ufumawicha
JF-Expert Member
- Mar 16, 2014
- 504
- 209
Wadau mimi nimehamia Mbeya toka Kigoma.Ajabu nimeanza kupatwa na hali nisiyoielewa bado.Yaani kila ninapoamka nakuwa nimechoka sana mithili ya mtu aliyetoka job.
Mara ya kwanza nilianza kuwa na wasiwasi hasa kuhusu makazi nikidhani labda ni sababu ya nyumba zetu hizi za kupanga lakini ajabu nimeshahama nyumba tatu lakini hali hii iko pale pale.Wadau naombeni ushauri wenu na si mizaha.Mimi niko serious!!!1
Mara ya kwanza nilianza kuwa na wasiwasi hasa kuhusu makazi nikidhani labda ni sababu ya nyumba zetu hizi za kupanga lakini ajabu nimeshahama nyumba tatu lakini hali hii iko pale pale.Wadau naombeni ushauri wenu na si mizaha.Mimi niko serious!!!1