BAADA YA KUPIGA SHOW SIPAT USINGIZ

BAADA YA KUPIGA SHOW SIPAT USINGIZ

Dringia

Member
Joined
Sep 17, 2016
Posts
72
Reaction score
62
Wakuu kuna suala moja linanitatiza sijajua ni kwangu pekee au na kwa wengine...

Ni hivi baada ya kumaliza show na bibie huwa sipat usingiz au nikipata ni ule wa kutokulala kwa raha au wa mang'amung'amu Je linaeza kuwa ni tatizo au

Nawasilisha
 
Duh hujapata show ya kukutoa jasho.
Mi siku ya show kama ni usiku uwa nalala pono kabisa.
 
Tatizo lako ni kwamba wewe unapiga show, wakati show ni ya kuangalia tu!!!!
Wakuu kuna suala moja linanitatiza sijajua ni kwangu pekee au na kwa wengine...

Ni hivi baada ya kumaliza show na bibie huwa sipat usingiz au nikipata ni ule wa kutokulala kwa raha au wa mang'amung'amu Je linaeza kuwa ni tatizo au

Nawasilisha
 
Pole sana jitaidi upige bao at least 5 akikisha mbunye unaigonga kweli kweli basi baada ya apo usingizi mtamu mnoooo
 
Unahitaji kuoga ukimaliza usingizi utakuja tu.


Ndukiiiii 🏃‍♂️🏃‍♂️🏃‍♂️
 
Jitahidi kabla ya tendo uwe unakula vizuri,inawezekana ule mchosho na aina ya chakula au kiasi ulichokula ikawa tatizo
 
Duh bora yako mkuu, sisi wengine kwenye viuno vyawatoto wawanaume wenzetu ndio tulishageuza pakutafutia usingizi mzito
 
Wakuu kuna suala moja linanitatiza sijajua ni kwangu pekee au na kwa wengine...

Ni hivi baada ya kumaliza show na bibie huwa sipat usingiz au nikipata ni ule wa kutokulala kwa raha au wa mang'amung'amu Je linaeza kuwa ni tatizo au

Nawasilisha
Chagua moja kulala au kupiga shoo, kama usingizi unaupenda sana achana na shoo inakupotezea usingizi

Alamsiki. . . .
 
Back
Top Bottom