Membe ndio awe Rais??
Labda kwenye jimbo lake mtama
yaan huyu ni dhaifu bora hata jeykey
Alipoulizwa kama tayari ameshaunda timu inayofuatilia na kuchunguza ndoto yake hiyo alijibu, Ipo na nadhani mwezi ujao itaniletea majibu"
Lowassa Ndo habari ya mjini.uukiondoa siasa za kuchafuna, Membe anafaa sana kuongoza hii nchi. Jamaa yupo poa sana.
Sina shaka nchi inazidi kwenda mlama kabisa iwapo BRO Pinda nae anataka kugombea Upresident kiama kinakuja TZ yaani jeshi litachukua nchi kwani IQ ya kaka ni ndogo sana twende nyakati za Old JK na Sokoine nchi ilikuwa na maamuzi mazito lkn sasa mpaka mola anapata hasira na TZ!Kama JK aliitwa Dhaifu , Pinda itakuwa mara 1000000000000000000000000000000000000000000000000000000000
Rais lazima atoke zanzibar ni zamu yao....
Sijakuelewa dada,ebu fafanua kidogo.
Membe ndio awe Rais??
Labda kwenye jimbo lake mtama
yaan huyu ni dhaifu bora hata jeykey
Humfahamu Mh. Benard C. MEMBE. Tusubiri tu Allah akitupa uzima na afya Oktoba 2015
mimi namjua,anaitwa joka la mdimu,..halili ndimu lakini ukichuma lazime likugonge!
Membe pamoja kuwa kwenye hiyo Wizara lakini habebeki , hauziki wala hana mvuto wa kuwa Rais wa nchi hii.
Mkuu Sikumbuki kama Bara wameshawahi kutoa rais wa Zanzibar
KhekhekhekheeweeewwweeeeSubiri ndugu yangu utaona, Membe ana sifa zote za kuwa rais na ndiye anayetufaa kwa sasa.
Ilikua baada ya kampeni kubwa ya familia ya Kikwete,kura zilipo pungua wakatumia utaratibu wao wa kawaida wa kuiba kura! Hapendwi siyo kwasababu yeye ni msafi bali ni ndumila kuwili,mchonganishi,mfitini na mpika majungu mkubwa! Heri nusu shari ya Kikwete kuliko shari kamili!Kama kati ya kura 2011 alipata kura 1455 na akashika nafasi ya 6 je walioshika nafasi za 1-5 kila mmoja alipata kura ngapi?