Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 141,299
- 283,265
Kuna msemo wa Kiswahili unasema hivi, BAADA YA MWENZIO KUNYOLEWA WEWE TIA MAJI, kwa Tafsiri isiyo rasmi ni kwamba baada ya Mwenzako kutendewa jambo, unayefuatia ni wewe.
Bila shaka mabadiliko yanayofanyika mmeyaona, sasa baada ya Sirro mnadhani ni yupi anafuatia?
Bila shaka mabadiliko yanayofanyika mmeyaona, sasa baada ya Sirro mnadhani ni yupi anafuatia?