Baada ya Rais Samia kutembelea Kyela tunaamini Masuala haya yatapatiwa ufumbuzi

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
117,703
218,236
Kwa niaba ya Wananchi wa Kyela nachukua nafasi hii kukushukuru Mh Rais kwa kutembelea Wilaya Yetu , ninaamini umeinjoi hali ya hewa nzuri ya eneo hilo , na bila shaka baada ya kuhitimisha safari yako utakuwa umebeba Mbasa na Mbelele kidogo kwa ajili ya kitoweo .

Kyela kama yalivyo maeneo mengine ya nchi inazo changamoto zake , ambazo viongozi waliopita wameshindwa kuzitatua

Namba 1 ni maambukizi ya Ukimwi , Kyela ni miongoni mwa Wilaya za Tanzania zinazoongoza kwa Maambukizi ya Ukimwi , Juhudi kubwa zinatakiwa ili kudhibiti Maambukizi kwa kuongeza nguvu kwenye elimu ya namna ya kudhibiti ugonjwa huu , sina hakika kama watu wako wamekueleza hili .

Jambo lingine ni njama zilizofanywa na watu wanaofahamika , za kuua Taasisi ya MANGO TREE , ambayo ilikuwa na jukumu la kusaidia watoto yatima kielimu kutokana na vifo vya ukimwi vya wazazi wao , Wauaji wa Taasisi hii bado wako hai na wengine umeendelea kuwateua , zifanyike juhudi za kurejesha Taasisi hii .

Halmashauri ya Kyela ilimiliki Soko kubwa sana katikati ya Mji , linalofahamika kama Soka la Wilaya , Lakini viongozi wa Halmashauri akiwemo Hunter Mwakifuna wakishirikiana na DED wa wakati huo walipora soko hilo na kulimilikisha kwa CHAMA CHA MAPINDUZI kinyume kabisa cha Sheria za nchi , sisi wana Kyela tunataka soko hilo lirudishwe mikononi mwa Halmashauri kama awali , na wote waliohusika kuipa ccm soko hili wakamatwe haraka (ukipenda nitakutajia majina yao , yumo Mwakyembe )

Mradi wa maji wa vijijini uliojulikana kama MAJI YA DANIDA urejeshwe na miundo mbinu irejeshwe ili kuwaepusha wananchi na Maji ya Madimbwi , aliyeua mradi huu atafutwe na akamatwe .

Suala la barabara kwa Kyela bado ni kitendawili , ukiacha ile iliyofadhiliwa na wazungu ya Nkuyu - Matema , bado barabara nyingi ni tete huku madaraja mengi yakiwa duni sana ! Kwa mfano , Daraja la mbao na mavyuma la Ipyana , mvua ikinyesha kidogo tu wananchi wanakaa roho juu , huwa halichelewi kupinda ama hata kuhama , tunaomba hili litatuliwe , Waletwe wakandarasi wenye uwezo watengeneze daraja la kudumu kwa kuzingatia mazingira halisi .

Itaendelea ......
 
Tatizo kuu la Kyela watu wake wachafu sana

Kwa ujumla Wanyakyusa hawajui usafi unajumuisha kuoga

Wanyakyusa hawatahiri watoto kabisa, Wanafuga mataulo

Wanyakyusa wa huko Kyela ni shida kubwa,

Sasa inabidi nikuchane live baada ya huo utangulizi juu

1.Wanyakyusa hawajui kukataa hasa hao wa kike, Wanyakyusa ni malaya sana sana, Wao wanagawa kama kuku hivi

2.Wanyakyusa hawajui kuzingatia Lishe kwa watoto wao, Mbeya kuna chakula cha kila aina lakini watoto wamedumaa sana, Ukipita huko Kyela watoto wadogo wana utapiamlo wameota vitambi

3.Wanyakyusa wameendekeza umbea umbea tu hasa huko Kyela, Wanyakyusa wanawachukia watu wageni ndani ya maeneo yao, Wakiona mgeni una Maendeleo utarogwa usiku kucha, Watoto wako wataumwa mambo ya ajabu ajabu tu

4.Kyela uchawi ni sehemu ya maisha na utamaduni, Wazazi wanarithisha watoto uchawi, Ni jambo la kawaida wanyakyusa wa Kyela na Tukuyu kukuta mtoto wa chekechea ni mchawi alieshindikana

5.Wanyakyusa wa Kyela ni wajinga sana na hata hao wa Tukuyu, Unaweza sikia ameua mtoto wake anayemtegemea zaidi ili wachawi wale nyama, Ndio maana wanyakyusa wengi wanaogopa kurudi kwao, Wanakimbia ushirikina

Mnataka Maendeleo mtayapata vipi kama mkiletewa watu wageni mnawaroga na kutesa familia zao?

Wataalamu wanakuja Kyela mnawasumbua kwa ushirikina na matunguri wanaomba uhamisho wanaondoka

Nyie wanyakyusa ni watu wa ajabu sana mmejaa ukabila sana, Mnataka hapo Kyela viongozi wote wawe wanyakyusa kuanzia Mkurugenzi, Ma engineer mpaka madaktari

Watu wageni mnawaita" Wajanga"
Hata Dar es Salaam imeendelezwa na watu wageni hao mnaowaita "Wajanga"

Mlio oa wanawake wa Kinyakyusa hongereni sana, Mna roho ngumu sana na hamna wivu

Wanawake wa kinyakyusa aisee wanagawa sana uroda, Hawaogopi ndoa kuvunjika hao
 
Wanyakyusa wa Kyela a.k.a wanyakyusa wa bondeni ni wavivu balaa lkn wanataka sana weupe hususan wale wa kike ili wapate hela wanagawa kumer ovyo.

Kyela wanaongoza kwa wivu wajungu na umbea lkn ukweli hali ya hewa jiografia inawafeva kupata hela pembeni yao iko malawi ambayo wangejituma ziko fursa.

Ndaga fijo nkamu gwangu
 
Loh!
Mkuu Aifryer, na Mkuu Omulasil, mbona mmewashukia Wana Kyela hivyo?
Kama ni Uchawi sijui kama kuna kabila lisilo na sifa hiyo hapa Tz;

Kama ni uvivu je ni hulka tu ya watu hao, ama kuna sababu nyuma yake ikiwemo ya kukosekana mikakati madhubuti ya kuwajengea uwezo wakazi wa huko?

Tujiulize miaka yoote hii pamoja na rasilimali zilizopo shida iko wapi? Viongozi waliopita na waliopo wamewasaidiaje watu wa huko? Kama sio kujali maslahi yao tu kwa gharama za wana Kyela/
Uliza ni kiongozi gani mzawa aliyeleta mabadiliko ya kweli huko Kyela?

Umalaya? NI kweli... maana inapotokea jamii inashindwa kukidhi kishindo cha kujitegemea, njia moja irahisi ni kuuza uzinzi, lakini, nani wa kuwaondoa huko?

Shida ninayoiona ni ukjweli kwmab Wanyakyusa walibanwa mno kimazingira kiasi wameshindwa kujikwamua kiuchumi --huku wanasiasa wanafiki / huku tamaduni potiofu (iliwemo uchawi / na huku unafiki wa waongoza Dini kuendelea kuwapumbaza)

Mwandishi ana hoja ya msingi - hawa watu wanahitaji ukombozi
 
3.Wanyakyusa wameendekeza umbea umbea tu hasa huko Kyela, Wanyakyusa wanawachukia watu wageni ndani ya maeneo yao, Wakiona mgeni una Maendeleo utarogwa usiku kucha, Watoto wako wataumwa mambo ya ajabu ajabu tu
Si ndio huko kuna makanisa mengi sana?
 
4.Kyela uchawi ni sehemu ya maisha na utamaduni, Wazazi wanarithisha watoto uchawi, Ni jambo la kawaida wanyakyusa wa Kyela na Tukuyu kukuta mtoto wa chekechea ni mchawi alieshindikana
Hii dhana ya uchawi ikoje? Hao wachawi walishindwa kuwaloga wale Wasiojulikana waliotutesa kwa miaka mingi hapo nyuma? Walishindwa kuloga wale wanaotubambikia kesi na kututeka? Hapa ndio huwa siamini haya mambo ya kichawi naoana ni kama dhana tu isioyo halisi.
 
Wanyakyusa wa Kyela a.k.a wanyakyusa wa bondeni ni wavivu balaa l

Kyela wanaongoza kwa wivu wajungu na umbea
Mbeya wanyakyusa wastaarabu ni wa Tukuyu na Busokelo

Wanyakyusa wa Kyela watu huwaita wazaramo wa Mbeya ,wengi wavivu mno na watu wa kupenda starehe kuliko kazi na wapenda majungu na ulevi
Kiwango cha ushirikina kiko juu sana

Pia ni watu wapenda migogoro hakuna taasisi Kyela ambayo hutaona ina migogoro na watu wa Kyela kiwe Chama cha siasa kiwe CCM au Chadema au iwe Taasisi ya dini iwe KKKT au Moravian au EAGT,au ya Serikali nk na waanzilishi wa hiyo migogoro huwa wazawa wa hapo hapo Kyela

Pia ni wabishi balaa
 
Tatizo kuu la Kyela watu wake wachafu sana

Kwa ujumla Wanyakyusa hawajui usafi unajumuisha kuoga

Wanyakyusa hawatahiri watoto kabisa, Wanafuga mataulo

Wanyakyusa wa huko Kyela ni shida kubwa,

Sasa inabidi nikuchane live baada ya huo utangulizi juu

1.Wanyakyusa hawajui kukataa hasa hao wa kike, Wanyakyusa ni malaya sana sana, Wao wanagawa kama kuku hivi

2.Wanyakyusa hawajui kuzingatia Lishe kwa watoto wao, Mbeya kuna chakula cha kila aina lakini watoto wamedumaa sana, Ukipita huko Kyela watoto wadogo wana utapiamlo wameota vitambi

3.Wanyakyusa wameendekeza umbea umbea tu hasa huko Kyela, Wanyakyusa wanawachukia watu wageni ndani ya maeneo yao, Wakiona mgeni una Maendeleo utarogwa usiku kucha, Watoto wako wataumwa mambo ya ajabu ajabu tu

4.Kyela uchawi ni sehemu ya maisha na utamaduni, Wazazi wanarithisha watoto uchawi, Ni jambo la kawaida wanyakyusa wa Kyela na Tukuyu kukuta mtoto wa chekechea ni mchawi alieshindikana

5.Wanyakyusa wa Kyela ni wajinga sana na hata hao wa Tukuyu, Unaweza sikia ameua mtoto wake anayemtegemea zaidi ili wachawi wale nyama, Ndio maana wanyakyusa wengi wanaogopa kurudi kwao, Wanakimbia ushirikina

Mnataka Maendeleo mtayapata vipi kama mkiletewa watu wageni mnawaroga na kutesa familia zao?

Wataalamu wanakuja Kyela mnawasumbua kwa ushirikina na matunguri wanaomba uhamisho wanaondoka

Nyie wanyakyusa ni watu wa ajabu sana mmejaa ukabila sana, Mnataka hapo Kyela viongozi wote wawe wanyakyusa kuanzia Mkurugenzi, Ma engineer mpaka madaktari

Watu wageni mnawaita" Wajanga"
Hata Dar es Salaam imeendelezwa na watu wageni hao mnaowaita "Wajanga"

Mlio oa wanawake wa Kinyakyusa hongereni sana, Mna roho ngumu sana na hamna wivu

Wanawake wa kinyakyusa aisee wanagawa sana uroda, Hawaogopi ndoa kuvunjika hao
Jamaa umewashukia kama mwewe🤣🤣
 
Mbeya wanyakyusa wastaarabu ni wa Tukuyu na Busokelo

Wanyakyusa wa Kyela watu huwaita wazaramo wa Mbeya ,wengi wavivu mno na watu wa kupenda starehe kuliko kazi na wapenda majungu na ulevi
Kiwango cha ushirikina kiko juu sana

Pia ni watu wapenda migogoro hakuna taasisi Kyela ambayo hutaona ina migogoro na watu wa Kyela kiwe Chama cha siasa kiwe CCM au Chadema au iwe Taasisi ya dini iwe KKKT au Moravian au EAGT,au ya Serikali nk na waanzilishi wa hiyo migogoro huwa wazawa wa Kyela
🤣🤣🤣🤣
 
Tatizo kuu la Kyela watu wake wachafu sana

Kwa ujumla Wanyakyusa hawajui usafi unajumuisha kuoga

Wanyakyusa hawatahiri watoto kabisa, Wanafuga mataulo

Wanyakyusa wa huko Kyela ni shida kubwa,

Sasa inabidi nikuchane live baada ya huo utangulizi juu

1.Wanyakyusa hawajui kukataa hasa hao wa kike, Wanyakyusa ni malaya sana sana, Wao wanagawa kama kuku hivi

2.Wanyakyusa hawajui kuzingatia Lishe kwa watoto wao, Mbeya kuna chakula cha kila aina lakini watoto wamedumaa sana, Ukipita huko Kyela watoto wadogo wana utapiamlo wameota vitambi

3.Wanyakyusa wameendekeza umbea umbea tu hasa huko Kyela, Wanyakyusa wanawachukia watu wageni ndani ya maeneo yao, Wakiona mgeni una Maendeleo utarogwa usiku kucha, Watoto wako wataumwa mambo ya ajabu ajabu tu

4.Kyela uchawi ni sehemu ya maisha na utamaduni, Wazazi wanarithisha watoto uchawi, Ni jambo la kawaida wanyakyusa wa Kyela na Tukuyu kukuta mtoto wa chekechea ni mchawi alieshindikana

5.Wanyakyusa wa Kyela ni wajinga sana na hata hao wa Tukuyu, Unaweza sikia ameua mtoto wake anayemtegemea zaidi ili wachawi wale nyama, Ndio maana wanyakyusa wengi wanaogopa kurudi kwao, Wanakimbia ushirikina

Mnataka Maendeleo mtayapata vipi kama mkiletewa watu wageni mnawaroga na kutesa familia zao?

Wataalamu wanakuja Kyela mnawasumbua kwa ushirikina na matunguri wanaomba uhamisho wanaondoka

Nyie wanyakyusa ni watu wa ajabu sana mmejaa ukabila sana, Mnataka hapo Kyela viongozi wote wawe wanyakyusa kuanzia Mkurugenzi, Ma engineer mpaka madaktari

Watu wageni mnawaita" Wajanga"
Hata Dar es Salaam imeendelezwa na watu wageni hao mnaowaita "Wajanga"

Mlio oa wanawake wa Kinyakyusa hongereni sana, Mna roho ngumu sana na hamna wivu

Wanawake wa kinyakyusa aisee wanagawa sana uroda, Hawaogopi ndoa kuvunjika hao
Asante kwa matusi yako , Sasa tunaomba Ushauri wako nini kifanyike ?
 
Wanyakyusa wa Kyela a.k.a wanyakyusa wa bondeni ni wavivu balaa lkn wanataka sana weupe hususan wale wa kike ili wapate hela wanagawa kumer ovyo.

Kyela wanaongoza kwa wivu wajungu na umbea lkn ukweli hali ya hewa jiografia inawafeva kupata hela pembeni yao iko malawi ambayo wangejituma ziko fursa.

Ndaga fijo nkamu gwangu
Mnashauri nini kifanyike kwenye zile changamoto zilizoainishwa pale juu ?
 
Kwa niaba ya Wananchi wa Kyela nachukua nafasi hii kukushukuru Mh Rais kwa kutembelea Wilaya Yetu , ninaamini umeinjoi hali ya hewa nzuri ya eneo hilo , na bila shaka baada ya kuhitimisha safari yako utakuwa umebeba Mbasa na Mbelele kidogo kwa ajili ya kitoweo .

Kyela kama yalivyo maeneo mengine ya nchi inazo changamoto zake , ambazo viongozi waliopita wameshindwa kuzitatua

Namba 1 ni maambukizi ya Ukimwi , Kyela ni miongoni mwa Wilaya za Tanzania zinazoongoza kwa Maambukizi ya Ukimwi , Juhudi kubwa zinatakiwa ili kudhibiti Maambukizi kwa kuongeza nguvu kwenye elimu ya namna ya kudhibiti ugonjwa huu , sina hakika kama watu wako wamekueleza hili .

Jambo lingine ni njama zilizofanywa na watu wanaofahamika , za kuua Taasisi ya MANGO TREE , ambayo ilikuwa na jukumu la kusaidia watoto yatima kielimu kutokana na vifo vya ukimwi vya wazazi wao , Wauaji wa Taasisi hii bado wako hai na wengine umeendelea kuwateua , zifanyike juhudi za kurejesha Taasisi hii .

Halmashauri ya Kyela ilimiliki Soko kubwa sana katikati ya Mji , linalofahamika kama Soka la Wilaya , Lakini viongozi wa Halmashauri akiwemo Hunter Mwakifuna wakishirikiana na DED wa wakati huo walipora soko hilo na kulimilikisha kwa CHAMA CHA MAPINDUZI kinyume kabisa cha Sheria za nchi , sisi wana Kyela tunataka soko hilo lirudishwe mikononi mwa Halmashauri kama awali , na wote waliohusika kuipa ccm soko hili wakamatwe haraka (ukipenda nitakutajia majina yao , yumo Mwakyembe )

Mradi wa maji wa vijijini uliojulikana kama MAJI YA DANIDA urejeshwe na miundo mbinu irejeshwe ili kuwaepusha wananchi na Maji ya Madimbwi , aliyeua mradi huu atafutwe na akamatwe .

Suala la barabara kwa Kyela bado ni kitendawili , ukiacha ile iliyofadhiliwa na wazungu ya Nkuyu - Matema , bado barabara nyingi ni tete huku madaraja mengi yakiwa duni sana ! Kwa mfano , Daraja la mbao na mavyuma la Ipyana , mvua ikinyesha kidogo tu wananchi wanakaa roho juu , huwa halichelewi kupinda ama hata kuhama , tunaomba hili litatuliwe , Waletwe wakandarasi wenye uwezo watengeneze daraja la kudumu kwa kuzingatia mazingira halisi .

Itaendelea ......
Mambo ya ukimwi ni personal kama elimu mnayo yakutosha,sio jukumu la Rais kuja kufunga zipu zenu na kuwakataza msivue chupi..

Pili ishu ya maji saizi serikali inaoeleke mabilioni ya pesa kila siku na Mbunge wenu alithibitisha Jana ,hakuna cha kutegemea msaada wa danida tena..

Ishu ya soko nendeni Mahakamani kama mnajua ni mali yenu mumeporwa
 
Mambo ya ukimwi ni personal kama elimu mnayo yakutosha,sio jukumu la Rais kuja kufunga zipu zenu na kuwakataza msivue chupi..

Pili ishu ya maji saizi serikali inaoeleke mabilioni ya pesa kila siku na Mbunge wenu alithibitisha Jana ,hakuna cha kutegemea msaada wa danida tena..

Ishu ya soko nendeni Mahakamani kama mnajua ni mali yenu mumeporwa
Hadithi ya maji ni ya kila msimu , porojo ni nyingi mno !
 
Asante kwa matusi yako , Sasa tunaomba Ushauri wako nini kifanyike ?
Sio matusi ni ukweli

Mnapenda "Vitutu"

Mnapenda"Kunyorana"

Kyela kuna tatizo kubwa la Lishe kwa watoto ingawa mna vyakula aina yote

Ahaa

Twamasiku wa kukayanja

Mnapenda kunyorana sana

Nimeongea machache sana, Sasa Ngoja nikupe tena makavu live

1.Hamjui kutumia vyoo wanyakyusa, Mjitahidi kujenga Choo za kisasa

Mtindo wa kuweka kakikombe ka maji ya mtoto mchanga chooni muache

Mtu mzima anabeba kakikombe ka maji kadogo anaenda chooni haja kubwa, Are you seriosly Nyie wanyakyusa wa kyela

Charity begins at home, Anza wewe kubadilika na sisi tutakuunva mkono

Kyela kuna mambo huko

Suluhisho

Anza wewe kuweka utamaduni wa kujenga nyumbani kwenu Kyela na himiza watoto wako, Najua huwezi kufanya hivyo mnaogopa uchawi kujenga na kurudi kwenu kuendeleza
 
Back
Top Bottom