jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
MaftahMBUNGE WA MTWARA MJINI KUTOKA CUF
MaftahMBUNGE WA MTWARA MJINI KUTOKA CUF
Niko mbaliNenda kamuwakilishe
Ulitaka apige kura ili iweje? Hivi Nimrod Mkono nae yupo anapiga kura? Dr. Tulia?Tunaposema wapinzani ni wasanii na wachumia tumbo wanadhani tunawadhihaki
Unamlinganisha Nimrodi na KUB?Ulitaka apige kura ili iweje? Hivi Nimrod Mkono nae yupo anapiga kura? Dr. Tulia?
Bajeti isiyofikia hata 40% inastahili kuitwa Bajeti? Ilipaswa kutopoteza muda kujadili mashudu ya Dr. Mpango! He is the most failure MoF ever! It is worth serving your calories rather than voting for Bajeti Hewa yenye maagizo too Juu kuwa lazima ipite kwa Kishindo!Dawa yao ni kurekebisha tu sheria,asiepitisha bajeti chama chake hakipati ruzuku,bajeti wanapinga lakini posho na ruzuku ndio wa kwanza kudai
Acha hizo mbona upinzani kwenye posho na ruzuku wanakuwa active sana kuchangia ila maeneo mengine ndio hususa? Likifika kipengele cha kujadili posho na ruzuku wabunge wote wa upinzani huwa ndani na huchangia Sana. Unafiki mtupuBajeti isiyofikia hata 40% inastahili kuitwa Bajeti? Ilipaswa kutopoteza muda kujadili mashudu ya Dr. Mpango! He is the most failure MoF ever! It is worth serving your calories rather than voting for Bajeti Hewa yenye maagizo too Juu kuwa lazima ipite kwa Kishindo!
Kwani Ruzuku ya chama chenu hamjaiona?kwa nini hamjakataa ruzuku ili tufinance miradi?Bajeti isiyofikia hata 40% inastahili kuitwa Bajeti? Ilipaswa kutopoteza muda kujadili mashudu ya Dr. Mpango! He is the most failure MoF ever! It is worth serving your calories rather than voting for Bajeti Hewa yenye maagizo too Juu kuwa lazima ipite kwa Kishindo!
Tuyazoea hayo,lakini wakati kula ruzuku mimacho huwa inawatoka,dawa yenu ipo jikoniBajeti isiyofikia hata 40% inastahili kuitwa Bajeti? Ilipaswa kutopoteza muda kujadili mashudu ya Dr. Mpango! He is the most failure MoF ever! It is worth serving your calories rather than voting for Bajeti Hewa yenye maagizo too Juu kuwa lazima ipite kwa Kishindo!
Rudi kwenye vigezo vya Ruzuku! Kwenye akili yako unaona ni heri Bajeti isiyo na msaada kwa Wananchi ipite kisa tu Kuna Ruzuku? Kweli we Jingalao!Kwani Ruzuku ya chama chenu hamjaiona?kwa nini hamjakataa ruzuku ili tufinance miradi?
Si bure this is planned na majimbo ya upinzani yatapata tabu sana this budgetSasa Bungeni linakosa maana ya kuwa na Upinzani wa mawazo,
Hivi inakuwa vipi mtu kaiona Bajeti mbovu, harafu Anasema Ndio?
Waacheni wasilete Maji tuanze kukatiana vipande vya Nchi,
Wabague waone.
Ruzuku sii favour ya CCM kwa Wapinzani! Ni suala la Kisheria whether umepiga kura au hukupiga kura, whether ulipiga ya Ndiyo au Hapana! Hakutakuwa na maana yoyote ya kuwa na Bunge la Ndio kwa 100%,hata Mama yako usidhani alimkubali dingi yako 100%! Ni upuuzi watu wote kuwa na akili kama yako!Tuyazoea hayo,lakini wakati kula ruzuku mimacho huwa inawatoka,dawa yenu ipo jikoni
Tunabadili sasa hiyo sheria ya ruzuku tuoneRuzuku sii favour ya CCM kwa Wapinzani! Ni suala la Kisheria whether umepiga kura au hukupiga kura, whether ulipiga ya Ndiyo au Hapana! Hakutakuwa na maana yoyote ya kuwa na Bunge la Ndio kwa 100%,hata Mama yako usidhani alimkubali dingi yako 100%! Ni upuuzi watu wote kuwa na akili kama yako!
Mangiiii popooooooSasa Bungeni linakosa maana ya kuwa na Upinzani wa mawazo,
Hivi inakuwa vipi mtu kaiona Bajeti mbovu, harafu Anasema Ndio?
Waacheni wasilete Maji tuanze kukatiana vipande vya Nchi,
Wabague waone.
Halafu wanasahau kwamba katika majimbo ya wapinzani,Magufuli pia alipata kura hivyo anawajibika kwa ahadi zake kwenye bajeti ya taifaRuzuku sii favour ya CCM kwa Wapinzani! Ni suala la Kisheria whether umepiga kura au hukupiga kura, whether ulipiga ya Ndiyo au Hapana! Hakutakuwa na maana yoyote ya kuwa na Bunge la Ndio kwa 100%,hata Mama yako usidhani alimkubali dingi yako 100%! Ni upuuzi watu wote kuwa na akili kama yako!