harder king
JF-Expert Member
- Jan 21, 2017
- 3,970
- 6,898
Ata ku quote ujui?Umejuaje mi ccm
Ata ku quote ujui?Umejuaje mi ccm
Unatak kuwa mnyama kam tid????Sipendi kusoma bongo bongo wanasoma wazee wa karai
Sasa mzee ameniambia mwaka huu nile bata tu atanipeleka chuo mamtoni mwakani nikakutane na classic baby sio bongo tudemu vinanuka jasho tu aya bata bata nikijiandaa kula mwewe sio udom na udsm wamejazana wavimba macho tu nishaurini chuo gani kipo poa kupigia computer science nataka niwe mnyama apo
Ha ha ha mpe tu ushaur mkuu ata ucjalSasa sisi wavimba macho wa Udom & Ud ndio tukushauri tena?..
"When a mad man walks naked,its his kinsmen who feels shame"
Mmh braza unatumia lugha gan?Unajua sec nikiyosoma?
Mkuu ucwaze saanhivi shule za sekondari zinafunguliwa lini...seriously!
Hapana, hebu tuambie mkuu...Unajua sec nikiyosoma?
Umeniwah tu mkuu,nilitak niseme ivo ila fresh ujumbe umefikaAta ku quote ujui?
Mpe tu ushaur mamito ayo mengine achana nayoSasa wanuka jasho tutakuwa na la maana la kukushauri kweli!!!
Huyu ni hr sijui nani vile, ana ma-id kibao humu kazi kujaza server tu...Mkuu ucwaze saanView attachment 959092
Mpe tu ushaur mamito ayo mengine achana nayo
Jina la sec uliyosoma tafadhali...Sec nishaua broo
Nashirikiana na wewe kuona aibu...dah hadi nmeona aibu mimi