Baada ya kuvuliwa Uwaziri Mansoor amefanya hivi,,

Anaitwa Mansoor Yusuf Himidi alikuwa Waziri asiyekuwa na Wizara maalum na mweka hazina wa CCM kabla ya kufukuzwa kazi na Rais wa Zanzibar Dr. Ally Mohammed Shein. Na wadhifa huo kupewa bi Shawana Buheti Hassan, Mansoor anaishi Chukwani alikuwa akiwasidia Wananchi wanaoishi maeneo hayo ya Chukwani Zanzibar kwa kuweka mota inayovuta maji na kusambaza katika nyumba za wananchi, lakini baada ya kutolewa Uwaziri Mansoor kwa khasira au ameamua tu, ameitoa Mota ambayo ilikuwa ikiwasaidia wananchi kupata maji ambayo aliweka yeye kuwasaidia wananchi.

Wananchi wanaoishi katika maeneo hayo wamekuwa na shida ya maji sasa na kwalazimu kwenda umbali mrefu kidogo kufata maji, baadhi ya wanachi wamekuwa wakihoji kuwa ina maana mansour hakusaidia kwa moyo wake bali kwa kuwa alikuwa waziri so baada ya kutolewa ndo atoe mota yake?? Wamesikitika sana hata ivyo kuna Mtu amehaidi kununua mota nyingne ii kurejesha hali nzuri ya huduma ya maji.

Mansour alikuwa akisapoti Mabadiliko ya Muundo wa Muungano na kutaka Zanzibar na Tanganyika wawe na Muungano wa mkataba, ili Zanzibar ipate mamlaka yake na kuiwezesha kuwa na kiti UN pia Mansour alisema kutoa maoni yake si dhambi ila kama atapewa adhabu yeyote yupo tayri na hata ikivuliwa Uanachama CCM hatobadili Msimamo wake, amesema hajawahi hata siku moja kutamka muungano uvunjike ila anataka Muungano wa Mkataba utayoiwezesha zanzibar na Tanganyika kuwa wote wana Viti UN.

Nape alitaka Mansour arudishe Kadi kwa kuwa yupo Against na sera za CCM, Mansour hataki sera ya serikali 2 yenye kuibana Zanzibar na kuifanya ishindwe kujitegemea na kujitawala yenyewe.

Amesema Rais Kikwete alipotoa wazo lake kutaka kuweka serikali ya Umoja wa kitaifa Zanzibar wengne walipinga kwa kuhofia kupinduliwa baada ya wao kuwapindua mwaka 1964( hapa mansour anamanisha kwamba mwaka 1964 walipinduliwa Utawala wa kipemba na kuchukua Nchi waunguja lakini kuna uchambuzi wa kina hapa) lakini baada ya kuisimamisha GNU sasa wanaona matunda yake kwani hata nao CUF walikuwa wakipinga kila jema la SMZ lakini baada ya kupewa nao sasa wanasimamia yale waliyokuwa wakiyapinga na kushangilia, so baada ya kuwepo muungano wa mkataba watu wataona matunda yake japo wengne sasa hawataki kwa manufaa yao binafsi hao viongozi.

you are not a good student because you are not focused.chagua hoja moja ielezee vizuri ueleweke.Himid katoa pump yake hilo ni kosa ni kufikri kitoto.na kama imeungua alipaswa kuwafahamisha wadau ili asilaumiwe kwa kudhania dhania tu. information is power. Lakini kwa suala la kuunga mkono muungano wa mkataba akiwa ndani ya serikali inayounga mkono muundo wa serikali mbili alikosea pia, na ndio maana wakamtosa ili akaendeleze mapambano yake hukohuko kwa uamsho. leo ndio unanifungua macho kuwa wapemba wanasaka mapinduzi mengine ya kuirudisha serikali mikononi mwa waarabu a.k.a WAPEMBA.mapambano yao yamekosa baraka za MUNGU kwasababu wamechoma makanisa na kuharibu mali nyingi tu za watu wake.nawatakia kushindwa kwema.
 
Kuna mawili au ni chuki na hasira za kufukuzwa uwaziri na roho mbaya au labda hana uwezo tena wa kuiendesha baada ya maslahi ya uwaziri kufutwa!bali kiungwana alitakiwa tu aongee na wadau wa hiyo motor ili kama wanaweza kuchangia uendashaji wake kama yeye kashindwa!
 
Hivi kisiwa cha Zanzibar nacho kinarais wake eti? Waafrika wanavyopenda madaraka mwee! Kile si sawa na kimkoa kidogo tu cha li nchi tukufu na kubwa la Tanganyika? Sasa si bora tungesema Mku wa Mkoa wa Zanzibar?

Hata mwenyewe si ndiyo nashangaa hapo!!ka kisiwa kenyewe kako kama vile wilaya ya ilala tu halafu kawe na nchi,sasa mafia je?,lamu,pate,mombasa wasemeje?? Zanznbr haiwezi kuwa nchi hata siku moja hii ilivyo sasa ni upendeleo tosha kabisa kuwa na raisi wao,mana hata mafia wangedai mombasa kenya wangedai!!

kwanza muungano wa serkali 3 hatuutaki mwisho ni 2 tu,wala mkataba hatuutaki,kama wanaona wao wananyonywa sana inabidi wazanzibar wote kama laki 5 wanaoishi na kujenga bara warudi kwao muungano ukivunjika na nyumba zao waziuze na wakishindwa kuziuza zichukuliwe na shirika la nyumba NHC,sababu wao watakuwa washaupoteza uraia wao wa utanzania na watakuwa ni wazanzibar hivo ni lazima warudi kwao na kama wanataka kuja kufanya biashara wafuate taratibu za migration kama wakenya wanavyofanya.

katu watanzania bara tusijifanye wakarimu pale panapohitaji ukatili hata siku moja !!kwa kujifanya sisi wabantu ni wakarimu sana tuliwakaribisha waarabu wakatuchukua utumwa tuliwakaribisha wazungu wakatutawala na kuchukua ardhi!!duniani ni makatili peke yake ndio wanaosavaivu ndio mana leo tunawakaribisha wasomali na waarabu wanakuja masikini wanapata vyeo wanarudi matajiri wakati wewe mbantu ukienda kwao hata ubalozi wa mtaa hupewi utaishia kubaguliwa tu!!

sasa ina maana sisi ndio tumekuwa binadamu sana ama vipi? HIVYO WAZANZBR WAKIJITENGA WALE WOTE WAKAAO BARA INABIDI TUSIWAONEE HURUMA KAMA VILE WAO WASIVYOWAONEA HURUMA WABARA WANAOKWENDA KUISHI ZNZBR WANAVYOWABAGUA NA KUWAFUKUZA KISA M'BARA INABIDI NA SISI TUWARUDISHE KWAO ZNZBR TUNE KAMA WATATOSHA.
 
Mpemba mbishi acha ubishi wako bwana. Sihitaji kumuuliza Samwel Sita ili niijue Zanzibar kwani ninao uwezo wakusoma, kuandika vizuri na kuelewa vizuri. Labda ingekuwa information zinazohusu Zanzibar huandikwa kwa Arabic ndio ningeshindwa na nisingemtafuta Samwel bali Seif. Kwavile nafahamu kusoma, nafahamu pia kuwa Zanzibar (Unguja) inalo eneo la about 1,500 square kilometers na ukichanganya na Pemba unapata jumla ya 2,643 square kilometers. Kwa upande mwingine, Mkoa wa Mwanza peke yake una eneo la ukubwa wa 35,187 square kilometres na hii inamaanisha unahitaji Viji-unguja zaidi ya 23 kupata Mwanza moja. Ukiunganisha Unguja na Pemba, utahitaji vi-jiunguja na pemba 13 kuipata Mwanza moja. Acha ubishi. Zanzibar haistahili kuitwa hata Mkoa. Ukubwa wake haulingani hata na baadhi ya wilaya za Tanzania Bara ila kupenda madaraka tu ndio maana eti kuna mtu anaitwa rais wa Zanzibar. Chezea waafrika wewe? Sasa eti hiyo wilaya inataka kujitenga iwe nchi? Hahahahahaha!
Kaka mimi sikuhitaji kupata mlolongo wote wa maneno, nimekuuliza suali dogo tu kulingana na maelezo yako "Kuna Kisiwa kinaitwa NAURU je unakijua au umeshawahi kusikia historia yake?". Nilikutaka umfate Samuel Sitta akufahamishe kuhusu Zanzibar sikuhiji akupe historia ya 'Nchi' hiyo bali yeye ndio anayeifahamu hasa Zanzibar pale alipokiri katika Hotel ya Bwani "Nimeshatembea sana lakini lazma nikiri ili 'Ukifahamu Kiswahili' barabara na kuupata ukweli ambao hua haufichwi (watu hua hawatafuni maneno wanapoamua kumuweka mtu kitimoto) ni lazma uje Zanzibar!!". Huyu Mzee alitokwa na majasho mpaka na sehemu ambazo kwa kawaida hua hazitokwi na iyo kitu na zaidi ilibidi aende chooni pasi na kutarajia, sijui huko hali ilikuaje. Hiyo ndio Zanzibar!
 
Hata mwenyewe si ndiyo nashangaa hapo!!ka kisiwa kenyewe kako kama vile wilaya ya ilala tu halafu kawe na nchi,sasa mafia je?,lamu,pate,mombasa wasemeje?? Zanznbr haiwezi kuwa nchi hata siku moja hii ilivyo sasa ni upendeleo tosha kabisa kuwa na raisi wao,mana hata mafia wangedai mombasa kenya wangedai!!

kwanza muungano wa serkali 3 hatuutaki mwisho ni 2 tu,wala mkataba hatuutaki,kama wanaona wao wananyonywa sana inabidi wazanzibar wote kama laki 5 wanaoishi na kujenga bara warudi kwao muungano ukivunjika na nyumba zao waziuze na wakishindwa kuziuza zichukuliwe na shirika la nyumba NHC,sababu wao watakuwa washaupoteza uraia wao wa utanzania na watakuwa ni wazanzibar hivo ni lazima warudi kwao na kama wanataka kuja kufanya biashara wafuate taratibu za migration kama wakenya wanavyofanya.

katu watanzania bara tusijifanye wakarimu pale panapohitaji ukatili hata siku moja !!kwa kujifanya sisi wabantu ni wakarimu sana tuliwakaribisha waarabu wakatuchukua utumwa tuliwakaribisha wazungu wakatutawala na kuchukua ardhi!!duniani ni makatili peke yake ndio wanaosavaivu ndio mana leo tunawakaribisha wasomali na waarabu wanakuja masikini wanapata vyeo wanarudi matajiri wakati wewe mbantu ukienda kwao hata ubalozi wa mtaa hupewi utaishia kubaguliwa tu!!

sasa ina maana sisi ndio tumekuwa binadamu sana ama vipi? HIVYO WAZANZBR WAKIJITENGA WALE WOTE WAKAAO BARA INABIDI TUSIWAONEE HURUMA KAMA VILE WAO WASIVYOWAONEA HURUMA WABARA WANAOKWENDA KUISHI ZNZBR WANAVYOWABAGUA NA KUWAFUKUZA KISA M'BARA INABIDI NA SISI TUWARUDISHE KWAO ZNZBR TUNE KAMA WATATOSHA.

Mimi binafsi nina WAJOMBA na jamaa zangu wa Kipemba wapo huko Bara maeneo ya Kariako, Namanga na Sehemu mbalimbali na wana Hela zaidi ya utakavyowafkiria wewe lakini WAO pia hawautaki Muungano na wanahitaji HESHIMA ya Zanzibar yao. Kwa Wapemba heshima inakua mwanzo mambo mengine yanakuja baadae na ndio maana hata wanawake na mabinti wa Kipemba unawaona jinsi wanavyovalia. Suali la kujiuliza Wapemba wengi wapo huko Tanganyika lakini kwanini zaidi ya 90% ya Wapemba hawautaki Muungano!! Kitendawili kinahitaji mteguzi lakini asiwe na kichwa mbofu mbofu kama wewe!
 
Mimi binafsi nina WAJOMBA na jamaa zangu wa Kipemba wapo huko Bara maeneo ya Kariako, Namanga na Sehemu mbalimbali na wana Hela zaidi ya utakavyowafkiria wewe lakini WAO pia hawautaki Muungano na wanahitaji HESHIMA ya Zanzibar yao. Kwa Wapemba heshima inakua mwanzo mambo mengine yanakuja baadae na ndio maana hata wanawake na mabinti wa Kipemba unawaona jinsi wanavyovalia. Suali la kujiuliza Wapemba wengi wapo huko Tanganyika lakini kwanini zaidi ya 90% ya Wapemba hawautaki Muungano!! Kitendawili kinahitaji mteguzi lakini asiwe na kichwa mbofu mbofu kama wewe!
mpemba mbishi,

..Hivi unafahamu kwanini Wapemba hawajengi na kuendeleza kwao?

..mapesa yote wanayotengeneza huku Tanganyika, kwanini hatuoni yakisaidia shughuli za kijamii na kiuchumi Pemba??

..hoja kwamba Wapemba hawapendi muungano siyo ya kweli. Kama kweli wanauchukia muungano kwanini tunasikia hoja za kubembeleza "muungano wa mkataba"??
 
Last edited by a moderator:
mpemba mbishi,

..Hivi unafahamu kwanini Wapemba hawajengi na kuendeleza kwao?

..mapesa yote wanayotengeneza huku Tanganyika, kwanini hatuoni yakisaidia shughuli za kijamii na kiuchumi Pemba??

..hoja kwamba Wapemba hawapendi muungano siyo ya kweli. Kama kweli wanauchukia muungano kwanini tunasikia hoja za kubembeleza "muungano wa mkataba"??

Muulize Raisi wako anaweza kukupa majibu ya maswali yako, kwanini yeye alianza kuweka KINGA mapema na kusema "Katika uundwaji wa Katiba mpya mambo yote yajadililiwe lakini sio kuvunjika kwa Muungano!!"
Wapemba walishtuka kama hapa kuna mtego ndio tukaja na njia mbadala ya kutaka Muungano wa mkataba (tukiwa na uhakika kwamba hatutofika mbali tutalipata tunalolihitajia) nacho ni KUVUNJIKA KWA MUUNGANO. Sijui kama wewe unafahamu JK na Maraisi wote wanaung'ang'ania Muungano na hawana UBAVU wa kuwahamisha Wapemba huko Tanganyika kwa sababu ni Wapemba pekee kupitia Maduka yao na biashara zao ndio wanaolipa Kodi huko Tanganyika na kuiweka 'MJINI' Serikali tofauti na Wachagga ambao wanaabudia hela! Wacha Wapemba waitwe Wapemba!
 
Last edited by a moderator:
mpemba mbishi,

..yaani unataka nimuulize JK kwanini Wapemba hamtaki kuendeleza kwenu??

..mbona wenzenu Wachaga na Wakinga wanafanya biashara hapa mjini na kujenga kwao?

..kwanini hamjufunzi toka kwa jamii nyingine zilizofanikiwa kibiashara lakini hazijabweteka na kusahau maeneo yao ya asili?

..hata mimi sielewi kwanini JK anaogopa kuuvunja muungano. Kama suala ni Wapemba walioko ktk ardhi yetu, bado wanaweza kupewa uraia wa Tanganyika, na sisi tukaishi kwa amani bila CHUKI, UBAGUZI, na VITIMBI, mnavyotufanyia.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom