Wakusoma 12
JF-Expert Member
- Jul 3, 2017
- 5,148
- 14,488
Mpaka sasa hakuna video iliyowekwa
Kama ww mwenyewe uko kwenye hilo kundi la utekaji, huwezi kutekwa mkuu wangu.
Kiingereza ni ugonjwa wa taifa. Kiingereza cha Makonda ni cha juhudi binafsi.
Huyo ni mmoja ya wapanga utekaji.Nimekuuliza tuu.
Na kwa nini uwaze kutekwa?
Makonda kwa elimu yake ya ZERO BRAIN amejitahidi sana. Maana yeye jina lake ni Daudi Bashite ila alisomea chuo jina la Paul Makonda.Habari za Sabato!
Unajua hii dunia inamambo Sana. Usikubali kushindwa au kuonekana umeshindwa hasa kushindwa kizembe zembe.
Nilisoma humu jamaa mmoja akisema hajawahi kumsikia Paul Makonda akimwaga ung'eng'e. Ile post ilinifanya nicheke Sana. .
Kwa tabia za Makonda ikiwemo kupenda Sifa. Kupenda ligi. Majigambo. Jamaa alikuwa na uhalali wa kujiuliza kwa tabia za Makonda iweje hajawahi kumsikia akimwaga ung'eng'e? Kitu ambacho huenda hata Makonda mwenyewe kinaweza kumsumbua na kwake kuichukulia kama changamoto anayotakiwa kuifanyia kazi.
Sasa ni Leo nimemsikia Makonda akipasua yai akiwa anahojiana na Mchina mmoja kwenye uwanja.😄😄
Amejitahidi lakini bado hana Uhuru kwamba ulimi bado mzito au ana load msamiatina kuinganisha kwa muda kidogo Hali inayomfanya asiwe kwenye fomu 😃 tofauti na angekuwa anaongea Kiswahili.
Je huu ni mwanzo tuu tutegemee mahojiano zaidi ya kingereza kutoka kwa Makonda?
Kwako, unafikiri Makonda angekuwa anajua kingereza kama vile Kiswahili ingekuwaje?
Haya polepole kwenye maoni hapo.
Matusi Leo hayana maana Leo.
Makonda kwa elimu yake ya ZERO BRAIN amejitahidi sana. Maana yeye jina lake ni Daudi Bashite ila alisomea chuo jina la Paul Makonda.
Kitu pekee Makonda anawazidi watu ni roho ya ukatili na msambwanda
Makonda hata ungemuambia 'huwezi kunya barabarani' hakubali kushindwa, atakunya kweli...huwa anapenda sana misifa na pia hakubali kushindwa!.
Kiingereza chake ni kibovu, kibovu, kibovu mnooo yani mpaka aibu.Habari za Sabato!
Unajua hii dunia inamambo Sana. Usikubali kushindwa au kuonekana umeshindwa hasa kushindwa kizembe zembe.
Nilisoma humu jamaa mmoja akisema hajawahi kumsikia Paul Makonda akimwaga ung'eng'e. Ile post ilinifanya nicheke Sana. .
Kwa tabia za Makonda ikiwemo kupenda Sifa. Kupenda ligi. Majigambo. Jamaa alikuwa na uhalali wa kujiuliza kwa tabia za Makonda iweje hajawahi kumsikia akimwaga ung'eng'e? Kitu ambacho huenda hata Makonda mwenyewe kinaweza kumsumbua na kwake kuichukulia kama changamoto anayotakiwa kuifanyia kazi.
Sasa ni Leo nimemsikia Makonda akipasua yai akiwa anahojiana na Mchina mmoja kwenye uwanja.😄😄
Amejitahidi lakini bado hana Uhuru kwamba ulimi bado mzito au ana load msamiatina kuinganisha kwa muda kidogo Hali inayomfanya asiwe kwenye fomu 😃 tofauti na angekuwa anaongea Kiswahili.
Je huu ni mwanzo tuu tutegemee mahojiano zaidi ya kingereza kutoka kwa Makonda?
Kwako, unafikiri Makonda angekuwa anajua kingereza kama vile Kiswahili ingekuwaje?
Haya polepole kwenye maoni hapo.
Matusi Leo hayana maana Leo.
Mpaka wewe chawa unamkataa waziri aliyechaguliwa na mama yenu.Makonda kwa elimu yake ya ZERO BRAIN amejitahidi sana. Maana yeye jina lake ni Daudi Bashite ila alisomea chuo jina la Paul Makonda.
Kitu pekee Makonda anawazidi watu ni roho ya ukatili na msambwanda
Kiingereza chake ni kibovu, kibovu, kibovu mnooo yani mpaka aibu.
English kama cha mwanangu darasa la 6 English medium,
Viongozi jitahidini kufanya mazoezi ya kuongea hata ukiwa na mkeo chumbani na kupitia different readings like leaflets and newspapers to Improve your speech and vocabularies,
Some leaders are ashaming this nation in English speaking with foreigners.
Japo kuna wanaojua kuongea hii lugha ya Malkia kama vile wamesoma ulaya like Dr.Mpoki mkurugenzi wa MOI pale muhimbili,that daktari has smart brain with good speech. Nilishawahi hudhuria Ibada ya Kiingereza Magomen SDA Church is where I proved that medical person is smart upstairs
Jamani pale Magomeni kuna watu wanajua hii lugha kama wanakunywa maji vile, wasabato nawapenda wanajua kujipanga kwenye Ibada zao za English.I was really Impressed with that Church in terms of Biblical Interpretation, there are alot of Geniuses in that Church.
Mpaka sasa kideo hakuna, bora nikalale zangu
Makonda ameongea kiingereza kizuri kabisa na alijiamini. Makonda ana nyota kali balaaa, yule ameumbwa hivyo. Nina uhakika Arusha itapata maendeleo sana tu...Habari za Sabato!
Unajua hii dunia inamambo Sana. Usikubali kushindwa au kuonekana umeshindwa hasa kushindwa kizembe zembe.
Nilisoma humu jamaa mmoja akisema hajawahi kumsikia Paul Makonda akimwaga ung'eng'e. Ile post ilinifanya nicheke Sana. .
Kwa tabia za Makonda ikiwemo kupenda Sifa. Kupenda ligi. Majigambo. Jamaa alikuwa na uhalali wa kujiuliza kwa tabia za Makonda iweje hajawahi kumsikia akimwaga ung'eng'e? Kitu ambacho huenda hata Makonda mwenyewe kinaweza kumsumbua na kwake kuichukulia kama changamoto anayotakiwa kuifanyia kazi.
Sasa ni Leo nimemsikia Makonda akipasua yai akiwa anahojiana na Mchina mmoja kwenye uwanja.😄😄
Amejitahidi lakini bado hana Uhuru kwamba ulimi bado mzito au ana load msamiatina kuinganisha kwa muda kidogo Hali inayomfanya asiwe kwenye fomu 😃 tofauti na angekuwa anaongea Kiswahili.
Je huu ni mwanzo tuu tutegemee mahojiano zaidi ya kingereza kutoka kwa Makonda?
Kwako, unafikiri Makonda angekuwa anajua kingereza kama vile Kiswahili ingekuwaje?
Haya polepole kwenye maoni hapo.
Matusi Leo hayana maana Leo.
Makonda is academically dwarf, take it to the nearest bankMakonda ameongea kiingereza kizuri kabisa na alijiamini. Makonda ana nyota kali balaaa, yule ameumbwa hivyo. Nina uhakika Arusha itapata maendeleo sana tu...
Kingereza muhimu achana na mambo yote japokua ni lugha kama lugha nyingineWatu wengi hufikiri kujua kingereza ni ishara ya u-smart