mapipando
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 2,922
- 3,563
Nawasalimu wanajamvi,
Yamkini mlipendana sana,tena sana na mkapanga kuoana na kuwa na familia bora yenye watoto kadhaa.
Ikatokea mpenzi wako aidha akatangulia mbele ya haki au akakusaliti na kukuacha kabisa baada ya kukutana na jamaa anaejua matumizi ya mshedede na papuchi zaidi yako (kama wewe ni me) au amekutana na mwanamke anaejali,mnyenyekevu na mwenye kukata miuno kama pangaboi(kama wewe ni ke).
Kwa vyovyote vile uliumia (pole sana),sasa ulifanyaje baada ya hapo?
Na wewe uliekatisha ndoto za watu za kuoana unajisikiaje kumpoka mtu mpenziwe?
Kila leo watu wanaendelea kuumizwa,sasa basi mchango wako huenda ukawa ni somo kwa atakaeumizwa kwani badala ya kukimbila kujiua ama kujidhuru huenda hatua ulizochukua zikaokoa maisha yake kwa kufuata ama kufanya kama ulivyofanya wewe ulieumizwa na ukabaki salama.
Yamkini mlipendana sana,tena sana na mkapanga kuoana na kuwa na familia bora yenye watoto kadhaa.
Ikatokea mpenzi wako aidha akatangulia mbele ya haki au akakusaliti na kukuacha kabisa baada ya kukutana na jamaa anaejua matumizi ya mshedede na papuchi zaidi yako (kama wewe ni me) au amekutana na mwanamke anaejali,mnyenyekevu na mwenye kukata miuno kama pangaboi(kama wewe ni ke).
Kwa vyovyote vile uliumia (pole sana),sasa ulifanyaje baada ya hapo?
Na wewe uliekatisha ndoto za watu za kuoana unajisikiaje kumpoka mtu mpenziwe?
Kila leo watu wanaendelea kuumizwa,sasa basi mchango wako huenda ukawa ni somo kwa atakaeumizwa kwani badala ya kukimbila kujiua ama kujidhuru huenda hatua ulizochukua zikaokoa maisha yake kwa kufuata ama kufanya kama ulivyofanya wewe ulieumizwa na ukabaki salama.