Baada ya Tundu Lissu Kunguruma BBC Spika wa Bunge la Tanzania Ndugai anyongonyea Asema Suala la Bunge na CAG ni la muda

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Taasisi hizo mbili zimeingia katika mgogoro baada ya Spika Job Ndugai kumtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa Assad kufika mbele ya kamati kujieleza kuhusu kauli yake kuwa chombo hicho cha kutunga sheria ni dhaifu katika utekelezaji wa majukumu yake, ikiwa ni pamoja na kufuatilia kasoro zinazobainishwa kwenye ripoti za ukaguzi.

ndugai.jpg
 
Ndugai ndiyo alivyo, hata alipomchapa bakora yule ccm mwenzake mpaka akazimia na kumvua nguo uchi yule mwanamke alisema hivyohivyo ni mambo ya muda tu
 
Taasisi hizo mbili zimeingia katika mgogoro baada ya Spika Job Ndugai kumtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa Assad kufika mbele ya kamati kujieleza kuhusu kauli yake kuwa chombo hicho cha kutunga sheria ni dhaifu katika utekelezaji wa majukumu yake, ikiwa ni pamoja na kufuatilia kasoro zinazobainishwa kwenye ripoti za ukaguzi.

View attachment 996858

Naini Mwanahabari Huru unao Katiba ya JMT (1977) na umesoma na kueleewa madaraka na mipaka yake ya Mihimili 3 ya Dola (Serikali, Bunge, Mahakama).

Je, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa Assad, ni mtumishi wa mhimili upi, na je, madaraka na mipaka yake yameanishwa kwenye Katiba!

Ukiwakilisha upinzani, nakushauri ujikite katika kuhakikisha huko kunakuwepo na demokrasia mnayodai kila kukicha.

MNAANZA KUTAPATAPA KUELEKEA CHAGUZI ZA KITAIFA.
 
Taasisi hizo mbili zimeingia katika mgogoro baada ya Spika Job Ndugai kumtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa Assad kufika mbele ya kamati kujieleza kuhusu kauli yake kuwa chombo hicho cha kutunga sheria ni dhaifu katika utekelezaji wa majukumu yake, ikiwa ni pamoja na kufuatilia kasoro zinazobainishwa kwenye ripoti za ukaguzi.

View attachment 996858
Habari haieleweki angalia utapoteza credibility

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Penye ukweli uwongo hujitenga.......

CAG amebainisha ukweli kuwa Bunge ni dhaifu, hakuna mtu yoyote hata atumie "pingu" ili aweze kulifanya Bunge liwe imara!
 
Naini Mwanahabari Huru unao Katiba ya JMT (1977) na umesoma na kueleewa madaraka na mipaka yake ya Mihimili 3 ya Dola (Serikali, Bunge, Mahakama).

Je, Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa Assad, ni mtumishi wa mhimili upi, na je, madaraka na mipaka yake yameanishwa kwenye Katiba!

Ukiwakilisha upinzani, nakushauri ujikite katika kuhakikisha huko kunakuwepo na demokrasia mnayodai kila kukicha.

MNAANZA KUTAPATAPA KUELEKEA CHAGUZI ZA KITAIFA.
nilidhani unamkemea maguufuly kwa kuvunja katiba, badala yake unawazomea walioathirika na uvujifu wa katiba alioufanya kiparangoto kipuumi.
Hopeless
 
Back
Top Bottom