Caroline Danzi
JF-Expert Member
- Dec 19, 2008
- 3,713
- 1,263
Watu wa humu ndani kwa kukurupuka hamjambo. Huyu jamaa ametuelezea kisa cha jamaa yake hakumaanisha anakuuliza swali wewe kuhusu huyo jamaa; yeye anahoji kwa nini wakati wa shida ndiyo watu humrudia muumba wao wakati wa raha wanasahau? toa maoni yako kuhusu uliloullizwa siyo kuanza lawama za kizee humu. kama huna maoni kaa kimya siyo lazma kila thread uijibu hasa pale unapoona haina maana. Wewe unaweza ona haina maana lakini kwangu mimi ikawa na maana.
Dharai siyo nzuri, njia nzuri ya kudharau kitu ni kukaa kimya!
Dharai siyo nzuri, njia nzuri ya kudharau kitu ni kukaa kimya!