Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,352
- 9,810
Acha uongo basi.... kujifanya legacy inaendeleaKwa sisi tuliokuwa karibu na mzee kwenye siku zake za mwisho ,kati ya watu alioongea nao kwa muda mrefu ukiwatoa viongozi wa dini na familia yake ni CDF Mabeyo, nadhani alikuwa mtu wa karibu sana kwenye moyo wa mzee.
CDF Mabeyo aliambiwa mambo mazito mno pamoja na dokezo la kwamba iwe mvua au jua likitokea la kutokea ahakikishe ya kwamba makamu wa rais anaapishwa kuwa rais wa sita wa nchi yetu. Kwa mjibu wa dokezo hilo kumbe mzee alikuwa ameshamsoma mama kuwa ni mtu mwenye msimamo mkali usioyumba na ni yeye tu ndiyo atakayeweza kuendeleza na kukamilisha miradi yote kwa manufaa ya watanzania wote. Mama alikuwa mwanafunzi mahiri wa mzee aliyehitimu kozi ya miaka 5 kwa daraja la juu kabisa. Kumbuka miaka 5 ni sawa na kumaliza degree ya udaktari.
Kwa jinsi rais Samia anavyokemea tabia mbaya za wahuni ikiwemo pale alipowaonya wabunge waache kudemka na jinsi ambavyo yuko tayari kubishana hadharani na spika Ndugai basi kuanzia leo nimeamini na kuelewa ni kwa nini CDF Mabeyo aliachiwa dokezo lile.
Ccm wote wahuni tuKwa sisi tuliokuwa karibu na mzee kwenye siku zake za mwisho ,kati ya watu alioongea nao kwa muda mrefu ukiwatoa viongozi wa dini na familia yake ni CDF Mabeyo, nadhani alikuwa mtu wa karibu sana kwenye moyo wa mzee.
CDF Mabeyo aliambiwa mambo mazito mno pamoja na dokezo la kwamba iwe mvua au jua likitokea la kutokea ahakikishe ya kwamba makamu wa rais anaapishwa kuwa rais wa sita wa nchi yetu. Kwa mjibu wa dokezo hilo kumbe mzee alikuwa ameshamsoma mama kuwa ni mtu mwenye msimamo mkali usioyumba na ni yeye tu ndiyo atakayeweza kuendeleza na kukamilisha miradi yote kwa manufaa ya watanzania wote. Mama alikuwa mwanafunzi mahiri wa mzee aliyehitimu kozi ya miaka 5 kwa daraja la juu kabisa. Kumbuka miaka 5 ni sawa na kumaliza degree ya udaktari.
Kwa jinsi rais Samia anavyokemea tabia mbaya za wahuni ikiwemo pale alipowaonya wabunge waache kudemka na jinsi ambavyo yuko tayari kubishana hadharani na spika Ndugai basi kuanzia leo nimeamini na kuelewa ni kwa nini CDF Mabeyo aliachiwa dokezo lile.
Na hapa ndio Watnzania walipoponea, mkono wa Bwana ukaonekana, vinginevyo hali ingekuwa tete.Hili kawadanganye vijiwe vya kwenu huko uswahilini. Huwezi kutudanganya sisi tunaojua alipougua alizidiwa namna gani. Kwa kifupi ni kuwa hakuwa ameendaa plan yoyote na mambo yalibadilika ghafla bila mtu yoyote kutarajia.
Mchele ni chakula kwani kuna shida? Hata ugali pia ni nataka, ukitaka tunakuongezea na chapati....shida iko wapi na huku Tabora tunaletewa SGR..We kweli mchele wa vitumbua!! Sipika awe royal kwa rais?? Kivipi yani??
Yeye mwenyewe amekiri kwamba ni chizi hivyo ni wa kupuuzwa tuSafi Sana,Ila nawashangaa wanao mchukulia seriazi ndugai,mimi sijawahi mwelewa kabisa huyu mtu
Jiwe hadi kifo chake hajawahi kuiheshimu Katiba. Wacha uongoKwa sisi tuliokuwa karibu na mzee kwenye siku zake za mwisho ,kati ya watu alioongea nao kwa muda mrefu ukiwatoa viongozi wa dini na familia yake ni CDF Mabeyo, nadhani alikuwa mtu wa karibu sana kwenye moyo wa mzee.
CDF Mabeyo aliambiwa mambo mazito mno pamoja na dokezo la kwamba iwe mvua au jua likitokea la kutokea ahakikishe ya kwamba makamu wa rais anaapishwa kuwa rais wa sita wa nchi yetu. Kwa mjibu wa dokezo hilo kumbe mzee alikuwa ameshamsoma mama kuwa ni mtu mwenye msimamo mkali usioyumba na ni yeye tu ndiyo atakayeweza kuendeleza na kukamilisha miradi yote kwa manufaa ya watanzania wote. Mama alikuwa mwanafunzi mahiri wa mzee aliyehitimu kozi ya miaka 5 kwa daraja la juu kabisa. Kumbuka miaka 5 ni sawa na kumaliza degree ya udaktari.
Kwa jinsi rais Samia anavyokemea tabia mbaya za wahuni ikiwemo pale alipowaonya wabunge waache kudemka na jinsi ambavyo yuko tayari kubishana hadharani na spika Ndugai basi kuanzia leo nimeamini na kuelewa ni kwa nini CDF Mabeyo aliachiwa dokezo lile.
Mjinga we, kwani unafikiri CDF ni mjinga na hakujua ukichaa wa Mwendazake?Kwa sisi tuliokuwa karibu na mzee kwenye siku zake za mwisho ,kati ya watu alioongea nao kwa muda mrefu ukiwatoa viongozi wa dini na familia yake ni CDF Mabeyo, nadhani alikuwa mtu wa karibu sana kwenye moyo wa mzee.
CDF Mabeyo aliambiwa mambo mazito mno pamoja na dokezo la kwamba iwe mvua au jua likitokea la kutokea ahakikishe ya kwamba makamu wa rais anaapishwa kuwa rais wa sita wa nchi yetu. Kwa mjibu wa dokezo hilo kumbe mzee alikuwa ameshamsoma mama kuwa ni mtu mwenye msimamo mkali usioyumba na ni yeye tu ndiyo atakayeweza kuendeleza na kukamilisha miradi yote kwa manufaa ya watanzania wote. Mama alikuwa mwanafunzi mahiri wa mzee aliyehitimu kozi ya miaka 5 kwa daraja la juu kabisa. Kumbuka miaka 5 ni sawa na kumaliza degree ya udaktari.
Kwa jinsi rais Samia anavyokemea tabia mbaya za wahuni ikiwemo pale alipowaonya wabunge waache kudemka na jinsi ambavyo yuko tayari kubishana hadharani na spika Ndugai basi kuanzia leo nimeamini na kuelewa ni kwa nini CDF Mabeyo aliachiwa dokezo lile.
Hili kawadanganye vijiwe vya kwenu huko uswahilini. Huwezi kutudanganya sisi tunaojua alipougua alizidiwa namna gani. Kwa kifupi ni kuwa hakuwa ameendaa plan yoyote na mambo yalibadilika ghafla bila mtu yoyote kutarajia.
Anafikiri spika anateuliwa na rais, kuna watu ni weupe sana vichwani....We kweli mchele wa vitumbua!! Sipika awe royal kwa rais?? Kivipi yani??
Katiba inaelekeza iwe hivyo. Achana na Madokezo ya marehemu Magufuli.Kwa sisi tuliokuwa karibu na mzee kwenye siku zake za mwisho ,kati ya watu alioongea nao kwa muda mrefu ukiwatoa viongozi wa dini na familia yake ni CDF Mabeyo, nadhani alikuwa mtu wa karibu sana kwenye moyo wa mzee.
CDF Mabeyo aliambiwa mambo mazito mno pamoja na dokezo la kwamba iwe mvua au jua likitokea la kutokea ahakikishe ya kwamba makamu wa rais anaapishwa kuwa rais wa sita wa nchi yetu.
Kwa mjibu wa dokezo hilo kumbe mzee alikuwa ameshamsoma mama kuwa ni mtu mwenye msimamo mkali usioyumba na ni yeye tu ndiyo atakayeweza kuendeleza na kukamilisha miradi yote kwa manufaa ya watanzania wote. Mama alikuwa mwanafunzi mahiri wa mzee aliyehitimu kozi ya miaka 5 kwa daraja la juu kabisa. Kumbuka miaka 5 ni sawa na kumaliza degree ya udaktari.
Kwa jinsi rais Samia anavyokemea tabia mbaya za wahuni ikiwemo pale alipowaonya wabunge waache kudemka na jinsi ambavyo yuko tayari kubishana hadharani na spika Ndugai basi kuanzia leo nimeamini na kuelewa ni kwa nini CDF Mabeyo aliachiwa dokezo lile.
Kama hujui Rais ndio mwenyekiti wa CCM ndio ujue sasa. Rais ndio anaamua nani awe spika ili huko baadae amtumie atakavyo...Anafikiri spika anateuliwa na rais, kuna watu ni weupe sana vichwani....
Uko SawasawaSafi Sana,Ila nawashangaa wanao mchukulia seriazi ndugai,mimi sijawahi mwelewa kabisa huyu mtu
Mapema nana hii umeshaanza ujinga?!Kwa sisi tuliokuwa karibu na mzee kwenye siku zake za mwisho ,kati ya watu alioongea nao kwa muda mrefu ukiwatoa viongozi wa dini na familia yake ni CDF Mabeyo, nadhani alikuwa mtu wa karibu sana kwenye moyo wa mzee.
CDF Mabeyo aliambiwa mambo mazito mno pamoja na dokezo la kwamba iwe mvua au jua likitokea la kutokea ahakikishe ya kwamba makamu wa rais anaapishwa kuwa rais wa sita wa nchi yetu.
Kwa mjibu wa dokezo hilo kumbe mzee alikuwa ameshamsoma mama kuwa ni mtu mwenye msimamo mkali usioyumba na ni yeye tu ndiyo atakayeweza kuendeleza na kukamilisha miradi yote kwa manufaa ya watanzania wote. Mama alikuwa mwanafunzi mahiri wa mzee aliyehitimu kozi ya miaka 5 kwa daraja la juu kabisa. Kumbuka miaka 5 ni sawa na kumaliza degree ya udaktari.
Kwa jinsi rais Samia anavyokemea tabia mbaya za wahuni ikiwemo pale alipowaonya wabunge waache kudemka na jinsi ambavyo yuko tayari kubishana hadharani na spika Ndugai basi kuanzia leo nimeamini na kuelewa ni kwa nini CDF Mabeyo aliachiwa dokezo lile.
Wewe ndiye mabeyo?
Bashite huyo utamuweza kujifanya na kujipendekeza.Wewe ndiye mabeyo?