Baada ya kumsikiliza Rais Samia nimeelewa ni kwanini CDF Mabeyo alipewa dokezo

Kwa sisi tuliokuwa karibu na mzee kwenye siku zake za mwisho ,kati ya watu alioongea nao kwa muda mrefu ukiwatoa viongozi wa dini na familia yake ni CDF Mabeyo, nadhani alikuwa mtu wa karibu sana kwenye moyo wa mzee.
CDF Mabeyo aliambiwa mambo mazito mno pamoja na dokezo la kwamba iwe mvua au jua likitokea la kutokea ahakikishe ya kwamba makamu wa rais anaapishwa kuwa rais wa sita wa nchi yetu. Kwa mjibu wa dokezo hilo kumbe mzee alikuwa ameshamsoma mama kuwa ni mtu mwenye msimamo mkali usioyumba na ni yeye tu ndiyo atakayeweza kuendeleza na kukamilisha miradi yote kwa manufaa ya watanzania wote. Mama alikuwa mwanafunzi mahiri wa mzee aliyehitimu kozi ya miaka 5 kwa daraja la juu kabisa. Kumbuka miaka 5 ni sawa na kumaliza degree ya udaktari.

Kwa jinsi rais Samia anavyokemea tabia mbaya za wahuni ikiwemo pale alipowaonya wabunge waache kudemka na jinsi ambavyo yuko tayari kubishana hadharani na spika Ndugai basi kuanzia leo nimeamini na kuelewa ni kwa nini CDF Mabeyo aliachiwa dokezo lile.


Acha uongo basi.... kujifanya legacy inaendelea
 
Kwa sisi tuliokuwa karibu na mzee kwenye siku zake za mwisho ,kati ya watu alioongea nao kwa muda mrefu ukiwatoa viongozi wa dini na familia yake ni CDF Mabeyo, nadhani alikuwa mtu wa karibu sana kwenye moyo wa mzee.
CDF Mabeyo aliambiwa mambo mazito mno pamoja na dokezo la kwamba iwe mvua au jua likitokea la kutokea ahakikishe ya kwamba makamu wa rais anaapishwa kuwa rais wa sita wa nchi yetu. Kwa mjibu wa dokezo hilo kumbe mzee alikuwa ameshamsoma mama kuwa ni mtu mwenye msimamo mkali usioyumba na ni yeye tu ndiyo atakayeweza kuendeleza na kukamilisha miradi yote kwa manufaa ya watanzania wote. Mama alikuwa mwanafunzi mahiri wa mzee aliyehitimu kozi ya miaka 5 kwa daraja la juu kabisa. Kumbuka miaka 5 ni sawa na kumaliza degree ya udaktari.

Kwa jinsi rais Samia anavyokemea tabia mbaya za wahuni ikiwemo pale alipowaonya wabunge waache kudemka na jinsi ambavyo yuko tayari kubishana hadharani na spika Ndugai basi kuanzia leo nimeamini na kuelewa ni kwa nini CDF Mabeyo aliachiwa dokezo lile.


Ccm wote wahuni tu
 
Hili kawadanganye vijiwe vya kwenu huko uswahilini. Huwezi kutudanganya sisi tunaojua alipougua alizidiwa namna gani. Kwa kifupi ni kuwa hakuwa ameendaa plan yoyote na mambo yalibadilika ghafla bila mtu yoyote kutarajia.
Na hapa ndio Watnzania walipoponea, mkono wa Bwana ukaonekana, vinginevyo hali ingekuwa tete.
 
Kwa sisi tuliokuwa karibu na mzee kwenye siku zake za mwisho ,kati ya watu alioongea nao kwa muda mrefu ukiwatoa viongozi wa dini na familia yake ni CDF Mabeyo, nadhani alikuwa mtu wa karibu sana kwenye moyo wa mzee.
CDF Mabeyo aliambiwa mambo mazito mno pamoja na dokezo la kwamba iwe mvua au jua likitokea la kutokea ahakikishe ya kwamba makamu wa rais anaapishwa kuwa rais wa sita wa nchi yetu. Kwa mjibu wa dokezo hilo kumbe mzee alikuwa ameshamsoma mama kuwa ni mtu mwenye msimamo mkali usioyumba na ni yeye tu ndiyo atakayeweza kuendeleza na kukamilisha miradi yote kwa manufaa ya watanzania wote. Mama alikuwa mwanafunzi mahiri wa mzee aliyehitimu kozi ya miaka 5 kwa daraja la juu kabisa. Kumbuka miaka 5 ni sawa na kumaliza degree ya udaktari.

Kwa jinsi rais Samia anavyokemea tabia mbaya za wahuni ikiwemo pale alipowaonya wabunge waache kudemka na jinsi ambavyo yuko tayari kubishana hadharani na spika Ndugai basi kuanzia leo nimeamini na kuelewa ni kwa nini CDF Mabeyo aliachiwa dokezo lile.


Jiwe hadi kifo chake hajawahi kuiheshimu Katiba. Wacha uongo
 
Kwa sisi tuliokuwa karibu na mzee kwenye siku zake za mwisho ,kati ya watu alioongea nao kwa muda mrefu ukiwatoa viongozi wa dini na familia yake ni CDF Mabeyo, nadhani alikuwa mtu wa karibu sana kwenye moyo wa mzee.
CDF Mabeyo aliambiwa mambo mazito mno pamoja na dokezo la kwamba iwe mvua au jua likitokea la kutokea ahakikishe ya kwamba makamu wa rais anaapishwa kuwa rais wa sita wa nchi yetu. Kwa mjibu wa dokezo hilo kumbe mzee alikuwa ameshamsoma mama kuwa ni mtu mwenye msimamo mkali usioyumba na ni yeye tu ndiyo atakayeweza kuendeleza na kukamilisha miradi yote kwa manufaa ya watanzania wote. Mama alikuwa mwanafunzi mahiri wa mzee aliyehitimu kozi ya miaka 5 kwa daraja la juu kabisa. Kumbuka miaka 5 ni sawa na kumaliza degree ya udaktari.

Kwa jinsi rais Samia anavyokemea tabia mbaya za wahuni ikiwemo pale alipowaonya wabunge waache kudemka na jinsi ambavyo yuko tayari kubishana hadharani na spika Ndugai basi kuanzia leo nimeamini na kuelewa ni kwa nini CDF Mabeyo aliachiwa dokezo lile.


Mjinga we, kwani unafikiri CDF ni mjinga na hakujua ukichaa wa Mwendazake?
Ninyi si ndio mlimuwekea vinasa sauti CDF kwa kutumwa na Mwendazake.
Idara yenu ilisha haribiwa kabisa chini ya yule bwana na kuwa kikosi cha interhamwe tu.
 
Hili kawadanganye vijiwe vya kwenu huko uswahilini. Huwezi kutudanganya sisi tunaojua alipougua alizidiwa namna gani. Kwa kifupi ni kuwa hakuwa ameendaa plan yoyote na mambo yalibadilika ghafla bila mtu yoyote kutarajia.

Watu kwa kujkweza hamjambo,eti na wewe ulikuwa unaujua undani wa kila kitu.Hebu acheni kutufanya watoto wa kindergaten hapa na uongo wenu nyuma ya keyboard.
 
Kwa sisi tuliokuwa karibu na mzee kwenye siku zake za mwisho ,kati ya watu alioongea nao kwa muda mrefu ukiwatoa viongozi wa dini na familia yake ni CDF Mabeyo, nadhani alikuwa mtu wa karibu sana kwenye moyo wa mzee.

CDF Mabeyo aliambiwa mambo mazito mno pamoja na dokezo la kwamba iwe mvua au jua likitokea la kutokea ahakikishe ya kwamba makamu wa rais anaapishwa kuwa rais wa sita wa nchi yetu.

Kwa mjibu wa dokezo hilo kumbe mzee alikuwa ameshamsoma mama kuwa ni mtu mwenye msimamo mkali usioyumba na ni yeye tu ndiyo atakayeweza kuendeleza na kukamilisha miradi yote kwa manufaa ya watanzania wote. Mama alikuwa mwanafunzi mahiri wa mzee aliyehitimu kozi ya miaka 5 kwa daraja la juu kabisa. Kumbuka miaka 5 ni sawa na kumaliza degree ya udaktari.

Kwa jinsi rais Samia anavyokemea tabia mbaya za wahuni ikiwemo pale alipowaonya wabunge waache kudemka na jinsi ambavyo yuko tayari kubishana hadharani na spika Ndugai basi kuanzia leo nimeamini na kuelewa ni kwa nini CDF Mabeyo aliachiwa dokezo lile.


Katiba inaelekeza iwe hivyo. Achana na Madokezo ya marehemu Magufuli.
 
Anafikiri spika anateuliwa na rais, kuna watu ni weupe sana vichwani....
Kama hujui Rais ndio mwenyekiti wa CCM ndio ujue sasa. Rais ndio anaamua nani awe spika ili huko baadae amtumie atakavyo...

Rais huyo huyo ndie anamteua jaji mkuu. Ndio ujue kibongobongo Spika wa Bunge na Jaji mkuu hawana la kusema mbele ya Rais...

Katiba la kibwege kabisa tunalo hivi sasa...
 
Kwa sisi tuliokuwa karibu na mzee kwenye siku zake za mwisho ,kati ya watu alioongea nao kwa muda mrefu ukiwatoa viongozi wa dini na familia yake ni CDF Mabeyo, nadhani alikuwa mtu wa karibu sana kwenye moyo wa mzee.

CDF Mabeyo aliambiwa mambo mazito mno pamoja na dokezo la kwamba iwe mvua au jua likitokea la kutokea ahakikishe ya kwamba makamu wa rais anaapishwa kuwa rais wa sita wa nchi yetu.

Kwa mjibu wa dokezo hilo kumbe mzee alikuwa ameshamsoma mama kuwa ni mtu mwenye msimamo mkali usioyumba na ni yeye tu ndiyo atakayeweza kuendeleza na kukamilisha miradi yote kwa manufaa ya watanzania wote. Mama alikuwa mwanafunzi mahiri wa mzee aliyehitimu kozi ya miaka 5 kwa daraja la juu kabisa. Kumbuka miaka 5 ni sawa na kumaliza degree ya udaktari.

Kwa jinsi rais Samia anavyokemea tabia mbaya za wahuni ikiwemo pale alipowaonya wabunge waache kudemka na jinsi ambavyo yuko tayari kubishana hadharani na spika Ndugai basi kuanzia leo nimeamini na kuelewa ni kwa nini CDF Mabeyo aliachiwa dokezo lile.


Mapema nana hii umeshaanza ujinga?!
 
15 Reactions
Reply
Back
Top Bottom