BABA SANIAH
JF-Expert Member
- Oct 20, 2013
- 4,777
- 6,267
Hii imemtokea mwenzetu hapa afisini k
wetu na tunae`jamaa alifunga ndoa na mkewe miaka mitano iliyopita na wakabahatika kupata mtoto wa kiume ambae walikua wanamsomesha shule fulani ya watakatifu pale kibaha
Kwa kuwa mke wa jamaa alikua pass mark zake si nzuri jamaa akajipinda wife akarisiti na kufanikiwa kupata divisheni ya vijana`ndipi jamaa akaamua kumpeleka chuo fulanibaada ya kumaliza mke wa jamaa akapangiwa ajira mkoa uleee yalikozaliwa mapenzi na mitaa yake mingi inafahamika kwa barabara ya kwanza hadi 22 kwa sasa
JamAa walivyokubaliana na mkewe kwamba afanye mishemishe ya kumrejesha hapa dar na mipango yote tayari ili wife arudi kupiga kazi dar
Cha ajabu mke kamhamisha mtoto shule anayosoma na kaenda nae hukooooo TA na kwmwambia jamaa wewe na mimi basi oa mke mwingine na usinijue kuanzia leo na huna mtoto ma mimi
Walifunga ndoa ya kanisani ambayo bAadhi ya watu kwa ujinga wanafikiri hawaachaniwakati wazungu wenyewe wanaachanataarifa hizo kaletewa mwaka huu 2015
Tumeshauri jamaa yetu tulia jenga maisha na utapata mke mwingine walausimfuatilie uila tunza meseji zote alizokutumiahayo ndo mambo ya wanawake wa sasa maisha sasa kila mtu anamlia timing mwenzie ukizubaa imekula upande wako wewe mwanamme mwenzangu
Huyu msichana kenge sana, hapa ndo anapo haribu nafasi ya wanawake wachache wanaojua mahusiano na thamani ya ndoa.
Inaonyesha binti hakumpenda mshikaji tangu mwanzo, ila alipenda zake.
Mwambie mshkaji afatilie damu yake.[/QUOTE]
Je akafuatilia hiyo damu na akagundua siyo yake atafanyaje?
Ushauri wangu ni huu, atulie kabisa,acha kupiga simu wala kuandika meseji,wala kulia lia,songa mbela, kama mtoto ni wake atarudi tu siku ikifika, unaweza fuatilia mtoto na ukaambiwa maneno magumu sana na huyo mdada. La mwisho, Mungu yupo, ili akutendee mema, basi usitendee dhambi. Shukuru kwa kuwa ametendewa akiwa na nguvu na akili. Mbona utapata mdada mwingine mzuri wa tabia kuliko huyo.
Duh!Pole yake,Hapo my wife wake ameshapata dume la kudanganyana.Binadamu huwa tunajisahau tulipotoka/tolewa!
Huyu msichana kenge sana, hapa ndo anapo haribu nafasi ya wanawake wachache wanaojua mahusiano na thamani ya ndoa.
Inaonyesha binti hakumpenda mshikaji tangu mwanzo, ila alipenda zake.
Mwambie mshkaji afatilie damu yake.[/QUOTE]
Je akafuatilia hiyo damu na akagundua siyo yake atafanyaje?
Ushauri wangu ni huu, atulie kabisa,acha kupiga simu wala kuandika meseji,wala kulia lia,songa mbela, kama mtoto ni wake atarudi tu siku ikifika, unaweza fuatilia mtoto na ukaambiwa maneno magumu sana na huyo mdada. La mwisho, Mungu yupo, ili akutendee mema, basi usitendee dhambi. Shukuru kwa kuwa ametendewa akiwa na nguvu na akili. Mbona utapata mdada mwingine mzuri wa tabia kuliko huyo.
Faq genetic, kama mtot kamlea na kumkuza kwa kiwango hicho jua anamuhusu sana. Jamaa kama ni mpiganaji nae amwage ugali, ila kama ni roho nyepesi apotezee. Bt ikiwa kama ni damu yake kweli then alelewe katika mazingira ya kishenzi na kupoteza dira itamuuma twice kipindi akimtafuta
wajanja wa raskazoni washamuwahi.....
Si afadhali wa Raskazone uyo kapata wa mwahako kajipatia jidume la kidigo shughuli hana kapagawa na mauno ya mdigo.