kilambimkwidu
JF-Expert Member
- Jul 21, 2017
- 6,052
- 7,057
Kuna mtoto anaitwa Gaza, unamjua?Hakuna msanii anaweza kuwashinda hawa jamaa kwa michano na free style ni wakali sana hata kwa kuwasikiliza huwezi kujutia bahat yao mbaya watanzania hatuupi mziki wa hip hop kiapaumbele one mzee vina mwanzo kati mwisho.
Kidogo anaweza kusogea godzilla nae masifa yamempoteza mwanzo alikuwa anakuja vizur sana hapa hamna cha mwamba wa kaskazini wala ngosha.