Baada ya miaka miwili simpendi tena

Baada ya miaka miwili simpendi tena

Basi inaonekana mungu kashakunyima hiyo unayoiomba,akili, watu wanaomba wapewe pesa wewe unaomba akili,unataka kua isaack newton au keyness?omba hela kwanza.

Bila kua na akili hiyo pesa unayoitafuta unaeza usiipate vile vile
 
Mwanamke tabia jombaa, na wala sio miguu wala makalio, yan wenzako tunawaza tutawapataje wake wenye tabia nzuri, wewe umempata afu unawaza miguu na makalio??? Jomba tulia nae huyo katika dunia hakuna mwanamke mbaya, cha kufanya mhudumie utaona atakavyo kuwa pini,.
 
Hahaha...katafute miguu na vibasitola mkuu
 
tooo much thread ya tatu au nne hii watu wamewachoka wake zao. ver sad... mtunze mkeo akinenepa mahips yatakuja tuuuu.
 
Kuna baadhi ya mambo huwa tunafanya ila majuto huja baadae tu japo hutokea mara baada ya kuona haja zako hazipo kwake ila baadae inakua kama laana kwa sababu analia umempotezea muda wake umemuumiza kile kilio hua sio kizur jamani unaeza jikuta unadate na wanawake kibao ila kama yy huwez mpata tena. everything happens for a reason, ipo namna si bure wewe
avatar134388_1.gif
 
tooo much thread ya tatu au nne hii watu wamewachoka wake zao. ver sad... mtunze mkeo akinenepa mahips yatakuja tuuuu.

kuna wengne ndo walivyo lakn yaan ye hanenep ng'o afu jamaa yet anataka mtot mwenye umbo mbona balaa
 
Kuna baadhi ya mambo huwa tunafanya ila majuto huja baadae tu japo hutokea mara baada ya kuona haja zako hazipo kwake ila baadae inakua kama laana kwa sababu analia umempotezea muda wake umemuumiza kile kilio hua sio kizur jamani unaeza jikuta unadate na wanawake kibao ila kama yy huwez mpata tena. everything happens for a reason, ipo namna si bure wewe

Madame S nakubaliana na ww kabsa yaan ila sasa tatzo jamaa kashapoteza hisia yaan hampend tena.,,,,,huu uzi unanipa headache vbaya yaan daaaah mapenz haya.
 
Last edited by a moderator:
If you want out then just be done with it. Tell her outright (ON second thoughts don't- Ucmuumize msichana wa watu). Just find a favorable moment and reason to leave her. She will get a good man who will be seven times better

BUT.
While you will surely (Yani hata ukitoka tu hapo nje) get a girl with proper (in your perspective) legs configuration, there is going to come a time when you realize she was the only one who you could've been better off with (EVER!).
When this time comes, just be a man and take responsibility for your decisions? Usije tujazia seva hapa ukituomba tuumize vichwa tupate namna ya kukurudisha kwa "The Love of Your Life". Ni hayo tu!

Daaah thanks
 
Kuna baadhi ya mambo huwa tunafanya ila majuto huja baadae tu japo hutokea mara baada ya kuona haja zako hazipo kwake ila baadae inakua kama laana kwa sababu analia umempotezea muda wake umemuumiza kile kilio hua sio kizur jamani unaeza jikuta unadate na wanawake kibao ila kama yy huwez mpata tena. everything happens for a reason, ipo namna si bure wewe

Mkuu upo sawa, me namshauri atulie yupo kwenye steji ya pili ya ndoa, hapa huwa unaona kuwa umekosea kuoa mtu ambae si sahihi! Ila asihofu nalo litapita tu, halafu kwenye ndoa ishu si kugegedana tu! Kuna mama anaejua kulea watoto kimaadili, uaminifu, good companion, msiri wako, msaidizi, anaekuheshimu n.k

Sasa ndugu yetu ashawahi kujiuliza itakuwaje huyo mwenye tako na hips akawa ana mdomo mchafu, dharau,matusi,kisirani na akawa anakuletea mabwana mpaka kitandani mwake?

Namshauri atulie maana heri nusu shari kuliko .....
 
Mkuu upo sawa, me namshauri atulie yupo kwenye steji ya pili ya ndoa, hapa huwa unaona kuwa umekosea kuoa mtu ambae si sahihi! Ila asihofu nalo litapita tu, halafu kwenye ndoa ishu si kugegedana tu! Kuna mama anaejua kulea watoto kimaadili, uaminifu, good companion, msiri wako, msaidizi, anaekuheshimu n.k

Sasa ndugu yetu ashawahi kujiuliza itakuwaje huyo mwenye tako na hips akawa ana mdomo mchafu, dharau,matusi,kisirani na akawa anakuletea mabwana mpaka kitandani mwake?

Namshauri atulie maana heri nusu shari kuliko .....
shari kamili.......anasem hampendi eti
 
Nina mwanamke nimedumu naye miaka miwili lakini tatizo ni kwamba simpendi tena, kwakweli binti anatabia nzuri mkarimu na anajua kujishusha. Mimi mwenywe sijawahi kicheat lakini nimekuja kujigundua vitu navyopenda kwa mwanamke ni mwanamke mwenye miguu mizuri(ya bia) mahips na makalio.

Vitu hivyo mimi nikiviona basi nakua hoi, tatizo niliye naye hana hizo sifa za kunisisimua naogopa kumwacha sababu hajanikosea na wala sitarajii aje kunikosea mbeleni, she is loyal tatizo kwa sasa tu ndo hilo hanivutii. Je nifanyeje?
mjomba kuniuliza kwanini nilimtongoza na hana vigezo vyangu ilitokea tu bahati mbaya.

Je kuna mtu alishapitia hii hali?

Mwache tu ili tumchukue!!!!
 
Nina rafiki yangu ana tatizo kama hili...nataman angepita hapa apate huu ushauri...
 
"uzuri wa mwanamke sio sura ni tabia eeeeh, uzuri wa mwanamke sio urembo ni tabia eeeeh" sijui aliimba nanii huu wimbo? kwahiyo, miguu ya bia, hips na makalio wewe ya nini sasa? wewe unayo?
 
kama huna future naye mwache mapema kabisa binti wa watu,ila jua unatema big G kwa karanga za kuonjeshwa. Ndoa imara hujengwa katika upendo wa kweli,kumpenda MUNGU,kuheshimiana nk na sio hips na makalio makubwa. Your throwing away diamond and collecting stones bro
 
Wanaadam tuna shida sana wallah...utoto unakusumbua ukikua utaacha utakuwa na vipaumbele vingine kabisa!!True love is very rare to find just so you know!
 
Back
Top Bottom