Hivi kumbe Ni Waziri?muulize vile vichwa ambavyo havina mwnyewe na rais alisema havijulikani Ni vya nani vipi mmeshajua tutanunua kwa sh ngapi?na nakumbuka port authority walisema trl ndo waliagiza na inaonekana walilipa hadi ikapigwa chata ya trl vipi Ni trl wenyewe ndo wanatuuzia au..?
Ondoa akili za kitumwa ndani yako, hata mkielezwa kinaganaga mnabaki kubweka.......enyi wanawaufipa ni nani aliyewarogaa?Namna hii ndani ya wizara ya habari na michezo kupeleka timu world cup ni sawa na shetani kuingia mbinguni. Hasara tupu
Kulikuwa na tofauti ya 17,334, hata tukizijumlisha CHADEMA wapata 6,741,342! Bado walishindwa mkuu..View attachment 610343 Itashinda kama ilivyoshinda 2015
Ange wasaidia wananch akiwa kule aliko ishi tangu ujana.Nani kakudanganya ya kwamba lowasa kapandikizwa ccm, lowasa ni mtu anayejitambua na ameona mahali ambapo anaweza kuwasaidia wananchi na siyo kuwa ccm chama ambacho kinaonekana ni cha wezi kila kuchao