinsi ilivyo lazima uchumi sio wa Tanzania pekee bali wa dunia nzima ushuke na hivyo kuathiri uchumi wa mtu binafsi

Naamini hatuzungumzii hali hii ili kumcheka au kumdhihaki mtu yeyote kwani kwakweli ni dhambi kufanya hivyo hasa kwa kuzingatia kua janga hili halijaletwa na uvivu wa kina Ally Choki au Sikinde au Msondo Ngoma au yeyote yule kwenye entertainment industry au hata hao wanasiasa tunaowalaumu bali wote na wengine wengi katika sekta mbalimbali ni waathirika ⁸wa tatizo hili lililoikumba dunia kwa sasa

Aidha tusisahau kwamba Tanzania haikufanya lockdown. Tunaweza kutofautiana maoni namna serikali ilivyoamua kulishughulikia janga la corona hasa kwa kukataa lockdown. Inawezekana ilikosea au tunaweza kuilamu kwa kutokufanya hivyo. Lakini naamini ingefanya lockdown hali ya kiuchumi kwa watu hasa hao ambao wengine wanawaongelea kwa dhihaka kwenye uzi huu ingeweza kua mbaya zaidi tena sio kwa wasanii peke yao bali ingeenea na kuathiri sekta nyingi zaidi

Kwahiyo iwe una support au unapinga msimamo wa serikali kukataa kufanya lockdown bado kuanguka kwa uchumi kusinge epukika, kupigika kiuchumi na kimaisha kwa watu kungekua palepale. Muhimu ni kupeana moyo kua hatimaye dunia itaishinda COVID19 na maisha yatarejea katika hali ya kawaida kawaida
 
Tunaposema uchumi umeporomoka hatudanganyi , nchi imekuwa kama Msiba , hakuna burudani kabisa , na ukitaka kuona bendi ya live basi labda uende kanisani jumapili ili ukaangalie kwaya ya kanisa lako .

Hakuna cha Twanga Pepeta , FM Academia , Msondo ngoma wala Sikinde , bendi zote ziko chali miguu juu , hata kutumbuiza tu kwa kiingilio cha soda ya fanta passion imeshindikana , nchi imeanguka anguko kuu .

Nakulilia Tanzania .
Ni kwamba watu hawana uwezo wa kutoa kiingilio au bendi zimeahirisha kuburudisha?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tunaposema uchumi umeporomoka hatudanganyi , nchi imekuwa kama Msiba , hakuna burudani kabisa , na ukitaka kuona bendi ya live basi labda uende kanisani jumapili ili ukaangalie kwaya ya kanisa lako .

Hakuna cha Twanga Pepeta , FM Academia , Msondo ngoma wala Sikinde , bendi zote ziko chali miguu juu , hata kutumbuiza tu kwa kiingilio cha soda ya fanta passion imeshindikana , nchi imeanguka anguko kuu .

Nakulilia Tanzania .
Watakuambia wamejenga SGR
 
Muziki wa dance umeua watu jamani. Acha na wenyewe upumzike. DDC ZOTE, Lang'ata Kinondoni , Mango garden, Safari resort, Kigongo bar, Amana Ilala, Ufi club, Bahama mama, 92 Shekilango zote hizi zilikua sehemu ya kugawiana UKIMWI.
 
Tunaposema uchumi umeporomoka hatudanganyi , nchi imekuwa kama Msiba , hakuna burudani kabisa , na ukitaka kuona bendi ya live basi labda uende kanisani jumapili ili ukaangalie kwaya ya kanisa lako .

Hakuna cha Twanga Pepeta , FM Academia , Msondo ngoma wala Sikinde , bendi zote ziko chali miguu juu , hata kutumbuiza tu kwa kiingilio cha soda ya fanta passion imeshindikana , nchi imeanguka anguko kuu .

Nakulilia Tanzania .
Sio Bongo flava sio Dansi sio nini zote ziko hoi. BONGO MOVIE YENYEEE IKO MAZIKONI
KABISA
 
Wazee wa bring bring
Mwanangu imenikumbusha band yangu pendwa Fm Academia a.k.a Wazee wa Ngwasuma a.k.a Wazee wa Pamba a.k.a Wazee wa Mujini chini ya Nyoshi El-Saadat sauti ya Simba...hapa majamaa walitengeneza ngoma kali kama Heshima kwa wanawake,mgeni,Jasmini,Binadamu,Prison,Anna,Acha tamaa na mwili wangu
Hawa majamaa walijua kupika muziki mzuri vilivyo!

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom