Baada ya miaka 3-5 ya ndoa

Baada ya miaka 3-5 ya ndoa

Daah,yani kweli kabisa,mi pia nimo,ninakuwa na nyege sana,ingawa mr ananifikisha na sijawahi toka nje,ila siku akiwa kachoka na mimi nina hamu huwa nateseka sana,na kuna siku alinifumbia ni ulimbukeni tu nitakuja kuchoka tuu,ila siku zinavyozidi kwenda ndio hamu yazidi,mpaka nasema sijui kwa sababu ya kuzaa,sijui bado ninatafuta ufumbuzi wa hili,ingawa kwa kweli ukiwa na mume hakujali kukutimizia very likely ukatoka nje.Frankly speaking mimi hua najichua mwenyewe nikiona nimezidiwa na yeye hana dalili ya kuduu,kuliko nitoke nje bora najichezea 2-3 mini nimetua mzigo!Eee Mungu nisamehe!
Hivi inatokea mwanamke anakwambia anataka vitu vyake we unamwambia umechoka,mh mie jamani haijawhi tokea labda niwe naumwa,lakini swala la kuchoka kwangu halipo tena mie mtu wangu akiniambia anataka ile kitu frankly speaking huwa inasimama hapohapo na anapewa haki yake,sijui labda kama siko normal.
 
Hivi inatokea mwanamke anakwambia anataka vitu vyake we unamwambia umechoka,mh mie jamani haijawhi tokea labda niwe naumwa,lakini swala la kuchoka kwangu halipo tena mie mtu wangu akiniambia anataka ile kitu frankly speaking huwa inasimama hapohapo na anapewa haki yake,sijui labda kama siko normal.

hapo unapatia sana na huwa inanoga ukitimiza pale inapohitajika na kama inakuwa ni siku za hatari hata mimba hushika hapo. Hongera sana kutii kiu ya mwenzio.
 
mtoa mada anajaribu kufananisha mwili wa binadamu na vyuma ambavyo vikitumika muda mrefu hulika kwahiyo kuhitaji marekebisho ila kibaolojia mwili wa binadamu hauko hivyo. Kama kumlamba shingo ndio kulikuwa kunampa ashiki hata ipite miaka 100 bado shingo itaendelea kuwa sensitive area kwako

Ni mchango wangu msinitoleee mapovu

Mokoyo
 
muulize kwanza kaoa au unampa hongera kwa uzinifu wake tu
hapo unapatia sana na huwa inanoga ukitimiza pale inapohitajika na kama inakuwa ni siku za hatari hata mimba hushika hapo. Hongera sana kutii kiu ya mwenzio.
 
Mimi kwa ushauri wangu cha muhimu inabidi hizo weight zenu mzifanyie kazi kwani ukishakua mnene na makilo kibao kiu ya ngono inazidi kwasababu ya mafuta lakini tunapokuja kwenye uhalisia unapokuwa on bed perfomance inakuwa hovyo kwasababu unachoka haraka sana,hebu jiulize kama unashindwa kukimbia kwasababu ya uzito unafikiri kitandani utaweza seleka,pili usipende kun'gan'gania position moja kila unapofanya mavitu na mwisho jaribu kubadilisha location hii jamani ni tamu sana kwa wana ndoa,nendeni sehemu mbali kidogo na home lipieni chumba kama ni hotel,guest house au popote pale mradi ni away from home,it can even be in the car kama una gari kama Honda CRV,Noah au suziki vitara-5doors unalaza ile seat ya katikati mnaweka kigodoro kidogo kwa nyuma,tafuta eneo ambalo ni tulivu kidogo ina raha jamani hebu jaribuni halafu mni-pm how it feels like and last but not least ubunifu,tumieni vizuri viungo vyenu mikono,vidole,midomo chezesheni hivyovitu vizuri peleka kila unakohisi itamletea mwenzio munkari.Nasubiria feedback.
stephot uko juu nakuaminia..........
 
Last edited by a moderator:
Daah,yani kweli kabisa,mi pia nimo,ninakuwa na nyege sana,ingawa mr ananifikisha na sijawahi toka nje,ila siku akiwa kachoka na mimi nina hamu huwa nateseka sana,na kuna siku alinifumbia ni ulimbukeni tu nitakuja kuchoka tuu,ila siku zinavyozidi kwenda ndio hamu yazidi,mpaka nasema sijui kwa sababu ya kuzaa,sijui bado ninatafuta ufumbuzi wa hili,ingawa kwa kweli ukiwa na mume hakujali kukutimizia very likely ukatoka nje.Frankly speaking mimi hua najichua mwenyewe nikiona nimezidiwa na yeye hana dalili ya kuduu,kuliko nitoke nje bora najichezea 2-3 mini nimetua mzigo!Eee Mungu nisamehe!
daah ingawa ID yako..iko tofauti..nashukuru kwa kusema ukweli kwahiyo kumbe ile article ni hatari tena inaitwa women infidelity..kuidownload kwenye google andika women infidelity pdf..download ina page 200..daaah inabidi kwa kweli nioe mke mzuri..kwa kweli ili nisimchoke..ni chapa ilale mwanzo mwisho..mim nilifikiri huyo mzungu alikua anazingua kumbe ni kweli halafu aliyeandika ni mwanamke..sasa,,ddaaaaaahhh
 
unajua nikisoma ID yako na comments zako napatwa na kigugumizi, sasa wewe jinsia gani ndugu, jina umeficha, sura umeficha, hata jinsia nayo unaficha??? Mweee
Daah,yani kweli kabisa,mi pia nimo,ninakuwa na nyege sana,ingawa mr ananifikisha na sijawahi toka nje,ila siku akiwa kachoka na mimi nina hamu huwa nateseka sana,na kuna siku alinifumbia ni ulimbukeni tu nitakuja kuchoka tuu,ila siku zinavyozidi kwenda ndio hamu yazidi,mpaka nasema sijui kwa sababu ya kuzaa,sijui bado ninatafuta ufumbuzi wa hili,ingawa kwa kweli ukiwa na mume hakujali kukutimizia very likely ukatoka nje.Frankly speaking mimi hua najichua mwenyewe nikiona nimezidiwa na yeye hana dalili ya kuduu,kuliko nitoke nje bora najichezea 2-3 mini nimetua mzigo!Eee Mungu nisamehe!
 
unajua nikisoma ID yako na comments zako napatwa na kigugumizi, sasa wewe jinsia gani ndugu, jina umeficha, sura umeficha, hata jinsia nayo unaficha??? Mweee

pole best,i'm she,husband wangu ni msweetie mno ndio maana nikapenda hiyo id,ok nitabadlisha soon,kama inawezekana,lets me try!!
 
Kama upo kwny ndoa basi labda wewe ni kati ya wale wachache waliobahatika,ila ukweli ndio huo,%kubwa ya wamama walioko kwny ndoa ni kilio,na wababa ni wachache ambao wanalalamikia ndoa zao,wanawake ni wahanga bna asikwambie mtu!
 
Back
Top Bottom