Baada ya kuitosa udom na udsm root ya mamton inanukia

Sipendi kusoma bongo bongo wanasoma wazee wa karai
Sasa mzee ameniambia mwaka huu nile bata tu atanipeleka chuo mamtoni mwakani nikakutane na classic baby sio bongo tudemu vinanuka jasho tu aya bata bata nikijiandaa kula mwewe sio udom na udsm wamejazana wavimba macho tu nishaurini chuo gani kipo poa kupigia computer science nataka niwe mnyama apo

Unaenda kusoma ama kutafta classic baby?
 
Back
Top Bottom