Baada ya Meya wa Manispaa ya Iringa, Alex Kimbe kukataa hongo ya Milioni 200 kutoka CCM, Assas na Rostam aundiwa zengwe la kuondolewa madarakani

Acheni propaganda, huyu dogo (meya) hata milioni moja tu angeachia ngazi sembuse milioni 200?
Unakuwaga kama shetani hivi...Juzi Makonda na team yake walienda Mbeya kumhonga Joseph Silinde na milioni 20 akazikataa ...au mnataka tulete ushahidi.

Assas ametoa mamilioni kwa Alex Kimbe ili aunge mkono juhudi ..mayor anajitambua huyo amezikataa.
Kwani wengine mmewanunua kwa Tsh ngap ?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…