Uongozi Maana Yake ni Nini Jamani Wananchi? Mauaji ya Arusha Yametikisa Taifa Letu. Watu Watatu Mpaka Leo Wamekufa kwa Kupigwa Risasi Migongoni na Wengine Bado Wanateseka Hospitalini Arusha. Kitu cha Kushangaza CCM Wabunge 357 na Spika Wao Makinda Midomo Imepigwa Gundi. Huu Ndio Uongozi? Haiwezekani Kiongozi wa Bunge Tanzania Hajasikia Lolote Lilotokea na Kutaka Hatua Kali Zichukuliwe Juu ya Wabunge Waliopigwa na Kuwekwa Ndani. Wananchi wa Tanzania Sijui Kama Tunge Kaa Kimya Kama Chadema Wangekuwa Madarakani na Kuruhusu Kupigwa kwa Wabunge wa CCM Namna Hii. Bunge ni Chombo Kikubwa Sana Tanzania, Hasa Kiongozi wa Bunge Spika. Kwanini Wabunge wa CCM Siku Zote Hawana Opinions au Uoga kwa JK? Demokrasia Gani Ndani ya CCM Inafanya Hakuna Uhuru wa Kuongea Hata Kama Makosa Makubwa Yanatokea Ndani ya Chama Chenu? Wananchi Tusaidie Kusukuma Jitahada za Katiba na Mabadiliko ya Taifa Kwani Hata CCM Watanufaika na Mabadiliko Haya...
"Leo Hii CCM Inawanachama Wangapi? Wanasisiem Kweli Wapo Brain Wash Sijapata Kuona. Maandamano Ndio Yanaanza, CCM Mtaweza Kuzuia Mikoa Yote?"
AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI
(1) Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja = uongo
(2) Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote = Uongo
(3) Nitajitolera nafsi yangu kuondosha umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma. = uongo
(4) Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa = uongo
(5) Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu. = uongo
(6) Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote. = uongo
(7) Nitashjirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu. = uongo
(8) Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko. = uongo
(9) Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia mwema wa Tanzania na Afrika. = uongo
"Leo Hii CCM Inawanachama Wangapi? Wanasisiem Kweli Wapo Brain Wash Sijapata Kuona. Maandamano Ndio Yanaanza, CCM Mtaweza Kuzuia Mikoa Yote?"
AHADI ZA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPINDUZI
(1) Binadamu wote ni ndugu zangu na Afrika ni moja = uongo
(2) Nitaitumikia nchi yangu na watu wake wote = Uongo
(3) Nitajitolera nafsi yangu kuondosha umaskini, ujinga, magonjwa na dhuluma. = uongo
(4) Rushwa ni adui wa haki, sitapokea wala kutoa rushwa = uongo
(5) Cheo ni dhamana, sitatumia cheo changu wala cha mtu mwingine kwa faida yangu. = uongo
(6) Nitajielimisha kwa kadri ya uwezo wangu na kuitumia elimu yangu kwa faida ya wote. = uongo
(7) Nitashjirikiana na wenzangu wote kujenga nchi yetu. = uongo
(8) Nitasema kweli daima, fitina kwangu mwiko. = uongo
(9) Nitakuwa mwanachama mwaminifu wa CCM na raia mwema wa Tanzania na Afrika. = uongo