Tetesi: Baada ya kuteua Raia wa UGANDA,Waziri Jenista Mhagama anamuandaa Lawrence Mafuru kuwa bosi mpya NSSF

Status
Not open for further replies.

AbasMzeEgyptian

JF-Expert Member
Jul 20, 2011
407
312
B4uqTWmCAAAAfd7.jpg:large



SIKU SITA ZILIZOPITA Waziri wa Kazi na Ajira, Jenista Mhagama alikutana na baraza la uwezeshaji wananchi wa Tanzania kiuchumi (NEEC) ambalo majukumu yake ni kuwawezesha wa Tanzania kiuchumi na kupunguza tatizo la ajira Tanzania. Na Akasisitiza na kutoa amri kuwa serikali ya awamu ya tano ya rais wetu Mpendwa John Pombe Magufuli, PHD inapenda kuona kazi inafanyika kwa vitendo na matokeo yananufaisha wananchi na si vinginevyo.....


Hii vinginevyo aliyosema waziri Mhagama alikuwa akimaanisha kuwawezesha Raia/ Wananchi wa UGANDA (Jana alimteua Raia wa Uganda kuwa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF).

Sasa taarifa za uhakika ni kuwa Jenisha sasa anawewesekna na kati ya waTanzania milioni 50 wenye uwezo kashindwa kupata mtu ambaye ni safi na asiye na kashfa ya ufisadi zaidi ya Lawrence Mafuru.

Tukumbuke kuwa huyu huyu Mafuru ametajwa as a "person of interest"na shirika la ujasusi la Marekani FBI kwenye kesi ya uhamishaji wa miamala ya pesa kwenda nje ya nchi (MONEY LAUNDERING) ambayo ilifanywa na benki ya wa Lebanon iliopo hapa nchini ya FBME.

Pia tusisahau kuwa Lawrence Mafuru alifukuzwa kazi NBC na kule BRN alikopelekwa hakufanya lolote lile la maana zaidi ya kashfa za ubadhirifu wa pesa na kumpa mkewe tenda (kama alivyokuwa anafanya yule DG wa TANESCO)

Mafuru alifikia mahala anawalipa mishahara mikubwa na bonus nzuri watu wake ambao aliwapa upendeleo maalum(nepotism) , na kulikuwa na wadada walikuwa ni untouchables ambao inasemekana ni chakula yake (hii nitabia ambayo Mafuru has in common na Magori wa NSSF).


Sasa leo Waziri Jenista Mhagama anamwona Mafuru pamoja na kashfa kem kem za ubadhirifu na ufisadi anamwaona ndio anafaa kuwa bosi mpya NSSF hivi kweli nchi hii hatuna mtu competent wa kuchukua hii post zaidi ya haya magalasa?
 
B4uqTWmCAAAAfd7.jpg:large




Sasa taarifa za uhakika ni kuwa Jenisha sasa anawewesekna na kati ya waTanzania milioni 50 wenye uwezo kashindwa kupata mtu ambaye ni safi na asiye na kashfa ya ufisadi zaidi ya Lawrence Mafuru.

'Kati ya watanzania Milioni 50' unamaanisha watoto wachanga, under 18, uneducated, wastaafu wotw hao wana sifa kwa hiyo nafasi ya DG wa NSSF?
Ukiacha nafasi hiyo moja pekee unayodai kila mtanzania ana sifa ya kuteuliwa kuitwaa, umewahi jaribu kuchukua ajira zote za serikali kwa wingi wake jalafu ukatafuta watanzania wenye sifa ya ajira hizo ni wangapi?
 
Dau tayari ameshawekwa pembeni,
Magu apewe nafasi afanye uteuzi sahihi kusimamia maslah ya watanzania hapo nssf,.
 
B4uqTWmCAAAAfd7.jpg:large



SIKU SITA ZILIZOPITA Waziri wa Kazi na Ajira, Jenista Mhagama alikutana na baraza la uwezeshaji wananchi wa Tanzania kiuchumi (NEEC) ambalo majukumu yake ni kuwawezesha wa Tanzania kiuchumi na kupunguza tatizo la ajira Tanzania. Na Akasisitiza na kutoa amri kuwa serikali ya awamu ya tano ya rais wetu Mpendwa John Pombe Magufuli, PHD inapenda kuona kazi inafanyika kwa vitendo na matokeo yananufaisha wananchi na si vinginevyo.....


Hii vinginevyo aliyosema waziri Mhagama alikuwa akimaanisha kuwawezesha Raia/ Wananchi wa UGANDA (Jana alimteua Raia wa Uganda kuwa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF).

Sasa taarifa za uhakika ni kuwa Jenisha sasa anawewesekna na kati ya waTanzania milioni 50 wenye uwezo kashindwa kupata mtu ambaye ni safi na asiye na kashfa ya ufisadi zaidi ya Lawrence Mafuru.

Tukumbuke kuwa huyu huyu Mafuru ametajwa as a "person of interest"na shirika la ujasusi la Marekani FBI kwenye kesi ya uhamishaji wa miamala ya pesa kwenda nje ya nchi (MONEY LAUNDERING) ambayo ilifanywa na benki ya wa Lebanon iliopo hapa nchini ya FBME.

Pia tusisahau kuwa Lawrence Mafuru alifukuzwa kazi NBC na kule BRN alikopelekwa hakufanya lolote lile la maana zaidi ya kashfa za ubadhirifu wa pesa na kumpa mkewe tenda (kama alivyokuwa anafanya yule DG wa TANESCO)

Mafuru alifikia mahala anawalipa mishahara mikubwa na bonus nzuri watu wake ambao aliwapa upendeleo maalum(nepotism) , na kulikuwa na wadada walikuwa ni untouchables ambao inasemekana ni chakula yake (hii nitabia ambayo Mafuru has in common na Magori wa NSSF).


Sasa leo Waziri Jenista Mhagama anamwona Mafuru pamoja na kashfa kem kem za ubadhirifu na ufisadi anamwaona ndio anafaa kuwa bosi mpya NSSF hivi kweli nchi hii hatuna mtu competent wa kuchukua hii post zaidi ya haya magalasa?
Bodi ya Wakurugenzi haina mamlaka ya kufanya "Search" ili ipendekeze mtu anayefaa? Hata hivyo Mh. Raisi ndiye mamlaka ya uteuzi wa bosi wa NSSF; waziri anatafuta wa kushikilia tuu kwa muda na hao angeweza kuwapata ndani ya shirika lenyewe
 
Hii katiba mpya ya Warioba itaanza lini ili nafasi kama hizi watu waombe na kufanyiwa usaili. Ni aibu kubwa sana karne ya 21 watu bado tunatumia njia za kishirikina na kubahatisha kuchagua viongozi wa mashirika makubwa hapa nchini
 
Mkuu Mbona unahangaika sana? Basi wakitangaza hii nafasi na wewe OMBA! I told you the era of DR. Dau is over. Live with it. Hakuna namna. Kuwa na chuki kwa Kitu ambacho huwezi Hata kuomba in kupoteza mda.
Hawa watu wa Dr. Dau wanahaha sana.... Inaonekana jamaa kaumia sana kwa Dau kuondoka..... No more misikiti tena ndani ya NSSF
 
B4uqTWmCAAAAfd7.jpg:large



SIKU SITA ZILIZOPITA Waziri wa Kazi na Ajira, Jenista Mhagama alikutana na baraza la uwezeshaji wananchi wa Tanzania kiuchumi (NEEC) ambalo majukumu yake ni kuwawezesha wa Tanzania kiuchumi na kupunguza tatizo la ajira Tanzania. Na Akasisitiza na kutoa amri kuwa serikali ya awamu ya tano ya rais wetu Mpendwa John Pombe Magufuli, PHD inapenda kuona kazi inafanyika kwa vitendo na matokeo yananufaisha wananchi na si vinginevyo.....


Hii vinginevyo aliyosema waziri Mhagama alikuwa akimaanisha kuwawezesha Raia/ Wananchi wa UGANDA (Jana alimteua Raia wa Uganda kuwa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF).

Sasa taarifa za uhakika ni kuwa Jenisha sasa anawewesekna na kati ya waTanzania milioni 50 wenye uwezo kashindwa kupata mtu ambaye ni safi na asiye na kashfa ya ufisadi zaidi ya Lawrence Mafuru.

Tukumbuke kuwa huyu huyu Mafuru ametajwa as a "person of interest"na shirika la ujasusi la Marekani FBI kwenye kesi ya uhamishaji wa miamala ya pesa kwenda nje ya nchi (MONEY LAUNDERING) ambayo ilifanywa na benki ya wa Lebanon iliopo hapa nchini ya FBME.

Pia tusisahau kuwa Lawrence Mafuru alifukuzwa kazi NBC na kule BRN alikopelekwa hakufanya lolote lile la maana zaidi ya kashfa za ubadhirifu wa pesa na kumpa mkewe tenda (kama alivyokuwa anafanya yule DG wa TANESCO)

Mafuru alifikia mahala anawalipa mishahara mikubwa na bonus nzuri watu wake ambao aliwapa upendeleo maalum(nepotism) , na kulikuwa na wadada walikuwa ni untouchables ambao inasemekana ni chakula yake (hii nitabia ambayo Mafuru has in common na Magori wa NSSF).


Sasa leo Waziri Jenista Mhagama anamwona Mafuru pamoja na kashfa kem kem za ubadhirifu na ufisadi anamwaona ndio anafaa kuwa bosi mpya NSSF hivi kweli nchi hii hatuna mtu competent wa kuchukua hii post zaidi ya haya magalasa?


Kwani whats so special with NSSF ......ilikuwa inafadhili nini hadi kelele zote hizi ..
kazi ya msajili wa hazina by defacto ni KUBWA KULIKO YA MKURUGENZI WA SHIRIKA MOJA .....Msajili wa hazina ndio bosi wa makampuni yote ambayo serikali ina iterest ......sasa kutoka kuangalia makampuni yote hadi kuangalia kampuni au shirika moja au taasisi moja .....hamuoni kuwa LAWRENCE MAFURU itakuwa na maana kashushwa cheo??...ni kama kumchukua gavana akawe mkurugenzi wa bank
 
B4uqTWmCAAAAfd7.jpg:large



SIKU SITA ZILIZOPITA Waziri wa Kazi na Ajira, Jenista Mhagama alikutana na baraza la uwezeshaji wananchi wa Tanzania kiuchumi (NEEC) ambalo majukumu yake ni kuwawezesha wa Tanzania kiuchumi na kupunguza tatizo la ajira Tanzania. Na Akasisitiza na kutoa amri kuwa serikali ya awamu ya tano ya rais wetu Mpendwa John Pombe Magufuli, PHD inapenda kuona kazi inafanyika kwa vitendo na matokeo yananufaisha wananchi na si vinginevyo.....


Hii vinginevyo aliyosema waziri Mhagama alikuwa akimaanisha kuwawezesha Raia/ Wananchi wa UGANDA (Jana alimteua Raia wa Uganda kuwa Mkurugenzi Mkuu wa NSSF).

Sasa taarifa za uhakika ni kuwa Jenisha sasa anawewesekna na kati ya waTanzania milioni 50 wenye uwezo kashindwa kupata mtu ambaye ni safi na asiye na kashfa ya ufisadi zaidi ya Lawrence Mafuru.

Tukumbuke kuwa huyu huyu Mafuru ametajwa as a "person of interest"na shirika la ujasusi la Marekani FBI kwenye kesi ya uhamishaji wa miamala ya pesa kwenda nje ya nchi (MONEY LAUNDERING) ambayo ilifanywa na benki ya wa Lebanon iliopo hapa nchini ya FBME.

Pia tusisahau kuwa Lawrence Mafuru alifukuzwa kazi NBC na kule BRN alikopelekwa hakufanya lolote lile la maana zaidi ya kashfa za ubadhirifu wa pesa na kumpa mkewe tenda (kama alivyokuwa anafanya yule DG wa TANESCO)

Mafuru alifikia mahala anawalipa mishahara mikubwa na bonus nzuri watu wake ambao aliwapa upendeleo maalum(nepotism) , na kulikuwa na wadada walikuwa ni untouchables ambao inasemekana ni chakula yake (hii nitabia ambayo Mafuru has in common na Magori wa NSSF).


Sasa leo Waziri Jenista Mhagama anamwona Mafuru pamoja na kashfa kem kem za ubadhirifu na ufisadi anamwaona ndio anafaa kuwa bosi mpya NSSF hivi kweli nchi hii hatuna mtu competent wa kuchukua hii post zaidi ya haya magalasa?



Poa mkuu tutampeleka pale Nssf Prof Assad maana unatoka sana povu
 
Mi
Hawa watu wa Dr. Dau wanahaha sana.... Inaonekana jamaa kaumia sana kwa Dau kuondoka..... No more misikiti tena ndani ya NSSF
Mizizi aliyoiweka dau kung'oka itachukua miaka na miaka, haya mmemchagua mgalatia mwenzenu mbona hata nusu saa haijapita mmemfukuza?
 
Tukumbuke kuwa huyu huyu Mafuru ametajwa as a "person of interest"na shirika la ujasusi la Marekani FBI kwenye kesi ya uhamishaji wa miamala ya pesa kwenda nje ya nchi (MONEY LAUNDERING) ambayo ilifanywa na benki ya wa Lebanon iliopo hapa nchini ya FBME.

Pia tusisahau kuwa Lawrence Mafuru alifukuzwa kazi NBC na kule BRN alikopelekwa hakufanya lolote lile la maana zaidi ya kashfa za ubadhirifu wa pesa na kumpa mkewe tenda (kama alivyokuwa anafanya yule DG wa TANESCO)

Mafuru alifikia mahala anawalipa mishahara mikubwa na bonus nzuri watu wake ambao aliwapa upendeleo maalum(nepotism) , na kulikuwa na wadada walikuwa ni untouchables ambao inasemekana ni chakula yake (hii nitabia ambayo Mafuru has in common na Magori wa NSSF).

Unaweza kushare hiyo ripoti ambayo Mafuru ametajwa kwenye Money Laundering?

Ninachojua Mafuru ni caretaker MD wa FBME baada ya FBME kuwa alleged kufanya money laundering.

Otherwise Mafuru Simkubali lakini nadhani hiyo tuhuma hapo juu haupo sawa.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom