Wazolee
JF-Expert Member
- Sep 1, 2018
- 2,699
- 3,088
Kama wasomi wa nchii hi wamekaa na wakaona kodi za majengo sasa zilipwe na wapangaji kila wanaponunua umeme naona hi kodi ibadilishwe jina na ifanye kazi ya kujenga miundo mbinu ya mitaa ambayo hao wapangaji wanaolipa hii kodi wanaishi
Maana kuna majumba mengi wenyenyumba wamewaachia wapangaji wao kila mwezi wanachukua kodo zao tu katika vyumba au fremu za biashara tena unakuta kila mmpangaji amewekewa mita yake ya LUKU
Yani mpangaji alipe kodi ya pango kwa mwenye nyumba pia amlipie mwenye nyumba kodi ya jengo TRA kupitia LUKU hi sio sawa kabisa
Ni bora hi kodi ibadilishwe jina pamoja na matumizi yake hayo makusanyo yatumike kurekebisha miundo mbinu ya mitaa husika kulingana na makusanyo yao
Sent using Jamii Forums mobile app
Maana kuna majumba mengi wenyenyumba wamewaachia wapangaji wao kila mwezi wanachukua kodo zao tu katika vyumba au fremu za biashara tena unakuta kila mmpangaji amewekewa mita yake ya LUKU
Yani mpangaji alipe kodi ya pango kwa mwenye nyumba pia amlipie mwenye nyumba kodi ya jengo TRA kupitia LUKU hi sio sawa kabisa
Ni bora hi kodi ibadilishwe jina pamoja na matumizi yake hayo makusanyo yatumike kurekebisha miundo mbinu ya mitaa husika kulingana na makusanyo yao
Sent using Jamii Forums mobile app