Baada ya Simon Sirro kung'olewa, who is Next?

Baada ya Simon Sirro kung'olewa, who is Next?

TISS.
Mama anatakiwa afanyekazi na anaowaamini kwani Sukumagang walikuwa kotekote so wakishaondoka hao basi kwani watakuwa chini ya uangalizi.
Hata Sirro kupewa Ubalozi ni sehemu ya uangalizi.
Mwendazake alisisi chama ndani ya chama kwani lazima waondolewe ili kumfanya Kiongozi Mku awe huru ktk utendaji wake.
Mama anafanyia Kazi ktk mazingira magumu hata machinga kuondolewa alishauriwa vibaya ili aendelee kuchukiwa kwani chuki kwake ni kubwa.
Na tukumbuke mama ameridhi madeni makubwa ambayo anayoyalipa ndo maana mambo mengine hayaendi lakini wengine wanaojua hili hawaliongelei
Kwa" machinga "hapakua na njia nyingine,
Wangeendelea kuachwa wajiamlie pakuweka biashara zao tungekua nchi ya ovyo kabisa.
 
Mku kuna maisha baada ya uongozi ndo maana Mzee Mkapa aliomba msamaha juu ya ubinafsishaji wa Mali za umma.
Uongozi sio uadui kwani kiongozi mzuri hupata ushirikiano mzuri kutoka kwa anaowaongoza
Lakini sasa kama wanao ongozwa hawaonyenyeshi ushirikiano. Kiongozi hutakiwi kuogopa, unachotakiwa kuzingatia tu ni kua unachokifanya ni sahihi
 
Back
Top Bottom