Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Taasisi hizo mbili zimeingia katika mgogoro baada ya Spika Job Ndugai kumtaka Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali, Profesa Mussa Assad kufika mbele ya kamati kujieleza kuhusu kauli yake kuwa chombo hicho cha kutunga sheria ni dhaifu katika utekelezaji wa majukumu yake, ikiwa ni pamoja na kufuatilia kasoro zinazobainishwa kwenye ripoti za ukaguzi.