Shonnah
JF-Expert Member
- Dec 3, 2013
- 200
- 55
Habari wanajamvi...
jamani i was in love na huyu jamaa bila kujali tofauti zetu za kielimu,dini wala kipato,yeye ni muislam mi mkristo,mimi nina Masters yeye kaishia form 4 japo alsma tourism certfcate,financial am much more,hvyo nikaona anakuwa insecure nkamshaur apart na kaz yke ya uongozaji watalii atafte kitu kingne ambcho kitampatia extra income,tukashauriana na akanieleza kitu anachotaka kufanya ila tatzo likawa mtaj nkampa 6 mil,afanye biz anayotaka ila ckuona biz yeyote ilyofanyka ukimuulza anakuwa mkali nkaona isiwe tabu nkaacha kumuulza
Akaamua kuchukua mkopo bank akafungua biz nkawa najtahd kumsaidia kuismamia ikawa inalpa vzuri ila nkiwa sipo anatumia pesa vbya mwisho biz ikamshnda ikaflisika mkpo hajamalza akaja kuomba msaada tena nkamsema sana nkakubl kumlipia mkpo miez 2 ili ajpange.
Pamja na hayo yote nkagundua anatembea na mke wa mtu na ushahd ninao akanambia they ar just friends japo wanachart intmate sms nkamua kujivua nw ananlalamika mi ni selfish nimmuingza kwenye maden.
je kuna ukwel?
jamani i was in love na huyu jamaa bila kujali tofauti zetu za kielimu,dini wala kipato,yeye ni muislam mi mkristo,mimi nina Masters yeye kaishia form 4 japo alsma tourism certfcate,financial am much more,hvyo nikaona anakuwa insecure nkamshaur apart na kaz yke ya uongozaji watalii atafte kitu kingne ambcho kitampatia extra income,tukashauriana na akanieleza kitu anachotaka kufanya ila tatzo likawa mtaj nkampa 6 mil,afanye biz anayotaka ila ckuona biz yeyote ilyofanyka ukimuulza anakuwa mkali nkaona isiwe tabu nkaacha kumuulza
Akaamua kuchukua mkopo bank akafungua biz nkawa najtahd kumsaidia kuismamia ikawa inalpa vzuri ila nkiwa sipo anatumia pesa vbya mwisho biz ikamshnda ikaflisika mkpo hajamalza akaja kuomba msaada tena nkamsema sana nkakubl kumlipia mkpo miez 2 ili ajpange.
Pamja na hayo yote nkagundua anatembea na mke wa mtu na ushahd ninao akanambia they ar just friends japo wanachart intmate sms nkamua kujivua nw ananlalamika mi ni selfish nimmuingza kwenye maden.
je kuna ukwel?