MoneyHeist4
JF-Expert Member
- Jul 10, 2017
- 2,139
- 3,225
Nilikuja humu nikasema bye bye ios na nikaomba ni android gani nzuri na itakayo kaa vizuri na moto pamoja na u quality wa camera.
Nawashukuru sana kwa ushauri wenu na wengi mlinishauri nichukue kampuni ya Redmi.
Kutokana na bajeti yangu niliweza kununua Redmi Note 10, hii simu iko vizuri sana inakaa na chaji, camera safi, iko very faster.
Tatizo langu toka niaze kuitumia nimekuwa na changamoto ya kuumwa kichwa, pamoja na macho sijui shida iko wapi, sijui Display ya hii simu sijui kitu gani.
Nimetumia iPhone miaka yote lakini sikuwahi kupata changamoto kama hii naombeni msaada wenu juu ya hili.
Display yake ni SUPER AMOLED na Display ya iPhone niliyokuwa natumi ni IPS LCD.
Nawashukuru sana kwa ushauri wenu na wengi mlinishauri nichukue kampuni ya Redmi.
Kutokana na bajeti yangu niliweza kununua Redmi Note 10, hii simu iko vizuri sana inakaa na chaji, camera safi, iko very faster.
Tatizo langu toka niaze kuitumia nimekuwa na changamoto ya kuumwa kichwa, pamoja na macho sijui shida iko wapi, sijui Display ya hii simu sijui kitu gani.
Nimetumia iPhone miaka yote lakini sikuwahi kupata changamoto kama hii naombeni msaada wenu juu ya hili.
Display yake ni SUPER AMOLED na Display ya iPhone niliyokuwa natumi ni IPS LCD.