Baada ya Ngwair ni One incredible na Nick mbish.

Baada ya Ngwair ni One incredible na Nick mbish.

radika

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2014
Posts
20,450
Reaction score
32,291
Hakuna msanii anaweza kuwashinda hawa jamaa kwa michano na free style ni wakali sana hata kwa kuwasikiliza huwezi kujutia bahat yao mbaya watanzania hatuupi mziki wa hip hop kiapaumbele one mzee vina mwanzo kati mwisho.

Kidogo anaweza kusogea godzilla nae masifa yamempoteza mwanzo alikuwa anakuja vizur sana hapa hamna cha mwamba wa kaskazini wala ngosha.
 
Hakuna msanii anaweza kuwashinda hawa jamaa kwa michano na free style ni wakali sana hata kwa kuwasikiliza huwezi kujutia bahat yao mbaya watanzania hatuupi mziki wa hip hop kiapaumbele one mzee vina mwanzo kati mwisho.

Kidogo anaweza kusogea godzilla nae masifa yamempoteza mwanzo alikuwa anakuja vizur sana hapa hamna cha mwamba wa kaskazini wala ngosha.
chid benzi ni mkali sema tu ana stress za maisha ambayo ajatalajia,kulogwa na madawa ya kulevya.
 
sorry niende nje ya mada kidogo!
hivi huyo One incredible bado yupo na Grace matata au alikuwa anamtumia tu binti wa watu?[emoji20][emoji20]
 
One hakuna kitu kwenye freestyle lakini kwa uandishi bado sijaona anaefika kwake. Nikki mbishi ni baba yao kwa freestyle, pia Godzilla japo naye stress za mbunye zinamchanganya, pia wapo wengi kama Cliff Mitindo, kuna dogo anaitwa Mkristo pia.
 
sorry niende nje ya mada kidogo!
hivi huyo One incredible bado yupo na Grace matata au alikuwa anamtumia tu binti wa watu?[emoji20][emoji20]
Walimwagana sema haijulikani nani alommwaga mwenzake afu yule mtoto wa grace ni wa One au alikua baba wa kambo?
 
Nikki Mbishi

One de Incredible

Dizasta Vina

Masaa mengi sana sichoki kuwaskiliza hawa viumbe
 
Natafuta ngoma kali za hiphop hardcore zaidi ya ngumu kama vile:
F.D.C
LWP MAZIMWI
HARDCORE UNIT
PURE BLACK(piggyblack)
Nyimbo nyingi zilichezwa na D.J J.D katika the heat cha radioone miaka ya 98/2000
 
Back
Top Bottom