kodi ya majengo lazima itathiminiwe upya.
TRA hawajafanya utafiti mzuri kwa nani alipe kiasi gani na kwa njia gani.
unakuta mtu anamiliki nyumba ya kawaida hu huko pembezoni mwa Jiji lkn unakuta kodi iliyo pendekezwa ilo juu.
unakuta nyumba haina hati, jakuna namba za nyumba sasa unakusanyaje kodi?!
wekeni miundombinu kwanza.