scientificall
JF-Expert Member
- Jun 4, 2015
- 454
- 314
Mpenzi wangu wa siku nyingi japo ananikubali sana mimi sina time nae namchukulia kama kiraka tu cha kumalizia sumu yangu.
Jana kaja geto kunisalimia baada ya stori tukaingia kwa match round ya kwanza nilienda tubeless maana maandalizi yalikua yanajitosha sasa round ya pili nikaamua kutumia ndomu.
Baada ya mchezo ananiropokea eti sasa nikipata mimba itakuaje maana leo tarehe 4 alafu tarehe 6 ndo naingia MP.
Kwa kiburi nami nikamjibu "ndo nataka hivyo". Nilimshangaa sana na kumuona ni mjinga kwani alishindwa nini kunambia mapema. Mpaka sasa nawatathimini wadada wenye akili kama huyu nahisi watakua ni zero brain.
Jana kaja geto kunisalimia baada ya stori tukaingia kwa match round ya kwanza nilienda tubeless maana maandalizi yalikua yanajitosha sasa round ya pili nikaamua kutumia ndomu.
Baada ya mchezo ananiropokea eti sasa nikipata mimba itakuaje maana leo tarehe 4 alafu tarehe 6 ndo naingia MP.
Kwa kiburi nami nikamjibu "ndo nataka hivyo". Nilimshangaa sana na kumuona ni mjinga kwani alishindwa nini kunambia mapema. Mpaka sasa nawatathimini wadada wenye akili kama huyu nahisi watakua ni zero brain.