Baada ya Rais Samia ni zamu ya Mkristo?

Baada ya Rais Samia ni zamu ya Mkristo?

Hapana baada ya samia kumaliza ni muislam coz anamalizia awamu ya mkristo!!

Hii ni awamu ya mkristo inayomaliziwa!!

Mi NADHANI hivyo,

Maoni huru Lakini haya! Ya mlipa kodi asiekwepa!
Ukiristo wake unaongezaje uchumi wa nchi?
Singida shida ni KKKT na inatakiwa roman
Ndio.
Huu mfumo ni nzuri katika kuwaweka watanzania pamoja kama watani huku tukiepukana na ajali kubwakubwa ❤️🇹🇿
Huyo hana betri kwenye moyo mzee

Ni Rais hadi 2030, you can bank that
Yaani Nasema Acha Tusogeze Comments Ila Neno Batter, Ama Sijui Akili
Oops
 
Wanadai hii haijaandikwa ila inanguvu sana kuliweka taifa pamoja na inalindwa na Baraza la usalama la kitaifa kuwa ni lazima utake usitake unaweza kuita top secret or classified code

Baada ya Nyererea akaja Mwinyi, baada ya mwinyi akaja Mkapa, baada ya mkapa akaja Kikwete, baada ya kikwete akaja magufuli na baada ya kifo cha Magufuli akaja Samia hapa baada ya Samia ni mkristo na hakuna short cut kama unautaka itabidi asubilie ajaye mkristo amalize

Poleni sana watu wa Tanga hii match mmeshindwa mapema labda Wanasingida inaweza ikawa upande wao kipindi hili

USSR

Sent from my TECNO B1c using JamiiForums mobile app
Singida ni KKKT (Protocol observation)
 
Zamu ya wasio amini Mungu/ Mungu ni lini?
Zamu ya Marastafari ni lini?

Zamu ya Waamini Mizimu na dini za asili ni lini?

Mtu awe Raisi wa nchi kwa sababu ya uwezo na sio kisa ni dini Fulani au itikadi Fulani.

Kwa sababu kwanza hakuna uthibitisho kama huyo Mungu/ mungu/Mlungu/miungu kuwepo au yupo? au kujilisha upepo tu

Wakatoliki wanahiji Vatican Wasunni Makka. Haya makundi mengine ya kijamii uliyoyataja wanahiji wapi ambapo huweza kukaa na kupanga mikakati na pengine kupatiwa mafungu. Mfano Marasta labda atasaidiwa misokoto ya ndumu kutoka kwa wajakoya.
 
Jamaa hapa pembeni ananinongoneza ukiwa ni chotara wa Kikatoliki na Kisunni haikupi upendeleo wa ziada? Mimi na baki kumshangaa tu!!!
 
Wakati wazee wa mzizima wanadai uhuru CIA na Vatican hawakutaka 'uarabu' upate uhuru. Waka mteneneza mtu wao. Wazee wa mzizima na TAA yao wakalazimika kuunga mkono juhudi ili waharakishe uhuru. Mtu wao akawa rais na alikua kichwa sana. Katika kutaka umoja wa kitaifa wakakaa kitako wakawekeana misingi ya check and balance ktk fursa za kiuchumi na kisiasa. Deep state ikaundwa na makundi hayo mawili kila mmoja akila upande wake na kulinda maslahi yake. Ukristo na Uislam ni kiwakilishi cha Pande mbili zenye nguvu sawa!
 
Wakatoliki wanahiji Vatican Wasunni Makka. Haya makundi mengine ya kijamii uliyoyataja wanahiji wapi ambapo huweza kukaa na kupanga mikakati na pengine kupatiwa mafungu. Mfano Marasta labda atasaidiwa misokoto ya ndumu kutoka kwa wajakoya.
Ndio ujue hii thread ni fallacy tu haina ukweli hata kidogo.

Mtu awe Raisi kwa vigezo tulivyoweka na si vinginevyo.
 
Ndio ujue hii thread ni fallacy tu haina ukweli hata kidogo.

Mtu awe Raisi kwa vigezo tulivyoweka na si vinginevyo.

Nani wa kusimamia hivyo vigezo kama nguvu zote zimelundikwa kwa mtu mmoja tu na hawa wengine ni kupewa maelekezo na kuitikia na kutenda?
 
Hapana baada ya samia kumaliza ni muislam coz anamalizia awamu ya mkristo!!

Hii ni awamu ya mkristo inayomaliziwa!!

Mi NADHANI hivyo,

Maoni huru Lakini haya! Ya mlipa kodi asiekwepa!
Awamu ya MKRISTO ilikuwa ya 5 hii ni ya SITA awamu ijayo ya Saba ni ya MKRISTO period

Anamalizia awamu ipi wakati hii yake ni mpya nyie vepeeeee
 
Dini, kama ilivyo kabila au jinsia, sio sifa wala kigezo cha competence ya kuwa Rais.

That's too low. Ndio maana tumefeli na kukwama mpaka sasa
 
Back
Top Bottom