FrediusSnowden
JF-Expert Member
- Sep 7, 2016
- 269
- 224
Wakubwa habari..
Ni muda sasa umepita (mwezi) ambapo baada ya mke wangu kuwa anajipaka kitunguu maji sirini na kubadilisha mikao wakati wa kushirikiana ndoa nilikuja kugundua kuwa amejiunga kwenye makundi whatsapp. Nilibaini kuwa huko kundini wanajadiliana na kufundishana masuala ya mapenzi, vikoba na biashara zingine. Binafsi sikuona kama ni tatizo katika masuala ya biashara kwani ni vyema mke pia aingize kipato katika familia.
Ila hadi sasa naona kama namna fulani hivi katika "sita kwa sita" mke wangu amekuwa mwendesha farasi zaidi (naamini wakubwa tunaelewana). Ile hali ya yeye kutaka mimi kuwa juu siku hizi hataki. Kwa wataalamu wa Fizikia naamini kuwa tunakubaliana wote kwamba, nguvu msuguano inakuwa kubwa kutokana ha uzito fulani wa maada.
Of coarse she get a weight. Yani kuna namna wakati wa mshindo wake ananizidi nguvu. Hii inanifanya nijione mzembe sana.
KUTOKANA NA HAYO NAOMBA USHAURI KWENU WANAJAMVI NI NAMNA GANI NIWEZE MAMBO HAYA:
1. Kumfikisha kunako pasi mimi kuchoka?
2. Kudumu muda mrefu kwenye gemu?
3. Kumfanya akimbie gemu mwenyewe?
4. Kuongeza urefu wa hii nanilihi?
Naomba kuwasilisha.
Fredius Snowden,
5th Avenue Madson, NY758, USA
Ni muda sasa umepita (mwezi) ambapo baada ya mke wangu kuwa anajipaka kitunguu maji sirini na kubadilisha mikao wakati wa kushirikiana ndoa nilikuja kugundua kuwa amejiunga kwenye makundi whatsapp. Nilibaini kuwa huko kundini wanajadiliana na kufundishana masuala ya mapenzi, vikoba na biashara zingine. Binafsi sikuona kama ni tatizo katika masuala ya biashara kwani ni vyema mke pia aingize kipato katika familia.
Ila hadi sasa naona kama namna fulani hivi katika "sita kwa sita" mke wangu amekuwa mwendesha farasi zaidi (naamini wakubwa tunaelewana). Ile hali ya yeye kutaka mimi kuwa juu siku hizi hataki. Kwa wataalamu wa Fizikia naamini kuwa tunakubaliana wote kwamba, nguvu msuguano inakuwa kubwa kutokana ha uzito fulani wa maada.
Of coarse she get a weight. Yani kuna namna wakati wa mshindo wake ananizidi nguvu. Hii inanifanya nijione mzembe sana.
KUTOKANA NA HAYO NAOMBA USHAURI KWENU WANAJAMVI NI NAMNA GANI NIWEZE MAMBO HAYA:
1. Kumfikisha kunako pasi mimi kuchoka?
2. Kudumu muda mrefu kwenye gemu?
3. Kumfanya akimbie gemu mwenyewe?
4. Kuongeza urefu wa hii nanilihi?
Naomba kuwasilisha.
Fredius Snowden,
5th Avenue Madson, NY758, USA