contagious
JF-Expert Member
- Jul 14, 2015
- 528
- 344
Niulize nitakujibu, bado hujauliza.Je wewe usingeulizwa kama una mtoto ungekaa kimya????
Niulize nitakujibu, bado hujauliza.Je wewe usingeulizwa kama una mtoto ungekaa kimya????
Ungekuwa kaka yangu sema tu sina kaka, ila ningeshauri ukaoe mwanamke mwingine au uzae na mwanamke mwingine ngoma iwe drooo
wewe ni me or ke
Ili jambo wanawake wengi wanakoseaga sana kuficha kitu bila kufikiria mbele itakuwaje...wanatia aibu wanawake kuficha watoto waliobarikiwa na Mungu kisa tamaa zao. Na mwanamke wa hivyo eeeh utasikia mengi labda hata alikuwa ameolewa au aliishi kindoa kabisa...
Kama hana mimba au hamjazaa wenu nenda zako, nafikiri umejuta na familia yako itakusamehe na kukusapoti katika maamuzi yako.
Kanisani wamejaa single motherNdiyo maana nimeapa nikikosa mke kanisani bora nisioe..!
Mbona wapo tu adi mabikra..!Kanisani wamejaa single mother
inawezekana alifanyweje etiKuwa na mtoto sio shida sana coz kuna mwingine inawezekana alibakwa, shida kubwa ni kutoweka wazi kwamba ana mtoto,maamuzi ni yako
mkuu anamaanishi ikiwa baba wa mtoto kama amefariki sio mtoto umechanganyaHata akifa bado watakutana mara moja moja
Hapa hakuna penzi la dhati tena maana mmoja kati hao wapenzi mmoja ana jakamoyo ndoa ilishaingia mushikheriKama,mmependana usimuache komaa nae jali anakuonesha,mapenz ya dhati
Kuna wanawake wangapi umewapa mimba na wakatoa? Au ww unafikiri kuzaa ni mpaka mtu aende leba? Hata kutoa mimba ni kuzaa pia by the way kwa nn na ww uanze mapenzi bila kuwa na mke? Ina mana ww hujayawahi fanya mapenzi toka ulivyobalehe umekuja fanyanyia ndoani?Hata kama walizaa na wanaume, ni kwanini walikubali kuzaa kabla ya ndoa? Au walibakwa?
Mkuu huyo mwenye mtoto ushauoa?kuzaa watoto wawili sio sababu ya kutaka kumpa talaka..kama mwanamke ana deserve heshima ktk ndoa mliyofunga ..anaweza akawa ndo anafanya correctiona ktk ndoa yenu na akaperform the best kuliko unavofikir....angalia vision yake juu ya maisha yenu...usiwe so alerted kwamba huyu muda wwte namtafutia sababu ..hapana...mm mwenyewe nina mchumba na ana mtoto mmoja mkibwa tuu...na pia niliwah kusema siku moja kwamba one dy ntakuja nioe mwanamke ambaye ameshazaa...tusiwe na negative attitude juu yao....issue ni kwamba kama ameonesha tabia mbovu kwa haraka hapo ndipo unatakiwa kuliangalia hlo suala kutafuta kwann anabehave namna hyo...faham suala la upendo kutoka moyoni ni lako na sio la ndugu zako....unaweza kulazimishwa kumuacha lkn kumbe ww unafaham utamu wa maisha pindi unapokuwa naye.....na usijaribu kuoa mtu kwasababu tuu flan...pima upendo wako kwake...na yy afanye the same...Namalizia kusema..maisha ya ndoa c ya kufanya maamuz mepesi na ya haraka..tafakari kwanza ndugu..pole sana.
Huwa mnasema hivyohivyo, halafu mwisho mnaishia kufanya mliyosema kamwa hamtafanya.asante mkuu but sio wote.... mfano naolewa Leo.... kipi nitafute kwa huyo mzaz? kwang mimi sidhan